Rais Samia aalikwa na Baba Matakatifu Francis Mjini Vatican kwa mazungumzo rasmi ya siku mbili

Rais Samia aalikwa na Baba Matakatifu Francis Mjini Vatican kwa mazungumzo rasmi ya siku mbili

Tuition ya nyumban ni bora na salama kwa mtoto , nafundisha mathematics na physics kwa o level na advance napatikana mwanza micheki whatsapp 0620591401
 
Mam*e kazi kutoana rinda makanisani mpaka Mungu wenu juzi juzi amewaamrisha kila kafiri lazima asiwe na rinda na ukaguzi utafanyika makanisani
Sasa mm inanuhusu nini? Kwani we ulitokaje kama mama yako akutoa kinyesi ndo ukatoka?
Mdog wang ww ukija mburahati ww utatiwa wembe kwenye kisamvu
 
Kufuatia mualiko wa kiongozi mkuu wa kanisa katoliki duniani na nchi ya Vatican Papa Francis, Rais Samia Hassan atafanya ziara ya kitaifa tarehe 11 hadi 12 Februari, 2024.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amesema lengo la ziara hii ni kukuza ushirikiano kati ya Tanzania na Vatican.

Tanzania na Vatican tangu mwaka wa 1960 zimekuwa zikishirikiana katika masuala ya elimu, afya, masuala ya amani na kiroho.

"Kanisa katoliki linakadiriwa kumiliki zaidi ya shule za chekechea 240, shule za msingi 147, shule za sekondari 245, vyuo vya ufundi 110, na vyuo vikuu 5," inaeleza taarifa iliyotolewa na wizara huku takribani taasisi za afya 473 zikiendeshwa na kanisa katoliki.

Tofauti za udini hazijawafanya viongozi hawa kushindwa kukaa pamoja na kujadili maslahi ya wananchi na uendelezaji wa ushirikiano kati ya nchi hizi mbili.

=====

Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Baba Mtakatifu Francis amemualika Rais Samia Suluhu Hassan Mjini Vatican kwa mazungumzo rasmi ya siku mbili baina ya viongozi hao.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amewaambia waandishi wa habari mkoani Dar es Salaam leo kuwa mazungumzo hayo yatafanyika Februari 11 na 12 Vatican nchini Italia.

Makamba amesema kufuatia mwaliko huo, Rais Samia ameamua kuambatana na waumini wa kawaida wa Katoliki ambao pia wataonana na Papa Francis katika ziara hiyo ya kihistoria.

"Hii ni heshima kubwa kwa nchi yetu na Rais wetu, kwani mazungumzo hayo na Baba Mtakatifu ni ya heshima kubwa na watu wachache sana ndio watapata fursa ya kuhudhuria mazungumzo hayo," amesema Makamba

===
Kujua safari nyingine za Rais Samia, Soma: Safari/Ziara za nje ya Nchi za Rais Samia Suluhu tangu awe Rais wa Tanzania 19 Machi, 2021
Huyo Kiongozi wa 🌈 ana utakatifu gani?
 
Hayo yameelezwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano africa Mashariki Mh January Makamba.

Hata hivyo taarifa hiyo haijaeleza kama lengo na madhumuni ya Mwaliko huo.

Wapo watu wanajiuliza kama Ni Mwaliko kutoka Vatican au Tanzania ndio imeomba kualikwa?

 
Kanisa katoliki lina mchango mkubwa sana Tanzania na Afrika, limewekeza sana kwenye elimu na vituo vya afya.
=============

Tanzania President Samia Suluhu Hassan is set to visit the Vatican next month, shortly after a trip to Indonesia in southeast Asia and later a tour of Norway in northern Europe.

President Hassan is expected to meet Pope Francis at the Holy See on February 11 and 12. The Catholic Church is one of the major stakeholders in Tanzania in the provision of education and health services.

Tanzania Foreign Affairs and East African Cooperation minister January Makamba said the church runs 240 nursery schools, 147 primary schools, 245 secondary schools, 110 vocational training centres and five universities.

It also operates at least 473 health facilities.
 
Sipati notification tangu dec 20, 2023. @moderators msaada.

Vipi kwenu wajumbe?
 
Jesuit au jumuiya ya Yesu (society of Jesus) wana wanachama wapatao 16,000 duniani kote.

