Mtimkavuorg
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 655
- 527
Na bado nangoja msereko huyu mama anafaa tu adi 2040
Mama Samia Rais wetu mpendwa pamoja na Safu yake ya watendaji, tunawaombea wote Mungu awalindi.
Hakika wanajituma vilivyo.
Furaha na Tabasamu kwa watanzania imeanza kurudi.
kazi iendeleee mpaka 2030.