Rais Samia, achana na mpango wa Ngorongoro

Rais Samia, achana na mpango wa Ngorongoro

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
images-2.jpeg
Suala la kuhamisha watu wote Ngorongoro halijapokewa vizuri na si tu jamii ya wamasai, bali watanzania kwa ujumla.

Kwanza, hapakuwepo utashi wa kisiasa kulifanya eneo lote la Ngorongoro kuwa Human Free.

Pili, wakazi wa maeneo hayo wapo, na sijui kama wameshirikishwa.

Tatu, Govt Decrees bila utashi wa kisiasa, unakuwa hugely unpopular.

Nne, watanzania kwa ujumla wamepigwa butwaa nauamuzi huo wa serikali ambao kimsingi unawapiga marufuku watu kuishi maeneo ya Ngorongoro bila kueleza sababu za kimsingi.

Tano, tunakumbuka Operation Vijiji vya Ujamaa mwanzoni mwa miaka ya 70. Rais Aboud Jumbe Mwinyi alifanyiwa fujo mbele ya uso wake kule Kyela, Mbeya, serikali ilipotaka kuwahamisha wananchi kwa lazima kwenda viijiji vya ujamaa na kwa kutumia nguvu.

Sita, tunaelekea mwaka wa uchaguzi. Serikali iliyopo madarakani inategemea nini katika hili, an unpopular move creates unnecessary resentment?

Saba, mama Samia lazima ujue ushauri unaopewa kuhamisha wamasai Ngorongoro utakuwa na matokeo ya kudhuru kisiasa. Wanaokushauri mwishowe hawataubeba msalaba wako.

Mimi ni kada wa CCM, na baada ya Magufuli nilimuunga mkono sana juhudi za mama Samia.
Lakini kwa hili la sasa, mama Samia lazima kula ile waingereza wanasema " a humble pie" au kukubali yaishe. Achana na mpango wa kuwahamisha wamasai Ngorongoro kwa nguvu.

Pia soma:Kuelekea 2025 - Wamasai Ngorongoro wamechoka kunyang’anywa ardhi yao na kupewa Mwarabu, Wameamua liwalo na liwe

UPDATE
Rais wa JMT Mama Samia, ameagiza huduma za kijamii kurejeshwa huko Ngorongoro. Hii ni dalili njema kuwa Mama Samia kasikia kilio cha wananchi juu ya kuhamishwa kwa nguvu wananchi w jamii ya kimasai huko Ngorongoro.
Huu ni mwanzo mzuri nami kama Jidduzz nampongeza kwa dhati mama kwa kutoweka pamba masikioni.

View: https://x.com/MwananchiNews/status/1826969657221210495?t=EamN1_XX-Zk3EdiaHy7xAA&s=08
 
Suala la kuhamisha watu wote Ngorongoro halijapokewa vizuri na si tu jamii ya wamasai, bali watanzania kwa ujumla.

Kwanza, hapakuwepo utashi wa kisiasa kulifanya eneo lote la Ngorongoro kuwa Human Free.

Pili, wakazi wa maeneo hayo wapo, na sijui kuwa wameshirikishwa.

Tatu, Govt Decrees bila utashi wa kisiasa, unakuwa hugely unpopular.

Nne, watanzania kwa ujumla wamepigwa butwaa nauamuzi huo wa serikali ambao kimsingi unawapiga marufuku watu kuishi maeneo ya Ngorongoro.

Tano, tunakumbuka Operation Vijiji vya Ujamaa mwanzoni mwa miaka ya 70. Rais Aboud Jumbe Mwinyi alifanyiwa fujo mbele ya uso wake kule Kyela, serikali ilipotaka kuwahamisha wananchi kwa lazima kwenda viijiji vya ujamaa kwa nguvu.

Sita, tunaelekea mwaka wa uchaguzi. Serikali iliyopo madarakani inategemea nini katika hili, an unpopular move?

Saba, mama Samia lazima ujue ushauri unaopewa kuhamisha wamasai Ngorongoro ni lazima utakudhuru. Wanaokushauri mwishowe hawatabeba msalaba wako.

Mimi ni kada wa CCM, na baada ya Magufuli nilimuunga mkono sana mama Samia. Lakini mama Samia lazima kula ile waingereza wanasema " a humble pie" au kukubali yaishe. Achana na mpango wa kuwahamisha wamasai Ngorongoro kwa nguvu.

