Rais Samia aambiwe Makamu wa Rais ni Mkubwa kwa Rais wa Zanzibar, au anafanya makusudi!?

Rais Samia aambiwe Makamu wa Rais ni Mkubwa kwa Rais wa Zanzibar, au anafanya makusudi!?

Nilihoji kwanini Samia amteue Mwinyi kuwakilisha mkutano wa SADC wakati mwinyi anaingia kwenye serikali ya muungano kama waziri, pia tuna makamu wa rais, waziri mkuu na waziri wa mambo ya nje. Kwa kifupi asituletee uzanzibar wake atabaki one term president
Jinga ww,mbona ukuohoji wakat msukuma mwenzio alipokuwa anavunja katiba
 
Mkuu kulingana na Muundo wa Nchi zetu huku upande wa Tanganyika hatuna Rais,na ukumbuke vitu viwili vikubwa katika Muungano wa Nchi kwa Nchi ni upande wa Fedha,Jeshi na Mwisho ni Siasa.
Hivyo tuna Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano ni Makubwa kuliko Rais wa Zanzibar, Rais Samia anakosea sana tena sana.by the way matatizo haya yote ameyasababisha Nyerere na kutokana na viongozi walafi wapenda madaraka kuliko Nchi hawataki kabisa kuyatatua.
Yule mfu wenu wakati anavunja katiba mlikuwa kimiya wapuuzi nyinyi,,muachane mama afanye atakavyo, na ndio rais uyo hadi kiama inshallah, Kama utaki jiue
 
Wewe nawe ni zero brain. Mmoja anaitwa Rais na mwingine makamu wa rais bado huoni tofauti?
Makamu wa rais analinganishwa na makamu mwenzake.
Protocal haendi ki-logic hivyo mkuu! Makamu wa rais Tanzania ni na. 2
 
Muulize mbunge wako uliyemchagua hayo maswali. na kwa Maneno ya Kiswahili Raisi ni Mkubwa kuliko makamo wa raisi hata ukubadilisha kwa lugha za kigeni, hata kwenye hafla za kimataifa ndio utaratibu
Nadhani latika hili Katiba ya JMT ituongoze. Rais asipokuwepo nani anaongoza vikao vya baraza la mawaziri?
 
Inategemeana na shughuli husika bwashee.

Kuna wakati Rais wa Zanzibar anashiriki tukio kama Rais siyo Waziri.

Mpango anakuwa mkubwa kwa Dr Mwinyi kwenye mambo ya muungano tu.
Mleta uzi huu amerejelea Binge la JMT, kwa hiyo tukifuata logic yako, japo sio sahihi, Mpango angepaswa kutajwa kwanza kabla ya Mwinyi.
 
Wewe nawe ni zero brain. Mmoja anaitwa Rais na mwingine makamu wa rais bado huoni tofauti?
Makamu wa rais analinganishwa na makamu mwenzake.
He upo sirias...Kama ndivyo wewe ni wa Facebook Sio Jf
 
Ametumia kifungu kipi Cha Sheria au katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania kugawanya kwa usawa pesa za muungano?
 
Rais Samia
Rais Mwinyi
Makamu wa Rais Mpango
Makamu wa kwanza wa Rais
Makamu wa Pili wa Rais
Jaji Mkuu to
Jaji mkuu zanzibar
Spika wa bunge to
Spika wa balaza la Mapinduzi
Manaibu Spika
Viongozi wa ulinzi na Usalama
Viongozi wa dini
Mabalozi
Wakuu wa mashirika
Itifaki imezingatiwa
Wazi mkuu yuko wapi?
 
Kimuungano Mwinyi ni namba tatu.
Rais Jmhr no 1.
Makamu wa Rais no 2.
Rais Zanzibar no 3.
Spika no 4.
Jaji mkuu no 5.
Jaji mkuu Zanz no 6
Waziri mkuu no 7.
Makamu wa 1 zanzibar no 8
Makamu wa 2 zanzibar no 9
Naibu spika Tz no 10
Spika baraza la mapinduz no 11
Katibu mkuu kiongoz bara 12.
Katibu mkuu kiongoz zanz 13

Ila tukiwa huku Tz
Rais no 1
Makamu no 2
Spika no 3
Jaji mkuu no 4
Wazir mkuu no 5
Katibu mkuu kiongoz no 6

Marekebisho nipo tayari.
Kusema kweli mama anaona Mwinyi ni Rais ni kama hivo kuna kujisahau tu atajirekebisha.
PM ni na. 4
 
Hapana, kiprotokali Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yuko juu ya Rais wa Zanzibar maana huyu ni mjumbe wa baraza la mawaziri wakati Makamu wa Rais anakuwa M/kiti endapo Rais hayupo.

