Rais Samia, achana na mpango wa Ngorongoro

Rais Samia, achana na mpango wa Ngorongoro

Suala la kuhamisha watu wote Ngorongoro halijapokewa vizuri na si tu jamii ya wamasai, bali watanzania kwa ujumla.

Kwanza, hapakuwepo utashi wa kisiasa kulifanya eneo lote la Ngorongoro kuwa Human Free.

Pili, wakazi wa maeneo hayo wapo, na sijui kuwa wameshirikishwa.

Tatu, Govt Decrees bila utashi wa kisiasa, unakuwa hugely unpopular.

Nne, watanzania kwa ujumla wamepigwa butwaa nauamuzi huo wa serikali ambao kimsingi unawapiga marufuku watu kuishi maeneo ya Ngorongoro.

Tano, tunakumbuka Operation Vijiji vya Ujamaa mwanzoni mwa miaka ya 70. Rais Aboud Jumbe Mwinyi alifanyiwa fujo mbele ya uso wake kule Kyela, serikali ilipotaka kuwahamisha wananchi kwa lazima kwenda viijiji vya ujamaa kwa nguvu.

Sita, tunaelekea mwaka wa uchaguzi. Serikali iliyopo madarakani inategemea nini katika hili, an unpopular move?

Saba, mama Samia lazima ujue ushauri unaopewa kuhamisha wamasai Ngorongoro ni lazima utakudhuru. Wanaokushauri mwishowe hawatabeba msalaba wako.

Mimi ni kada wa CCM, na baada ya Magufuli nilimuunga mkono sana mama Samia. Lakini mama Samia lazima kula ile waingereza wanasema " a humble pie" au kukubali yaishe. Achana na mpango wa kuwahamisha wamasai Ngorongoro kwa nguvu.

Pia soma:Kuelekea 2025 - Wamasai Ngorongoro wamechoka kunyang’anywa ardhi yao na kupewa Mwarabu, Wameamua liwalo na liwe
Ngorongoro ni mfupa mgumu sana,na ndiyo ulimngoa Jerry Silaa kule Wizara ya ardhi na kutupwa Mawasiliano!!
 
4)...watanzania wamepigwa na butwaa..."[emoji44][emoji44]



1951 wakazi wa kimaasai walihamishwa mbuga ya Serengeti ili kuwa "NP"...uhamisho huo ulifanywa na WAZUNGU....

SELOUS walihamishwa jamii ya WANDENGEREKO NA WAMATUMBI kupisha mbuga kuwa "NP"...ama kwa kuwa hawa si wamaasai (nilotics)?!! [emoji1787].

Hakuna cha butwaa bali hii TAHARUKI ni ya KUTENGENEZWA....

1951 hakukuwa na MITANDAO YA KIJAMII....

Ya Selous hayakuwa na MITANDAO YA KIJAMII wala WANAHARAKATI [emoji1787]

#No retreat No Surrender [emoji2956]
#Nchi Kwanza ,Samia anafuatia [emoji2956]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Huna hata like 1 hapa kuonesha unaongea shudu
 
Suala la kuhamisha watu wote Ngorongoro halijapokewa vizuri na si tu jamii ya wamasai, bali watanzania kwa ujumla.

Kwanza, hapakuwepo utashi wa kisiasa kulifanya eneo lote la Ngorongoro kuwa Human Free.

Pili, wakazi wa maeneo hayo wapo, na sijui kuwa wameshirikishwa.

Tatu, Govt Decrees bila utashi wa kisiasa, unakuwa hugely unpopular.

Nne, watanzania kwa ujumla wamepigwa butwaa nauamuzi huo wa serikali ambao kimsingi unawapiga marufuku watu kuishi maeneo ya Ngorongoro.

Tano, tunakumbuka Operation Vijiji vya Ujamaa mwanzoni mwa miaka ya 70. Rais Aboud Jumbe Mwinyi alifanyiwa fujo mbele ya uso wake kule Kyela, serikali ilipotaka kuwahamisha wananchi kwa lazima kwenda viijiji vya ujamaa kwa nguvu.

Sita, tunaelekea mwaka wa uchaguzi. Serikali iliyopo madarakani inategemea nini katika hili, an unpopular move?

Saba, mama Samia lazima ujue ushauri unaopewa kuhamisha wamasai Ngorongoro ni lazima utakudhuru. Wanaokushauri mwishowe hawatabeba msalaba wako.

