Rais Samia aapisha Viongozi wateule Ikulu Ndogo, Tunguu, Zanzibar, leo Septemba 1, 2023

Yeye mbona ameshindwa kuishi kwenye kiapo anavunja katiba kwa makusudi?
 
Anatakiwa yeye awe mfano wa kusikiliza maoni ya Watu badala ya kushupaza Shingo!! Yeye kama anawapuuza wanannchi ni unafiki kutaka wateule wake wsiwapuuze wananchi!! Charity begins at home bibi!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…