pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,660
- 6,282
Unaamka unakuta walinzi hawapo lindoni ukiuliza wako wapi haus gelo anakujibu 'ni mimi tu nimebaki ili kukupasha habari.Huu uteuz wa usiku wa manane Ni balaaa tupu, unaamka kibarua kimeota mbawa[emoji848]
Alitajwa tajwa Kafulila ktk mahojiano hayo?Baada ya Mahojiano ya Jaji Werema kwenye gazeti la Mwananchi nilijua tu Kafulila anatafutwa.
"Msoga kwenye usukani"
Si ungeenda ofisini kwake? Simu wapi n wapi mtu yupo busy na kazi zake😒Basi Kafulila alipoteuliwa nilikuwa na shida fulani nilimpigia simu mara 70 na text 10 hakujibu mpaka leo anatenguliwa. Nadhani ajifunze siyo kila mtu wa anayekupigia simu ana njaa
Ule Mkoa ni Mgumu sana, hasa miaka 6 hii.Mtwara huwa hapamuachi mtu salama,
Mtwara...mtwara......mtwaraaaaa kunani hukooo.?!
Mtaka alimdharau nani na lini.1.Alli hapi
2.Kafulila
3.Eng Gabriel...
Unaamka VX imeenda upande mwingine.Huu uteuz wa usiku wa manane Ni balaaa tupu, unaamka kibarua kimeota mbawa[emoji848]
Mateo yupo wapi?Hizi assumption mimi huwa siamini kama mpo serious wakuu, unakuta mtu labda alikuwa waziri kwa miongo kadhaa (mf Lukuvi) kisha ...
Issue ya Chalamila ilikuwa ni misinterpretation tu ya kauli yake. Lakini huyu Hapi, atarudi endapo ikitokea masalia ya utawala wa JPM yakibahatika kushika nchi.CCM wanajuana , si ajabu baada ya muda tukamuona tena kwenye system kama ilivyokuwa kwa Chalamila.
Ndio vyeo vya uteuzi vipo hivyo sio ajira ya kudumu.Ally Hapi wamemtapika.
Amelala akiamka atakutana na meseji za pole
Kuwashawishi Kina kinana, membe, samia, makamba, na JK wakupe nchi.😃Issue ya Chalamila ilikuwa ni misinterpretation tu ya kauli yake. Lkn huyu Happi, atarudi endapo ikitokea masalia ya utawala wa jpm yakibahatika kushika nchi.
Afande hawezi kukosa pa kwenda
Amekosa kazi za ungoswe( ukarani wa sensa)Kwamba ally hapo ni jobless
Lazima ucheke hata kama inaumiza.unakuta msg ya dereva wa V8 inasema bye sir
Wasukuma na wanyamwezi na wadakama wasumbwa, wanyantuzu wote ni wasukuma tu kwa ujumla wao ! Tofauti ni ndogo sana kati yao kwa kadri ninavyofahamu Mimi!!Achana na hao Robert Gabriel Luhumbi ndo msukuma na Ally Hapi ni mnyamwezi wa tabora huko!
Huyo alikuwa big G tu ya Chadema, CCM wakaikwapua, wameitafuna sasa imeisha utamu, ni kutemwa tu.Mama angemuacha tumbili kazi alikuwa anapiga