Rais Samia afanya Mabadiliko madogo ya uongozi Serikalini, amteua Daniel Chongolo kuwa Mkuu wa mkoa wa Songwe

Rais Samia afanya Mabadiliko madogo ya uongozi Serikalini, amteua Daniel Chongolo kuwa Mkuu wa mkoa wa Songwe

Bwana Paul Matiko Chacha kaula aisee,..safi sana kazi nzuri imelipa!!

Waziri Kindamba UDART pia Hongera sana.
 
Dah,yani mama kanisahau tena,ngoja nisome vizuri...
 
1. Ninaona pale Kigoma Ujiji kamtoa Mwantum Mgonja. Bibie alikuwa na ugomvi na madiwani wa Manispaa. Kumbuka Madiwani ndiyo mabosi wa Halmashauri kwa hiyo Wakurugenzi hawana budi kufuata maagizo yao.

2. Pale Manispaa ya Ubungo kamtumbua Elias Ntirihungwa ambaye alionekana kuelemewa na uzito wa Halmashauri ile yenye miradi mingi na kampeleka Mkurugenzi mpya anayetoka Jiji la Mwanza. Bwana Elias aliingia Ubungo June 2023 lakini madudu ni mengi sana, na hata wakati anapewa kijiti ma Mtangulizi wake Beatrice, Bwana Elias alikiri viatu vya Bite ni vikbwa sana. Hatimaye Mapato ya Halmashauri yameshuka haswa pale Magufuli Bus Terminal* na Mama kamuwasha kibao.

3. Lakini pia aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mr. Komba kahamishiwa Wilaya ya Geita. Za chini chini ni kwamba Bwana Komba alishindwa kabisa kufanya kazi na Mkurugenzi Elias, na kutamani Bi. Beatrice arudi, maana pigo la kwanza lilikuwa kushuka kwa mapato. Ikumbukwe Bi. Beatrice alikuwa Mkurugenzi Ubungo kwa miaka mitano na kufanya makubwa ikiwemo mapato kupanda kutoka Bi 5 mwaka 2018 hadi Bi 34 2023.

Sasa naona Mama hana nongwa na Bwana Komba na kaamua amsaidie Wilayani Geita ila akaachana na Bwana Elias Ntirihungwa aliuekuwa Mkurugenzi kishoia, na Mkuu mpya wa Wilaya ya Ubungo ni kijana mdogo na Katibu wa zamani wa Chipukizi Taifa Bwana Hassan Bomboko.

Lakini kule Tanga Jiji ninaona viatu vimekuwa vipana kwa Saidi Majaliwa na hatimaye kapewa Mji Mdogo wa Kondoa

Screenshot_20240309-124752.png
Screenshot_20240309-124854.png



Mkurugenzi wa Kigoma Ujiji alidiriki hata kupost habari za kuvunjwa kwa Baraza la Madiwani ila katoka yeye
 
Sijaona anayechukua nafasi ya Majaliwa Tanga, na pia alikopelekwa aliyekuwa DC wa Muheza.
Kutoka ukuu wa mkoa hadi ukurugenzi wa shirika.
 
1. Ninaona pale Kigoma Ujiji kamtoa Mwantum Mgonja. Bibie alikuwa na ugomvi na madiwani wa Manispaa. Kumbuka Madiwani ndiyo mabosi wa Halmashauri kwa hiyo Wakurugenzi hawana budi kufuata maagizo yao.

2. Pale Manispaa ya Ubungo kamtumbua Elias Ntirihungwa ambaye alionekana kuelemewa na uzito wa Halmashauri ile yenye miradi mingi na kampeleka Mkurugenzi mpya anayetoka Jiji la Mwanza. Bwana Elias aliingia Ubungo June 2023 lakini madudu ni mengi sana, na hata wakati anapewa kijiti ma Mtangulizi wake Beatrice, Bwana Elias alikiri viatu vya Bite ni vikbwa sana. Hatimaye Mapato ya Halmashauri yameshuka haswa pale Magufuli Bus Terminal* na Mama kamuwasha kibao.

3. Lakini pia aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mr. Komba kahamishiwa Wilaya ya Geita. Za chini chini ni kwamba Bwana Komba alishindwa kabisa kufanya kazi na Mkurugenzi Elias, na kutamani Bi. Beatrice arudi, maana pigo la kwanza lilikuwa kushuka kwa mapato. Ikumbukwe Bi. Beatrice alikuwa Mkurugenzi Ubungo kwa miaka mitano na kufanya makubwa ikiwemo mapato kupanda kutoka Bi 5 mwaka 2018 hadi Bi 34 2023.

Sasa naona Mama hana nongwa na Bwana Komba na kaamua amsaidie Wilayani Geita ila akaachana na Bwana Elias Ntirihungwa aliuekuwa Mkurugenzi kishoia, na Mkuu mpya wa Wilaya ya Ubungo ni kijana mdogo na Katibu wa zamani wa Chipukizi Taifa Bwana Hassan Bomboko.

4. Huko Mlimba naona mama kaachana na Rose Robert Manumba ambaye ni mtoto wa DCI wa zamani (RIP) Robert Manumba.

Lakini kule Tanga Jiji ninaona viatu vimekuwa vipana kwa Saidi Majaliwa na hatimaye kapewa Mji Mdogo wa Kondoa

View attachment 2929275View attachment 2929277


Mkurugenzi wa Kigoma Ujiji alidiriki hata kupost habari za kuvunjwa kwa Baraza la Madiwani ila katoka yeyeView attachment 2929288
Sumbawanga je? Imekuwaje
 
Back
Top Bottom