Rais Samia, achana na mpango wa Ngorongoro

Rais Samia, achana na mpango wa Ngorongoro

Wamasai waliobaki porini wanao katalia uko hawajitambui kabisa kule maisha magumu badala kutoka kwenda sehem zenye huduma wao wamekomaa kuwapa wanasiasa ulaji kwa kujidai wana watetea ila ukweli ni kwamba kule Ngorongoro maisha ni ya hovyo tu na hakuna future kabisa kwa wakazi ni heri watoke wakaishi uraiani
Hujafikiria vizuri...

Ugumu katika miaka mitatu hii umetengenezwa na Samia Suluhu Hassan na CCM yake kwa kutowapa huduma za kijamii zote kama maji, hospitali, shule nk nk akidhani kuwa wanaweza kufa na kudhoofika na kisha kuanza kuondoka wenyewe ili yeye (Rais Samia Suluhu Hassan na CCM yake) watimize nia yao ovu kuiuza pande hilo la ardhi kwa wawekezaji wa kiarabu kwa kuwa tu viongozi hawa (Rais na watu wake) wamesha kula mulungula wa hao wanaoitwa "wawekezaji......."

MPANGO HUU WA KIOVU UMESHINDWA NA WATASHINDWA TENA NA TENA IWAPO WATAJARIBU......!!

Na unashangaza kwa kauli yako hii kwani ni wazi kuwa unadhania kuwa maisha ya Wamasai ktk ardhi zao za Ngorongoro na Loliondo yameanza juzi baada ya Samia kuwa Rais........

Wamasai wako katika maeneo hayo karne na karne. Maeneo hayo ni sehemu ya urithi na utamaduni wao......

Wewe unaweza kuwaona wanaishi kiajabu na ktk mazingira magumu ya porini pamoja na wanyama.....

Lakini wao ndio maisha yao hayo. Ndiyo culture yao hiyo. Na kamwe huwaambii kitu kwenye hilo na huwezi kuwatoa katika mazingira hayo labda uwaue wote kabisa kwa risasi au sumu......!!
 
Hujafikiria vizuri...

Ugumu katika miaka mitatu hii umetengenezwa na Samia Suluhu Hassan na CCM yake kwa kutowapa huduma za kijamii zote kama maji, hospitali, shule nk nk akidhani kuwa wanaweza kufa na kudhoofika na kisha kuanza kuondoka wenyewe ili yeye (Rais Samia Suluhu Hassan na CCM yake) watimize nia yao ovu kuiuza pande hilo la ardhi kwa wawekezaji wa kiarabu kwa kuwa tu viongozi hawa (Rais na watu wake) wamesha kula mulungula wa hao wanaoitwa "wawekezaji......."

MPANGO HUU WA KIOVU UMESHINDWA NA WATASHINDWA TENA NA TENA IWAPO WATAJARIBU......!!

Na unashangaza kwa kauli yako hii kwani ni wazi kuwa unadhania kuwa maisha ya Wamasai ktk ardhi zao za Ngorongoro na Loliondo yameanza juzi baada ya Samia kuwa Rais........

Wamasai wako katika maeneo hayo karne na karne. Maeneo hayo ni sehemu ya urithi na utamaduni wao......

Wewe unaweza kuwaona wanaishi kiajabu na ktk mazingira magumu ya porini pamoja na wanyama.....

Lakini wao ndio maisha yao hayo. Ndiyo culture yao hiyo. Na kamwe huwaambii kitu kwenye hilo na huwezi kuwatoa katika mazingira hayo labda uwaue wote kabisa kwa risasi au sumu......!!
Hakuna Ardhi inayo uzwa acha kufata maneno ya vijiweni ao masai ni muhimu watoke hifadhini kwa manufaa ya utunzaji wa maliasili ili vizazi vijavyo vizikute
 
Hujafikiria vizuri...

Ugumu katika miaka mitatu hii umetengenezwa na Samia Suluhu Hassan na CCM yake kwa kutowapa huduma za kijamii zote kama maji, hospitali, shule nk nk akidhani kuwa wanaweza kufa na kudhoofika na kisha kuanza kuondoka wenyewe ili yeye (Rais Samia Suluhu Hassan na CCM yake) watimize nia yao ovu kuiuza pande hilo la ardhi kwa wawekezaji wa kiarabu kwa kuwa tu viongozi hawa (Rais na watu wake) wamesha kula mulungula wa hao wanaoitwa "wawekezaji......."

MPANGO HUU WA KIOVU UMESHINDWA NA WATASHINDWA TENA NA TENA IWAPO WATAJARIBU......!!

Na unashangaza kwa kauli yako hii kwani ni wazi kuwa unadhania kuwa maisha ya Wamasai ktk ardhi zao za Ngorongoro na Loliondo yameanza juzi baada ya Samia kuwa Rais........

Wamasai wako katika maeneo hayo karne na karne. Maeneo hayo ni sehemu ya urithi na utamaduni wao......

Wewe unaweza kuwaona wanaishi kiajabu na ktk mazingira magumu ya porini pamoja na wanyama.....