Hata ukitazama mpangilio wa misafara ya viongozi utaona hilo maana iko hivi;
E1 (Escort number 1) msafara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.
E2 (Escort number 2) msafara wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.
E3 (Escort number 3) msafara wa Rais wa Zanzibar.
E4 (Escort number 4) msafara wa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano.
Watu wa Itifaki wamsaidie mh Rais asije akazua sintofahamu bila sababu.
Maelezo mazuri sana!
 
Watanzania wanatakiwe wajue kuwa, tanganyika haina raisi wala bunge wala polsisi na kwa mujibu wa katiba raisi wa tanzania hawezi tumia jeshi la JMT bila idhini ya raisi wa zanzibar kwa sababu jeshi ni la muungano na sio la tanganyika, bot pia ni ya muungano na sio ya tanzania. Muundo na mfumounahitaji marekebisho, pamoja na katiba yake. either tuwe na serekali 1 au 3, sio 2 kwani tanganyika huwa kivulini kwenye mfumo wa sasa na ndomana wazanzibari wanaweza chukua nafasi yoyote ile tanzania youte visiwani na bara sababu Katiba haiitambui tanganyika. Ila mtanganyika hawezi fanya kazi ktk serekali ya zanzibar wala kumiliki eneo sababu zanzibar ni nchi huru yenye raisi wake, na mamlaka kamili ila flaws za muungano ndo zinafanya rais wa JMT awe juu ya yule wa znz. Ka mantiki hiyo VP wa JMT hana mamlaka yyt yale katika serekali yyt ile zaidi ya kutekeleza matakwa ya raisi ya JMT. Yani helping hand wa raisi kwa mfumo wa sasa na ceremonial leader. Inshort nyerere alifikiria kiu selfish, na mawazo yake hasi ya kumvua rais wa zanzibar umakam na ilikw shinikizo la kisiasa mana ccm haikuwahi shinda hata mara moja zanzibar ktk chaguzi yoyote ile ya kiti cha urais.
 
Nimesikiliza hotuba zake nyingi sana! Kubwa ile ya bungeni juzi.
Mama nadhani kwa makusudi anataka kulazimisha Rais wa Zanzibar ni mkubwa kiutawala kwa Makamu wa Rais.
Kwenye hotuba zake nyingi
Anaanza kumuaddress Rais Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Hii siyo sawa hata kidogo. Huwezi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Ni dharau na fedhea kwa Muungano.

Rais wa Zanzibar ni mjumbe tu Baraza la Mawaziri hana nguvu yeyote!

Leo unataka pesa za Sherehe za Muungano ziende kwa usawa Zanzibar na Tanganyika.
Hivi hizo pesa zimetoka Bara leo ziende Zanzibar.
Zanzibar yenye watu million 1 ipate sawa na Tanganyika yenye watu million 60.

Watanganyika tuwe makini na mwendo wa Mama.
Yupo kwa ajili ya Zanzibar zaidi kuliko Tanzania.
Sisi Tanganyika hatuna agenda ya pamoja tupo tu hatujui tunataka nini.
Leo mimi mbara siruhusiwi kwenda Zanzibar kununua kiwanja wala kufanya kazi kwenye serikali yao.
Wazanzibar kibao wapo serikalini kwenye ofisi hata zisizo za Muungano na free wao kununua ardhi.

Watanganyika mmelala ngojeni mambo ndio yanaanza.

Kiprotoko hutakiwi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Tanganyika hatuna agenda kila siku Zanzibar wanalalamika kuhusu mambo kadhaa kwenye Muungano Bara kimya.

