Rais Samia afanya mabadiliko Wakuu wa Mikoa. Ally Hapi, Kigaigai, Kafulila na Eng. Robert Gabriel watemwa

Rais Samia afanya mabadiliko Wakuu wa Mikoa. Ally Hapi, Kigaigai, Kafulila na Eng. Robert Gabriel watemwa

Issue ya Chalamila ilikuwa ni misinterpretation tu ya kauli yake. Lkn huyu Happi, atarudi endapo ikitokea masalia ya utawala wa jpm yakibahatika kushika nchi.
Kuwashawishi Kina kinana, membe, samia, makamba, na JK wakupe nchi.😃
 
#
 

Attachments

  • 20220728_082224.jpg
    20220728_082224.jpg
    36 KB · Views: 5
Wakapumzike tuu. Maisha ni kubadilishana vijiti. Umepata dhamani ya ukuu wa mkoa/wilaya/uwaziri nk kwa miaka 2-3 au zaidi na bado unalalamika?

Hizi kazi zitangazwe watu washindanishwe au ziwe za mkataba!
 
Back
Top Bottom