The Whistleblower
JF-Expert Member
- Dec 9, 2022
- 247
- 434
Tehehehehehehehehejehe π π π π π π πKwi Kwi Kwi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tehehehehehehehehejehe π π π π π π πKwi Kwi Kwi
Tehehehehehehehehejehe π π π π π π πKwi Kwi Kwi
Inatolewa taarifa kuwa Rais atakuwa nchi fulani kwa ziara ya kikazi. Tunapewa ratiba yenye kila kitu na ndege ya Rais inaondoka hadi kufika eneo husika. Mara ghafla tunaambiwa Rais ameahirisha ziara bila kuelezwa kisa ni nini. Lakini ndege ipo eneo la ziara.
Cha ajabu ndege inaonekana kuondoka eneo la ziara kurudi nchini bila kuwa na taarifa zozote kuhusu Rais. Kipi hasa tunachotaka kisijulikane? Na kwanini?
Sisi kama taifa tulitakiwa tuwe tumetoka huko kwenye hayo mazonge kutokana na tulipotoka.
Ni hayoo