Rais Samia aalikwa na Baba Matakatifu Francis Mjini Vatican kwa mazungumzo rasmi ya siku mbili

Rais Samia aalikwa na Baba Matakatifu Francis Mjini Vatican kwa mazungumzo rasmi ya siku mbili

“Wala mimi simo tena ulimwenguni, lakini hawa wamo ulimwenguni, nami naja kwako. Baba mtakatifu, kwa jina lako ulilonipa uwalinde hawa, ili wawe na umoja kama sisi tulivyo.”
— Yohana 17:11 (Biblia Takatifu)
 
Wacha akapewe maelekezo maana anaiona tec kipole pole...

Kuna yuje jamaa alisema hawez chagua chadema kwakua inatembea na mapadri haya mtu wao anamfuata mkuu wa mapadri na mashehe dunia nzima nahisi jamaa ashakufa kwa wivu
 
Huo mualiko unamsaidiaje maskini wa kule Namtumbo
Wasio masikini nao ni watu na ni watanzania hivyo sio kila muda tufikirie masikini tu kana kwamba ndio pekee wenye haki.
 
Anaenda kurekebishaa uhisiano mbaya unaondelea Kati ya Tec na serkali kuhusu uuzaji wa bandari kwa waarabu
Yes uko sahihi inabidi akajieleze huko kwa boss wake maana ndio mifumo wanayoichagua na kuitegemea akajieleze kwa nini kawapa bandari waarabu
 
Wanashindwa kusema tu ukweli.

Kaitwa ili apewe Maelekezo kwa Mdomo wakiwa Ana kwa Ana.
Amekua akikiuka maagizo anayopewa.
 
Wabarikiwa wa tek wanajiharia saa hizi.
Kama dini (either ukristu au uislam na nyinginezo) Hazikufanyi kuwa mtu mwema,mstaarabu na mnyenyekevu then wewe ni hopeless katika dunia na mbinguni (Kama Mungu na mbingu vipo).
Nilitarajia uwe mfano kwa wa dini yako na wasio wa dini yako
 
Kaitwa vatican, na kiongozi mkuu wa Kanisa Takatifu la mitume, Roman catholic, una lolote la kuchangia?
Sioni tatizo lolote hapo, kaitwa na mkuu wa nchi ya Vatican kama Mkuu wa nchi ya Tanzania.

Anaitwa na maaskofu tu hapa kwenye shughuli zao anakwenda. Wakristo wanaheshimiwa sana na Uislam. Isome Qur'an, ipo wazi kwenye hilo.

Taatizo lenu hampendi kujisomea vijana wa siku hizi wa Kitanzania. Mngekutana na mitaala ya Tanganyika, nyote mngependa kujisomea.
 
Hizi story mnadanganyana mkiwa mnabinuana makanisani mkibarikiwa?
Kama anaweza amualike yeye mama samia amwambie aje? Kwanza huyo kaenda papa hawezi kumualika. Wewe barua ya mwaliko umeiona? Au umeona popote vatican wakisema wamemualika mama samia?
 
Mkuu kama ulikuwa hujui, fahamu kuwa Papa ndio kiongozi mkuu kwenye hii dunia, yaani yeye ndio boss. Hakuna kiongozi yeyote kwenye hii dunia ana sauti mbele ya Papa.
Acha kulisha watu Matango pori ya Vilabuni huko.

Putin alialikwa na papa aka ignore mualiko wake hakwenda halafu unasema papa ndio kiongozi mkubwa duniani?

Papa huyo analia lia vita visitishwe lakini Nothing happens!

Ana ukuu gani huyo papa?

Zaidi ya kelele za chura zisizo mzuia ng'ombe kunywa maji.
 
Uongozi wa kikatoliki duniani umemualika rais wa Tanzania mama Samia kuitembelea Vatican.

Hii itakuwa ni somo murua kabisa kwa ndugu zetu hasa wa hapa jf ambao wanaeneza udini na chuki na uhasama wa uislam na ukristo.

Vatican imemualika rais Samia ambaye ni muislam tena muumini kweli kweli.

Hili ni fundisho kwa watanzania kuwa tisiwe na maneno mengi bila ya kuchunguza na kukitidhisha.

Mungu ameshinda vita kati ya wanao kusudia kuharibu amani ya nchi yetu kupitia kueneza chuki za KIDINI.

Mungu ibariki Tanzania.View attachment 2878752
CCM ni Taasisi ya Vatican ipo chini ya Papa. Papa ana haki kumualike Mama.
 
Amealikwa au amejialika ,tuwekane sawa hapa , kama vipi leta ushahidi wa mwaliko , why mnachukulia watz wapumbavu sana nchi hii, kumbuka

Kikwete alijialika
Mkapa alijialika n.k ,so kipi cha msingi sana Papa amwalike ,Tueshimiane mtoa mada hauijui Dunia
Anajipeleka mwenyewe?
 
Back
Top Bottom