Papa Francis (jina halisi Mario Bergoglio) kutoka Argentina ni papa wa kwanza ambae ni wa kutoka kwenye kundi la Jesuit.

Majesuit wana viapo vinne ambavyo ni kutokuoa au kufanya mapenzi, kutokuwa na mali, utii na mwisho utii kwa kazi maalum nje ya Vatican watazopewa na papa.

Jesuits wana sifa moja kubwa ambayo ni kuwa na uwezo mkubwa wa kufikiri bila kushirikisha upande wa pili na ndo maana kwa miaka mingi wamekuwa wakijenga vyuo vyao sehemu mbalimbali duniani.

Sifa ya pili ni kuwa Jesuits ni walimu au educators na wana uwezo wa kufundisha mtu akaelewa na mfano wa hii ni shule zao za sekondary ambazo zaongoza katika matokeo ya mitihani. Wana msemo wao usemao: giving rise to the adage- "Give me a child of seven and I will show you the man".

Chuo kikuu cha Georgetown nchini Marekani ni moja ya vyuo vikuu vya Jesuits duniani. Chuo hiki ni cha kwanza kujengwa na Jesuits mwaka 1789. Isitoshe Jesuit wana taasisi za elimu zipatazo 189 duniani kote.

Wana jumuiya ya Jesuits huchukuwa majukumu mbalimbali duniani kama uanasheria, ualimu, udaktari, usanii na hata uanaanga.

Jesuits hupangwa katika majimbo 91 duniani katika nchi zipatazo 100 ambapo kila jimbo lina msimamizi wake ambae anawajibika kwa msimamizi mkuu au superior general.

Tanzania ni moja ya majimbo ya Jesuits kabla na baada ya uhuru, hivyo ni lazima jicho la Vatican liangazie na kuhakikisha jimbo hilo laendelea kushamiri bila mawaa yoyote.

Ad Marioem Dei grorium (for the grater glory of God).
 
Screenshots_2024-01-23-06-28-59.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 2878763

Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajia kufanya ziara ya kitaifa Vatican kuanzia February 11 – 12, 2024 kufuatia mwaliko wa Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani, Baba Mtakatifu Francis.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba akiongea leo Dar es salaam amesema dhumuni la ziara hii ni kuimarisha ushirikiano wa uwili kati ya Tanzania na Vatican “Itakumbukwa mwaka 2016 Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, alimwalika Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani, yaani Baba Mtakatifu Francis kutembelea Tanzania hata hivyo kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo za kiafya ziara hiyo haikuwezekana na badala yake kwa wakati huu, Rais Samia amealikwa na Kiongozi huyo kufanya ziara Vatican”

“Akiwa Vatican Rais atakutana kwa mazungumzo na Baba Mtakatifu Francis pamoja na Katibu wa Vatican, Pietro Parolin lakini kabla ya ziara ya Vatican Rais pia atafanya ziara ya Kitaifa nchini Indonesia kuanzia January 24 – 26 kufuatia mwaliko wa Joko Widodo, Rais wa Jamhuri ya Indonesia, ziara hii ya Kitaifa inafuatia ziara ya Kitaifa ya Rais Joko Widodo aliyoifanya Tanzania mwezi Agosti 2023” ——— Waziri Makamba.

Rais Samia pia atafanya ziara ya Kitaifa nchini Norway, February 13-14, 2024, kufuatia mwaliko kutoka kwa Mfalme Herald wa Norway na Malkia Sonja ikiwa ni miaka 60 tangu kuanzishwa kwa uhusiano wa kidiplomasia kati ya Tanzania na Nchi hiyo.
Papa hawezi kualika mtu kama huyo, mlichofichwa ni kwamba Jamaa zetu ndiyo waliandika barua kuomba kumuona kabla ya mwaka wa uchaguzi kwani huwa hataki kuonana na viongozi wa mataifa ktk mwaka wa uchaguzi. Na lengo la kuomba mwaliko huo ni kwenda kufifisha sakata la DP world na wakatoliki nchini ambao wameonekana kukunja ndita
 
Makamba amesema kufuatia mwaliko huo, Rais Samia ameamua kuambatana na waumini wa kawaida wa Katoliki ambao pia wataonana na Papa Francis katika ziara hiyo ya kihistoria.
Wanapigiwa kura au
 
Back
Top Bottom