Pia soma:Kuelekea 2025 - Wamasai Ngorongoro wamechoka kunyang’anywa ardhi yao na kupewa Mwarabu, Wameamua liwalo na liwe

Hivi Rais ana washauri wa aina gani? Marafiki au wale wanaoyapambanua mambo kwa undani na kumshauri kwa hekima, hata kama Rais ataona hayaoendezi?

Kuna wakati naogopa sana. Kuna watu hawaitakii mema taasisi ya uraisi kwa kutoa ushauri ambao lazima utakuja kuwa shubiri mbele ya safari.

Enzi zile za Zanzibar kujiunga na Jumuiya ya Kiislamu, Tanganyika kuna watu walitoka nje wazi wakasema katiba imekiukwa na wanataka Tanganyika yao. Kama sio Nyerere, naamini mengi yangekuwa tofauti.

Kwa chini chini kuna hizo hisia ambazo ni mtu asiyeona pekee atazifumbia macho.
 
Suala la kuhamisha watu wote Ngorongoro halijapokewa vizuri na si tu jamii ya wamasai, bali watanzania kwa ujumla.

Kwanza, hapakuwepo utashi wa kisiasa kulifanya eneo lote la Ngorongoro kuwa Human Free.

Pili, wakazi wa maeneo hayo wapo, na sijui kuwa wameshirikishwa.

Tatu, Govt Decrees bila utashi wa kisiasa, unakuwa hugely unpopular.

Nne, watanzania kwa ujumla wamepigwa butwaa nauamuzi huo wa serikali ambao kimsingi unawapiga marufuku watu kuishi maeneo ya Ngorongoro.

Tano, tunakumbuka Operation Vijiji vya Ujamaa mwanzoni mwa miaka ya 70. Rais Aboud Jumbe Mwinyi alifanyiwa fujo mbele ya uso wake kule Kyela, serikali ilipotaka kuwahamisha wananchi kwa lazima kwenda viijiji vya ujamaa kwa nguvu.

Sita, tunaelekea mwaka wa uchaguzi. Serikali iliyopo madarakani inategemea nini katika hili, an unpopular move?

Saba, mama Samia lazima ujue ushauri unaopewa kuhamisha wamasai Ngorongoro ni lazima utakudhuru. Wanaokushauri mwishowe hawatabeba msalaba wako.

Mimi ni kada wa CCM, na baada ya Magufuli nilimuunga mkono sana mama Samia. Lakini mama Samia lazima kula ile waingereza wanasema " a humble pie" au kukubali yaishe. Achana na mpango wa kuwahamisha wamasai Ngorongoro kwa nguvu.

Pia soma:Kuelekea 2025 - Wamasai Ngorongoro wamechoka kunyang’anywa ardhi yao na kupewa Mwarabu, Wameamua liwalo na liwe
Sasa hela za Waarab zilizoliwa itakuwaje?
 
Suala la kuhamisha watu wote Ngorongoro halijapokewa vizuri na si tu jamii ya wamasai, bali watanzania kwa ujumla.

Kwanza, hapakuwepo utashi wa kisiasa kulifanya eneo lote la Ngorongoro kuwa Human Free.

Pili, wakazi wa maeneo hayo wapo, na sijui kuwa wameshirikishwa.

Tatu, Govt Decrees bila utashi wa kisiasa, unakuwa hugely unpopular.

Nne, watanzania kwa ujumla wamepigwa butwaa nauamuzi huo wa serikali ambao kimsingi unawapiga marufuku watu kuishi maeneo ya Ngorongoro.

Tano, tunakumbuka Operation Vijiji vya Ujamaa mwanzoni mwa miaka ya 70. Rais Aboud Jumbe Mwinyi alifanyiwa fujo mbele ya uso wake kule Kyela, serikali ilipotaka kuwahamisha wananchi kwa lazima kwenda viijiji vya ujamaa kwa nguvu.

Sita, tunaelekea mwaka wa uchaguzi. Serikali iliyopo madarakani inategemea nini katika hili, an unpopular move?

Saba, mama Samia lazima ujue ushauri unaopewa kuhamisha wamasai Ngorongoro ni lazima utakudhuru. Wanaokushauri mwishowe hawatabeba msalaba wako.

Mimi ni kada wa CCM, na baada ya Magufuli nilimuunga mkono sana mama Samia. Lakini mama Samia lazima kula ile waingereza wanasema " a humble pie" au kukubali yaishe. Achana na mpango wa kuwahamisha wamasai Ngorongoro kwa nguvu.