Lakini wao ndio maisha yao hayo. Ndiyo culture yao hiyo. Na kamwe huwaambii kitu kwenye hilo na huwezi kuwatoa katika mazingira hayo labda uwaue wote kabisa kwa risasi au sumu......!!
Kimsingi walio panga mpango huo kwa kingereza twaweza kusema ni novices na naive!
 
Wamasai wangehamishwa kwa nguvu toka ngorongoro sumu hii ingeenea nchi nzima na CCM ingekuwa na wakati mgumu sana kwenye uchaguzi.
 
Hakuna Ardhi inayo uzwa acha kufata maneno ya vijiweni ao masai ni muhimu watoke hifadhini kwa manufaa ya utunzaji wa maliasili ili vizazi vijavyo vizikute
Unayekaa vijiweni na kufuata maneno ya vijiweni ni wewe bila shaka......

Hata ukitumia vizuri akili yako ya kawaida tu (common sense) na ukachanganya na elimu yako ya darasa la IV uliyopata huko Mbinga - Ruvuma kwenu, utaweza kuelewa kirahisi tu kwamba, motives behind this whole saga ni tamaa na ulafi wa pesa tu za kuhongwa na ufisadi toka kwa viongozi wa serikali yako hii chini ya Rais Samia Suluhu Hassan na CCM yenu...........

Rais Hayati Ally Hassan Mwinyi alifanikiwaga kuuza pande la ardhi ya Loliondo kwa mwarabu miaka ile na kufanikiwa kwake by then ni kwa sababu tu watu walikuwa bado wamelala ktk usingizi wa ujinga na kukosa ufahamu/uelewa na uduni wa teknolojia ya mawasiliano wakati huo.......

Aidha Hayati Rais Ally Hassan Mwinyi alifanikiwa kwa sababu hakujaribu kuwahamisha wamasai toka ktk ardhi yao hiyo ya asili. Alichukua eneo kubwa la wazi na wachache waliokuwepo hakuwa - relocate badala yake walisogezwa pembeni lakini ktk mazingira hayohayo ya ardhi ya asili yao......

Lakini huyu bibie (Samia) yeye ni hatari sana. Ni mlafi wa mapesa ya damu na dhuluma kuliko kawaida. Yeye tamaa yake na ya wenzake huko ni kuifuta kabisa jamii ya kimasai ktk eneo hilo kwa kuwaua kwa njaa na magonjwa ama kuwafukuzia wahamie nchi za jamii zingine mbali kule kilometa karibu 550 Msomera Tanga.......!!

Kwa akili za kawaida tu unashindwa nini kuelewa kuwa dhamira ya huyu mama ni kuuza kwa huyo wanayemwita "mwekezaji wa kiarabu" pande la ardhi ya Ngorongoro na rasrimali zote zilizomo humo....?

Tumia akili yako vuzuri kufikiri kabla ya kuandika........!!
 
Unayekaa vijiweni na kufuata maneno ya vijiweni ni wewe bila shaka......

Hata ukitumia vizuri akili yako ya kawaida tu (common sense) na ukachanganya na elimu yako ya darasa la IV uliyopata huko Mbinga - Ruvuma kwenu, utaweza kuelewa kirahisi tu kwamba, motives behind this whole saga ni tamaa na ulafi wa pesa tu za kuhongwa na ufisadi toka kwa viongozi wa serikali yako hii chini ya Rais Samia Suluhu Hassan na CCM yenu...........

Rais Hayati Ally Hassan Mwinyi alifanikiwaga kuuza pande la ardhi ya Loliondo kwa mwarabu miaka ile na kufanikiwa kwake by then ni kwa sababu tu watu walikuwa bado wamelala ktk usingizi wa ujinga na kukosa ufahamu/uelewa na uduni wa teknolojia ya mawasiliano wakati huo.......

Aidha Hayati Rais Ally Hassan Mwinyi alifanikiwa kwa sababu hakujaribu kuwahamisha wamasai toka ktk ardhi yao hiyo ya asili. Alichukua eneo kubwa la wazi na wachache waliokuwepo hakuwa - relocate badala yake walisogezwa pembeni lakini ktk mazingira hayohayo ya ardhi ya asili yao......

Lakini huyu bibie (Samia) yeye ni hatari sana. Ni mlafi wa mapesa ya damu na dhuluma kuliko kawaida. Yeye tamaa yake na ya wenzake huko ni kuifuta kabisa jamii ya kimasai ktk eneo hilo kwa kuwaua kwa njaa na magonjwa ama kuwafukuzia wahamie nchi za jamii zingine mbali kule kilometa karibu 550 Msomera Tanga.......!!

Kwa akili za kawaida tu unashindwa nini kuelewa kuwa dhamira ya huyu mama ni kuuza kwa huyo wanayemwita "mwekezaji wa kiarabu" pande la ardhi ya Ngorongoro na rasrimali zote zilizomo humo....?

Tumia akili yako vuzuri kufikiri kabla ya kuandika........!!
Huelewi kitu ni heri unyamaze tu huna unachokijua wewe kuhusu suala la Ngorongoro anyway siwezi kukueleza kiundani kwasababu haupo tayari kuelewa ila ungekua tayari ningekupa sababu kadhaa za kwanini Masai anatakiwa atoke Ngorongoro
 
Ngumu kuwa mgeni kwenye nyumba uliyozaliwa.
 
Back
Top Bottom