Mimi ni kada wa CCM, na baada ya Magufuli nilimuunga mkono sana mama Samia. Lakini mama Samia lazima kula ile waingereza wanasema " a humble pie" au kukubali yaishe. Achana na mpango wa kuwahamisha wamasai Ngorongoro kwa nguvu.

Pia soma:Kuelekea 2025 - Wamasai Ngorongoro wamechoka kunyang’anywa ardhi yao na kupewa Mwarabu, Wameamua liwalo na liwe
Mkuu Jidu, Jidu La Mabambasi, naunga mkono hoja.
P
 
Hakuna cha waah hapo, sidhani kama itakuwa rahisi hivyo.
Hakuna ugumu wowote, ni mserereko tuu kama kawa...
Kwani Nape hukumsikia?, ulijua ni kweli he was joking?.

Kwa taarifa yako, uchaguzi wa 2025 kwenye urais, tayari it's a done deal, 2025 ni kukamilisha tuu taratibu za takwa la kikatiba kuwa uchaguzi wa rais kila baada ya miaka mitano.
P
 
Mkuu tushakula Chao... Haiwezekani Tena.
😭
 
Suala la kuhamisha watu wote Ngorongoro halijapokewa vizuri na si tu jamii ya wamasai, bali watanzania kwa ujumla.

Kwanza, hapakuwepo utashi wa kisiasa kulifanya eneo lote la Ngorongoro kuwa Human Free.

Pili, wakazi wa maeneo hayo wapo, na sijui kuwa wameshirikishwa.

Tatu, Govt Decrees bila utashi wa kisiasa, unakuwa hugely unpopular.

Nne, watanzania kwa ujumla wamepigwa butwaa nauamuzi huo wa serikali ambao kimsingi unawapiga marufuku watu kuishi maeneo ya Ngorongoro.

Tano, tunakumbuka Operation Vijiji vya Ujamaa mwanzoni mwa miaka ya 70. Rais Aboud Jumbe Mwinyi alifanyiwa fujo mbele ya uso wake kule Kyela, serikali ilipotaka kuwahamisha wananchi kwa lazima kwenda viijiji vya ujamaa kwa nguvu.

Sita, tunaelekea mwaka wa uchaguzi. Serikali iliyopo madarakani inategemea nini katika hili, an unpopular move?

Saba, mama Samia lazima ujue ushauri unaopewa kuhamisha wamasai Ngorongoro ni lazima utakudhuru. Wanaokushauri mwishowe hawatabeba msalaba wako.

Mimi ni kada wa CCM, na baada ya Magufuli nilimuunga mkono sana mama Samia. Lakini mama Samia lazima kula ile waingereza wanasema " a humble pie" au kukubali yaishe. Achana na mpango wa kuwahamisha wamasai Ngorongoro kwa nguvu.

Pia soma:Kuelekea 2025 - Wamasai Ngorongoro wamechoka kunyang’anywa ardhi yao na kupewa Mwarabu, Wameamua liwalo na liwe
Ameshachukua cha watu.....kujua wa tz wajinga ndio ndio yeye chura kiziwi......atajutaaa
 
Suala la kuhamisha watu wote Ngorongoro halijapokewa vizuri na si tu jamii ya wamasai, bali watanzania kwa ujumla.

Kwanza, hapakuwepo utashi wa kisiasa kulifanya eneo lote la Ngorongoro kuwa Human Free.

Pili, wakazi wa maeneo hayo wapo, na sijui kuwa wameshirikishwa.

Tatu, Govt Decrees bila utashi wa kisiasa, unakuwa hugely unpopular.

Nne, watanzania kwa ujumla wamepigwa butwaa nauamuzi huo wa serikali ambao kimsingi unawapiga marufuku watu kuishi maeneo ya Ngorongoro.

Tano, tunakumbuka Operation Vijiji vya Ujamaa mwanzoni mwa miaka ya 70. Rais Aboud Jumbe Mwinyi alifanyiwa fujo mbele ya uso wake kule Kyela, serikali ilipotaka kuwahamisha wananchi kwa lazima kwenda viijiji vya ujamaa kwa nguvu.

Sita, tunaelekea mwaka wa uchaguzi. Serikali iliyopo madarakani inategemea nini katika hili, an unpopular move?

Saba, mama Samia lazima ujue ushauri unaopewa kuhamisha wamasai Ngorongoro ni lazima utakudhuru. Wanaokushauri mwishowe hawatabeba msalaba wako.

