Rais Samia afanya Mabadiliko madogo ya uongozi Serikalini, amteua Daniel Chongolo kuwa Mkuu wa mkoa wa Songwe

Kweli uchawi upo, yaani pamoja na kwamba Lain E. Kamendu anastaafu mwezi huu wa tatu, bado amebaki kuwa DED huko Kilolo. Dah, nimejisikia vibaya kwa rafiki yangu. A very humble Person Peres Magiri kuhamishwa Kilolo na kupelekwa huko Nyasa.
 
Sijaona anayechukua nafasi ya Majaliwa Tanga, na pia alikopelekwa aliyekuwa DC wa Muheza.
Kutoka ukuu wa mkoa hadi ukurugenzi wa shirika.
Alishakuwa mkurugenzi TTCL usisahau
 
Nimekodoa macho mpaka yananiuma Kwa kumtafuta CHAWA WA MAMY.
MAYELE
LUCAS Mzee wa contact🐍.
Siasa buana
 
Wakurugenzi wanapangwa ili kwenye Uchaguzi wamsaidie Mama?

Safari hii tutalala kwenye Vituo vya kuhesabia kura.
 
Hivi Mayalla na Lucas Mwaashambwa bado hawana mvuto?
 
Yaani Tandahimba ni mwendo wa kwata tu, akitoka kamanda Soja anaingia Luteni Kishoka.....!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…