Pia soma:Kuelekea 2025 - Wamasai Ngorongoro wamechoka kunyang’anywa ardhi yao na kupewa Mwarabu, Wameamua liwalo na liwe
4)...watanzania wamepigwa na butwaa..."[emoji44][emoji44]



1951 wakazi wa kimaasai walihamishwa mbuga ya Serengeti ili kuwa "NP"...uhamisho huo ulifanywa na WAZUNGU....

SELOUS walihamishwa jamii ya WANDENGEREKO NA WAMATUMBI kupisha mbuga kuwa "NP"...ama kwa kuwa hawa si wamaasai (nilotics)?!! [emoji1787].

Hakuna cha butwaa bali hii TAHARUKI ni ya KUTENGENEZWA....

1951 hakukuwa na MITANDAO YA KIJAMII....

Ya Selous hayakuwa na MITANDAO YA KIJAMII wala WANAHARAKATI [emoji1787]

#No retreat No Surrender [emoji2956]
#Nchi Kwanza ,Samia anafuatia [emoji2956]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mwana CCM nyuma ya keyboard,

Toka wazi ukemee.
 
Suala la kuhamisha watu wote Ngorongoro halijapokewa vizuri na si tu jamii ya wamasai, bali watanzania kwa ujumla.

Kwanza, hapakuwepo utashi wa kisiasa kulifanya eneo lote la Ngorongoro kuwa Human Free.

Pili, wakazi wa maeneo hayo wapo, na sijui kuwa wameshirikishwa.

Tatu, Govt Decrees bila utashi wa kisiasa, unakuwa hugely unpopular.

Nne, watanzania kwa ujumla wamepigwa butwaa nauamuzi huo wa serikali ambao kimsingi unawapiga marufuku watu kuishi maeneo ya Ngorongoro.

Tano, tunakumbuka Operation Vijiji vya Ujamaa mwanzoni mwa miaka ya 70. Rais Aboud Jumbe Mwinyi alifanyiwa fujo mbele ya uso wake kule Kyela, serikali ilipotaka kuwahamisha wananchi kwa lazima kwenda viijiji vya ujamaa kwa nguvu.

Sita, tunaelekea mwaka wa uchaguzi. Serikali iliyopo madarakani inategemea nini katika hili, an unpopular move?

Saba, mama Samia lazima ujue ushauri unaopewa kuhamisha wamasai Ngorongoro ni lazima utakudhuru. Wanaokushauri mwishowe hawatabeba msalaba wako.

Mimi ni kada wa CCM, na baada ya Magufuli nilimuunga mkono sana mama Samia. Lakini mama Samia lazima kula ile waingereza wanasema " a humble pie" au kukubali yaishe. Achana na mpango wa kuwahamisha wamasai Ngorongoro kwa nguvu.

Pia soma:Kuelekea 2025 - Wamasai Ngorongoro wamechoka kunyang’anywa ardhi yao na kupewa Mwarabu, Wameamua liwalo na liwe
Tanzania tumekuwa na Mali asili nyingi na Mbuga za wanyama kibao.

Kwa miaka yoote hiyo hazina tija yoyote kwa Taifa.

Sasa kinachofanya tung'ang'anie ngoro×2 nini hadi tufukuzane kama Mwivi?
 
Tatizo vya Waarabu haviliwi bure, hapo unapigwa msako wa utatoa hutoi.
 
Tatizo vya Waarabu haviliwi bure, hapo unapigwa msako wa utatoa hutoi.
Waarabu waarabu waaarabu waarabu waarabu waarabu...

OBSESSIVE COMPULSIVE DISORDERS na hao jamaa ?!! [emoji1787]

Mbona hamweleweki?!!!

Ni hayati JPM aliyewapa tenda ARAB CONTRACTORS wa MISRI kulijenga BWAWA LA UFUAJI UMEME MWALIMU NYERERE ......

Mnafeli wapi ?!! [emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Waarabu waarabu waaarabu waarabu waarabu waarabu...

OBSESSIVE COMPULSIVE DISORDERS na hao jamaa ?!! [emoji1787]

Mbona hamweleweki?!!!

Ni hayati JPM aliyewapa tenda ARAB CONTRACTORS wa MISRI kulijenga BWAWA LA UFUAJI UMEME MWALIMU NYERERE ......