Mimi ni kada wa CCM, na baada ya Magufuli nilimuunga mkono sana mama Samia. Lakini mama Samia lazima kula ile waingereza wanasema " a humble pie" au kukubali yaishe. Achana na mpango wa kuwahamisha wamasai Ngorongoro kwa nguvu.

Pia soma:Kuelekea 2025 - Wamasai Ngorongoro wamechoka kunyang’anywa ardhi yao na kupewa Mwarabu, Wameamua liwalo na liwe
Tatizo Familia Wanataka utajiri wa haraka Toka kwa mwarabu

Huyu anayewashauri kuchuma utajiri hararaka Toka Tanganyika anawapoteza
 
Nampenda sana rais Samia..
Ila ktk hhili nadhani washauri hawajafanya kazi yao vyema.

Itoshe kusema wamsaidie
( kwamba urais kama taasisi)
Urais ni mali yake binafsi,tusimpangie nini afanye na kutofanya...time will tel
 
4)...watanzania wamepigwa na butwaa..."[emoji44][emoji44]



1951 wakazi wa kimaasai walihamishwa mbuga ya Serengeti ili kuwa "NP"...uhamisho huo ulifanywa na WAZUNGU....

SELOUS walihamishwa jamii ya WANDENGEREKO NA WAMATUMBI kupisha mbuga kuwa "NP"...ama kwa kuwa hawa si wamaasai (nilotics)?!! [emoji1787].

Hakuna cha butwaa bali hii TAHARUKI ni ya KUTENGENEZWA....

1951 hakukuwa na MITANDAO YA KIJAMII....

Ya Selous hayakuwa na MITANDAO YA KIJAMII wala WANAHARAKATI [emoji1787]

#No retreat No Surrender [emoji2956]
#Nchi Kwanza ,Samia anafuatia [emoji2956]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Na waliopitisha Sheria ya wamasai kuwa ngorongoro ni Nyani au Nguruwe
 
Waarabu waarabu waaarabu waarabu waarabu waarabu...

OBSESSIVE COMPULSIVE DISORDERS na hao jamaa ?!! [emoji1787]

Mbona hamweleweki?!!!

Ni hayati JPM aliyewapa tenda ARAB CONTRACTORS wa MISRI kulijenga BWAWA LA UFUAJI UMEME MWALIMU NYERERE ......

Mnafeli wapi ?!! [emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ndio wanaochukia ngorongoro au unataka kuwa ghilibu watu hapo na kufananisha na hiyo tenda ya kuwafanyisha kazi hao Arab contractors
 
Ni hapohapo SELOUS ambapo miaka mingi nyuma WANDENGEREKO waliondolewa kupisha "NATIONAL PARK"...


Miaka mingi baadaye "WAARABU" wa MISRI (ARAB CONTRACTORS) wakapewa TENDA ya ujenzi wa BWAWA LA UFUAJI UMEME la Mwalimu JK.Nyerere.....

Kwa kuwa mwenyewe hutaki kuupanua ubongo wako kwa mifano niliyokupa hapo juu ,katu mimi SIKUPANUI....

#Samia na maono kuntu ya JMT[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Selou haikuwahi kuwa NP, Bali ilikuwa game reserve.
Na wandengereko hawakuhamishwa kamawwanavyo hamishwa wamasai.
 
Ni vile tu labda amekosa watu wazuri na pengine wanaomtakia mema, ila yeye binafsi alipaswa kujua namna gani nzuri ya kuongoza hii jamuhuri.
Kulingana na namna alivyo ingia madarakani, asili yake, jinsia yake chama chake si wengi wanampenda au wapo na amani na uongozi wake.
Alipaswa awe upande wa wananchi wengi ili kila anacho kifanya kiungwe mkono na wengi mfano Hayati Magufuli, yeye ingawa alikua ana mengi mabaya yaliofanyika katika uongozi wake, ila kwa vile alikuw upande wa wananchi mpaka siku ile anaingia kaburini kati ya watanzania 100 ni wawili ama mmoja ambaye hakusikitika.

Sasa mh wetu yeye kajitenga mbali kabisa na wananchi, anaingia mikataba na makubaliano ambayo kila anaesikia anabaki mdomo wazi, hapati utetezi wa umma anaouongoza, achilia mbali kauli zake tata mara kujifananisha na kiziwi asiye sikia lolote, mara kuita wakosoaji mbwa wapumbavu!!!
Labda kama hio 2025 hana mpango nayo.
 
Back
Top Bottom