Mimi nilitaka kununua kiwanja Zanzibar nikaambiwa nioneshe kitambulisho cha Zanzibar mkazi.
Mama ana asili ya wapemba alizaliwa huko baba ake alihamia Unguja.

Watanganyika tupo na akili chache sana.. Agenda zetu wabunge wa covid 19..utopolo tu

Tunadhani Mwinyi ni mwenzetu.. Mwinyi siyo mwenzetu.

Its Zanzibar time BARA IMELALA FOFO... LINI MBUNGE WA BARA ALIWAHI KUHOJI WHY WABARA HAWARUHUSIWI KUNUNUA ARDHI ZANZIBAR.


Mimi ni mbara lakini maoni yako ni ZERO kabisa. Kisa uilitaka kununua kiwanja Zanzibar ukaambiwa uoneshe kitambulisho cha Zanzibar mkazi!!! Acha chuki kwa mama na wazanzibar kwa ujumla. Ungejua wazanzibar maisha wanayoishi ya tabu wala usingeongea chochote.
 
Mleta uzi huu amerejelea Binge la JMT, kwa hiyo tukifuata logic yako, japo sio sahihi, Mpango angepaswa kutajwa kwanza kabla ya Mwinyi.
Dr Mwinyi ni Rais wa nchi ya Zanzibar.

Dr Mpango ni makamu wa Rais wa nchi ya Tanzania

Bunge siyo baraza la mawaziri.

Rais wa Tanzania ni sehemu ya bunge

Rais wa Zanzibar hana sehemu bungeni yeye ni " mgeni"

Kazi Iendelee!
 
ITIFAKI IMEZINGATIWA.
Screenshot_20210423-102602.jpg
 
Nimesikiliza hotuba zake nyingi sana! Kubwa ile ya bungeni juzi.
Mama nadhani kwa makusudi anataka kulazimisha Rais wa Zanzibar ni mkubwa kiutawala kwa Makamu wa Rais.
Kwenye hotuba zake nyingi
Anaanza kumuaddress Rais Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Hii siyo sawa hata kidogo. Huwezi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Ni dharau na fedhea kwa Muungano.

Rais wa Zanzibar ni mjumbe tu Baraza la Mawaziri hana nguvu yeyote!

Leo unataka pesa za Sherehe za Muungano ziende kwa usawa Zanzibar na Tanganyika.
Hivi hizo pesa zimetoka Bara leo ziende Zanzibar.
Zanzibar yenye watu million 1 ipate sawa na Tanganyika yenye watu million 60.

Watanganyika tuwe makini na mwendo wa Mama.
Yupo kwa ajili ya Zanzibar zaidi kuliko Tanzania.
Sisi Tanganyika hatuna agenda ya pamoja tupo tu hatujui tunataka nini.
Leo mimi mbara siruhusiwi kwenda Zanzibar kununua kiwanja wala kufanya kazi kwenye serikali yao.
Wazanzibar kibao wapo serikalini kwenye ofisi hata zisizo za Muungano na free wao kununua ardhi.

Watanganyika mmelala ngojeni mambo ndio yanaanza.

Kiprotoko hutakiwi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Tanganyika hatuna agenda kila siku Zanzibar wanalalamika kuhusu mambo kadhaa kwenye Muungano Bara kimya.

Mimi nilitaka kununua kiwanja Zanzibar nikaambiwa nioneshe kitambulisho cha Zanzibar mkazi.
Mama ana asili ya wapemba alizaliwa huko baba ake alihamia Unguja.

Watanganyika tupo na akili chache sana.. Agenda zetu wabunge wa covid 19..utopolo tu

Tunadhani Mwinyi ni mwenzetu.. Mwinyi siyo mwenzetu.

Its Zanzibar time BARA IMELALA FOFO... LINI MBUNGE WA BARA ALIWAHI KUHOJI WHY WABARA HAWARUHUSIWI KUNUNUA ARDHI ZANZIBAR.

Alafu makamu wa raisi wa bara na raisi wa znz ni watu wawili tofauti kabisa, huwezi kumshusha hadhi kiasi hicho raisi Mwinyi kwa makamu tuuuu. Badilika aise, na futa uzi wako haraka.
 
Back
Top Bottom