Rais Samia afanya mabadiliko Wakuu wa Mikoa. Ally Hapi, Kigaigai, Kafulila na Eng. Robert Gabriel watemwa

Rais Samia afanya mabadiliko Wakuu wa Mikoa. Ally Hapi, Kigaigai, Kafulila na Eng. Robert Gabriel watemwa

CCM huwa hawasahauliani mkuu, wanapeana ulaji kila inapobidi. Hawa wote unaowaona wamewekwa nje ya track, mbeleni kidogo utawaona kwenye system tena.

Mpaka kizazi kinazeeka ni mwendo wa kubadilishana madaraka tu.
 
Kiukweli sukuma gang ndiyo imetoka na kujifia mazima.
Na akitokea mtu mwenye falsafa hizo akashika nchi vijana watafanya kazi kwa ref za kina Sabaya na Hapi.
 
Ma DC na wakurugenzi watakuwa hawana amani kabisa asubuhi ya leo. Mtu hata chai kunywa aipandi hasa kwa wale ambao awajatokea serikalini na pressure juu.

Tabu yote hii ya nini yaani kila ukitoka kwenye media Rais wetu mnapendwa katupa mabilioni ya kujenga sijui nini kutwa kujipendekeza na ajira yenyewe haina guarantee.

Vijana tujifunze kujiajiri
 
Basi Kafulila alipoteuliwa nilikuwa na shida fulani nilimpigia simu mara 70 na text 10 hakujibu mpaka leo anatenguliwa. Nadhani ajifunze siyo kila mtu wa anayekupigia simu ana njaa
Wakati unapiga simu mara 70 ulikuwa na akili timamu kweli? Njaa mbaya sana leo katenguliwa inakuja kujiaibiisha huku jukwaani. Mpigie Tena ma 70.
 
Rais Samia Suluhu amefanya mabadiliko ya wakuu wa mikoa nchini huku akiingiza majina mapya tisa akiwemo Albert Chalamila aliyeteuliwa kuwa mkuu wa mkoa wa Kagera.

Wakuu wa mikoa 10 wamebaki kwenye vituo vyao vya kazi vya awali huku 7 wakihamishwa.

Aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Mara, Ally Hapi ameachwa katika orodha mpya, dhahma hiyo pia imewakumba aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Simiyu, David Kafulila.

Pia aliyekuwa katibu mkuu wa Bunge na badae kupewa mkoa wa Kilimanjaro, Stephen Kigaigai nae ametemwa.


======

Mkeka wa wakuu wa mikoa.
View attachment 2306342View attachment 2306343
View attachment 2306345
Natabiri Kafulila kwenda wizarani
 
kazi ya ukoo wa mkoa, wilaya au Das ni ngumu sana..wachawi kila kona hadi dereva wako nae anatumika kukuchoma haha..wakuda kibao tena wingine wanatuma sms magogoni..
Unganisha na uchawi kutoka kwa mbunge, mkurugenzi wa jiji, wazee wa baraza, sasa ukute unatokea kwenye mkoa una mbunge kama mr. darasa la saba, na mkuu wa wilaya kama gambo..aloo bora upewe hata taasisi ya kilimo cha kumwagilia utaenjoy maisha.
 
Kwa wa Mara (Team Mkemia) ilikuwa ni Suala la muda tu na bahati nzuri hata Mhusika alishaandaliwa Kisaikolojia zamani mno kuwa ataondolewa.

Kwa wa Kagera (Team Mkemia) huyu ilikuwa aondolewe tokea mwaka jana ila kutokana na kuwa Mjeda tena Brigedia umakini ulitakiwa Kwanza kabla ya Kumuondoa na kuna uwezekano pia akateuliwa kuwa Balozi siku si nyingi na 'Film Director' wetu.

Hata hivyo huyu kwakuwa ni Poti wangu (mwana Mkoa wa Mara) atanisamehe kwa huu Ukweli ambao nitampa hapa.

Poti wangu Afande (uliyekuwa Kagera) Wewe ni Mchapakazi na Mtu Mweledi mno, ila sijui ni kwanini hutaki Kubadilika na tabia yako ya kupenda Pombe (Mkude) ambayo ndiyo inakuharibia kila mara na kutokana na lile Kosa lako ulipokuwa Jeshini baada ya Kuteuliwa na Mkemia mshukuru sana Mtemi (Film Director) kwa kuendelea Kukubakisha mpaka Leo hii alipoamua 'Kukubwaga' mazima.

Afande na Poti wangu Ile Kasoro yako nyingine sitoisema hapa kwani hata Mimi naipenda mno na ndiyo Udhaifu wangu Mkuu.

Na hata ulivyopelekwa tu kwa Watani zetu Wahaya (Mkoani Kagera) na jinsi ninavyowajua Wahaya (hasa Maua yao yalivyo) nilijua tu kuwa huwa 'Watakukoma' na utakuwa 'unazikeshea' Kunakotukuka na kwa ninavyokujua Poti wangu nina uhakika imekuwa hivyo.

Poti Afande nakusubiri Kibaha au Mbweni au pale Kijiweni Kwako Mbezi Beach au kule Kigamboni kwa Rafiki yako Mkubwa Carlos (Mtoto wa aliyekuwa Boss wako JKT) ili unipe 'direction' ya wapi tunaenda 'Kuzimua' huku tukipata na 'Kichuri' chetu na tukiyaangalia 'Maua' tunayoyapenda.

Kwa Kafulila hapa hata nisiwe Mnafiki huyu pamoja na kwamba alikuwa Upinzani na alipendwa mno na Mkemia Binafsi kama GENTAMYCINE sikuona 'Potential' yake katika Uongozi na nilishangazwa zaidi nilipoona Kalamba Uteuzi katika Utawala wa Mkemi na bado tena 'Film Director' nae kwa Uwoga au Kujishtukia akaendelea Kumuamini na Kumteua mpaka hivi leo alivyomla Kichwa mazima.

Kwa akina Mtaka na Msando (ambao nanyi pia ni Team Mkemia) anzeni Kujiandaa Kisaikolojia mapema kama alivyofanya Mwenzenu wa Mara kwani nanyi mpo katika Rada za 'Kufyagiwa' mazima japo Mmoja ni RC na mwingine ni DC.
Afande na Poti wangu Ile Kasoro yako nyingine sitoisema hapa kwani hata Mimi naipenda mno na ndiyo Udhaifu wangu Mkuu. 😁😁😁😁😁
 
MABADILIKO
1. Kilimanjaro Kigaigai[emoji777]
2. Simiyu Kafulila[emoji777]
3. Mwanza Gabriel [emoji777]
4. Mara Hapi[emoji777]
5. Mtwara Gaguti[emoji777]
6. Ruvuma Ibuge[emoji777]
7. Kagera Mbuge[emoji777]
8. Singida Mahenge[emoji777]
9. Rukwa Mkirikiti[emoji777]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kwa upande wangu naona haya mabadiliko ya Mh. Anthony Mtaka yalikuwa hayastahili kwa sasa . Sio kwamba mamlaka imekosea , hapana ila naona kama dodoma especially wamachinga na bodaboda na vijana bado walikuwa wanamuhitaji.

Ila zaidi watu wa Tanga tunahitaji mtu kama huyu 💪
1658987341638.jpg
 
Back
Top Bottom