Rais Samia aalikwa na Baba Matakatifu Francis Mjini Vatican kwa mazungumzo rasmi ya siku mbili

Afadhali sense tu huko. Akirudi tutarajie Tume huru ya Uchaguzi inaanza mchakato, DP World nao wanapigwa chini.
Huko anakwenda kukalia kuti kavu kwa Boss wa Marais wote Duniani.
 
Agenda kuu : Ndoa za jinsia moja , Agizo la Papa litakuwa " Mama hakikisha ndoa za jinsia moja zinashamiri Kwa Kasi sana " . Lasivyo huna urais 2025 . Utasikia , Sawa Baba , nitajitahidi katika Hilo
 
Si amekwenda kupokea maagizo ya namna ya kuendesha nchi. Lazima aitii mamlaka iliyo kuu ktk ulimwengu huu.
 
Reactions: Ame
Wakosa hoja hawakawii kusema anaenda kupewa maelekezo na kanisa. Subirini
 
Si amekwenda kupokea maagizo ya namna ya kuendesha nchi. Lazima aitii mamlaka iliyo kuu ktk ulimwengu huu.
Watu hawajui kwamba uhuru wa Tanzania unasimamiwa na UN na huko Papa ndiye msuluhishi neutral wa mikataba ya kimataifa ambao ulitupa uhuru wetu pia
 
Watu hawajui kwamba uhuru wa Tanzania unasimamiwa na UN na huko Papa ndiye msuluhishi neutral wa mikataba ya kimataifa ambao ulitupa uhuru wetu pia
Ukiwaeleza hivyo watakwambia huo ni uzushi.
 
Reactions: Ame
Mama anajua kwenye dpw wakatoliki tulimtoa moyoni pale huko hajaalikwa aliomba muda kakubaliwa ni ushauri kutulegeza wakatoliki.awafukuze dpw tu ndo njia pekee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…