Mnafeli wapi ?!! [emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Basi wanaondolewa Masai lile eneo wapewe Wazungu. Happy now, Mwijaku?

Halafu Hayati Magufuli alivyowapa Tenda Waarabu waliondolewa kina nani pale msituni?

We jamaa zimo kweli kichwani? Mbona ni scenario mbili tofauti kabisa.
 
Tanzania tumekuwa na Mali asili nyingi na Mbuga za wanyama kibao.

Kwa miaka yoote hiyo hazina tija yoyote kwa Taifa.

Sasa kinachofanya tung'ang'anie ngoro×2 nini hadi tufukuzane kama Mwivi?
Ni kitendawili. CCM watakitengua
 
Basi wanaondolewa Masai lile eneo wapewe Wazungu. Happy now, Mwijaku?

Halafu Hayati Magufuli alivyowapa Tenda Waarabu waliondolewa kina nani pale msituni.

We jamaa zimo kweli kichwani? Mbona ni scenario mbili tofauti kabisa.
Ni hapohapo SELOUS ambapo miaka mingi nyuma WANDENGEREKO waliondolewa kupisha "NATIONAL PARK"...


Miaka mingi baadaye "WAARABU" wa MISRI (ARAB CONTRACTORS) wakapewa TENDA ya ujenzi wa BWAWA LA UFUAJI UMEME la Mwalimu JK.Nyerere.....

Kwa kuwa mwenyewe hutaki kuupanua ubongo wako kwa mifano niliyokupa hapo juu ,katu mimi SIKUPANUI....

#Samia na maono kuntu ya JMT[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Suala la kuhamisha watu wote Ngorongoro halijapokewa vizuri na si tu jamii ya wamasai, bali watanzania kwa ujumla.

Kwanza, hapakuwepo utashi wa kisiasa kulifanya eneo lote la Ngorongoro kuwa Human Free.

Pili, wakazi wa maeneo hayo wapo, na sijui kuwa wameshirikishwa.

Tatu, Govt Decrees bila utashi wa kisiasa, unakuwa hugely unpopular.

Nne, watanzania kwa ujumla wamepigwa butwaa nauamuzi huo wa serikali ambao kimsingi unawapiga marufuku watu kuishi maeneo ya Ngorongoro.

Tano, tunakumbuka Operation Vijiji vya Ujamaa mwanzoni mwa miaka ya 70. Rais Aboud Jumbe Mwinyi alifanyiwa fujo mbele ya uso wake kule Kyela, serikali ilipotaka kuwahamisha wananchi kwa lazima kwenda viijiji vya ujamaa kwa nguvu.

Sita, tunaelekea mwaka wa uchaguzi. Serikali iliyopo madarakani inategemea nini katika hili, an unpopular move?

Saba, mama Samia lazima ujue ushauri unaopewa kuhamisha wamasai Ngorongoro ni lazima utakudhuru. Wanaokushauri mwishowe hawatabeba msalaba wako.

Mimi ni kada wa CCM, na baada ya Magufuli nilimuunga mkono sana mama Samia. Lakini mama Samia lazima kula ile waingereza wanasema " a humble pie" au kukubali yaishe. Achana na mpango wa kuwahamisha wamasai Ngorongoro kwa nguvu.

Pia soma:Kuelekea 2025 - Wamasai Ngorongoro wamechoka kunyang’anywa ardhi yao na kupewa Mwarabu, Wameamua liwalo na liwe
Wamasai waliobaki porini wanao katalia uko hawajitambui kabisa kule maisha magumu badala kutoka kwenda sehem zenye huduma wao wamekomaa kuwapa wanasiasa ulaji kwa kujidai wana watetea ila ukweli ni kwamba kule Ngorongoro maisha ni ya hovyo tu na hakuna future kabisa kwa wakazi ni heri watoke wakaishi uraiani
 
sio sawa wanyama na binadamu kuishi pamoja, hayo ya kuwatumia wamasai kama wanyamapori wakuonyesha watalii ifike sehemu tuachane nayo, its either wamasai wapishe wanyama au wanyama wawapishe wamasai, sasa tupime faida na hasara za kufuta hufadhi ya ngorongoro, je kati ya wamasai na hifadhi ya ngorongoro kipi chenye maslahi kwa taifa?

tuwape uhuru wachague na wapige kura tufute ngorongoro tuwaache wamasai walime au tulinde hifadhi ya ngorongoro
 
Back
Top Bottom