Kiungopunda
JF-Expert Member
- Oct 24, 2023
- 1,349
- 3,145
Kweli uchawi upo, yaani pamoja na kwamba Lain E. Kamendu anastaafu mwezi huu wa tatu, bado amebaki kuwa DED huko Kilolo. Dah, nimejisikia vibaya kwa rafiki yangu. A very humble Person Peres Magiri kuhamishwa Kilolo na kupelekwa huko Nyasa.