Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Umeonaeee...Anafanya kama jamaa yake. Sasa inaonekana kawaida marais kwenda kwao na kujifanya wanafanya kazi wakiwa ikulu ndogo ya eneo husika.Chato style Live kutoka ....Kizimkazi Stand up....basi sawa
Nikumbishe aliapishwa kama nani vile..?Ya Mwigulu ilikuwa funga kazi
Amepoteza mvuto...hata kumuweka Biteko wana nzengo kanda yote ziwa hapati kitu kamweee....kama ana plan B sawa ila yeye hatoboiUmeonaeee...Anafanya kama jamaa yake. Sasa inaonekana kawaida marais kwenda kwao na kujifanya wanafanya kazi wakiwa ikulu ndogo ya eneo husika.
Hii haiondoi ukweli kwamba kaenda kufanyia kazi home. Ikulu kuu ambayo ndio nyumbani na ofisi kuu ya rais ipoipo tu.
Katiba na sheria nadhaniNikumbishe aliapishwa kama nani vile..?
Ilikuwa ni hatari ila salama ila angala wakati ule tunaweza kusema kulikuwa na tishio la kovidi....Katiba na sheria nadhani
ohoo, uzi utakuwa mtamuIkulu dogo ya Tunguu, Zanzibar
sawa mtachagua mnae mtaka na hiyo ndoo demokrasia au vip mzee wa makasiriko.Amepoteza mvuto...hata kumuweka Biteko wana nzengo kanda yote ziwa hapati kitu kamweee....kama ana plan B sawa ila yeye hatoboi
Rais Samia ataligharimu taifa sanaUmeonaeee...Anafanya kama jamaa yake. Sasa inaonekana kawaida marais kwenda kwao na kujifanya wanafanya kazi wakiwa ikulu ndogo ya eneo husika.
Hii haiondoi ukweli kwamba kaenda kufanyia kazi home. Ikulu kuu ambayo ndio nyumbani na ofisi kuu ya rais ipoipo tu.
Mama ambaye sio mzazi wako muite kwa jina la mwanae- mama Abdul.Mama anahangaika huyu! Hakuna jipya hapo
We ndio uko nchi ya watu, rudi kwenu we kimaIkulu ndogo kwenye nchi ya watu? Au ni ubalozini yupo.
Nongwa zinatusumbua sana watanzania.Binafsi sioni shida yoyote as long as wanaapishwa ndani ya nchi hakuna matata