Rais Samia afanya makubwa, wafanyakazi walipiwa mikopo yao

Rais Samia afanya makubwa, wafanyakazi walipiwa mikopo yao

Mleta uzi yupo sahihi,Kuna mambo mawili yamefanyika.
Mpaka Sasa hakuna ufafanuzi wowote uliotolewa juu ya hili la pili na mamlaka zinazohusika.
Ndipo unapokuja usemi wa "unapokula na kipofu angalia usimguse mkono"
 
Kwamba anachukua kodi zetu kuwalipia mikopo yenu binafsi? Au mna maana gani?
 
Kwahio nani anachukua mzigo wa ku-cover hizo 200k; Benki, Rais anatoa kwenye mshahara wake au Kodi na Tozo zetu ndio zinaenda kulipia mikopo ya watu ?

Huoni kama ni kuweka kitu sustainable ni bora kushusha interest rates kwa kila mtu na sio sarakasi ambazo hazina ufafanuzi
Kama hili ndio limefanyika basi tuna shida kubwa kuliko tulivyodhani.
 
Halafu mama anasema pesa ya kununua nguzo hakuna, wananchi wabebe bebe mzigo. Ila mbinu ya kuwatua watu mizigo waliyojitwisha kwa hiari yao ipo. Dah!!!
 
Mkuu Ulitaka akakatikiwe mauno mama yako au? ,Mimi siwezi acha ipongeza serikali yangu maana ndo inaniweka mjini,sasa wewe Ulitaka nimpongeze yule Mrs Robert Amsterdam au yule Makengeza?
Weka picha basi tuone unavyokata mauno, maneno mengi yanin
 
Halafu mama anasema pesa ya kununua nguzo hakuna, wananchi wabebe bebe mzigo. Ila mbinu ya kuwatua watu mizigo waliyojitwisha kwa hiari yao ipo. Dah!!!
Acheni roho mbaya, tumemyimwa increment na madaraja Kwa miaka mitano, ukiiuliza tunajenga nchi...sasa mama kaondoa dhuluma ya retention fee, kayashawishi mabenki kupunguza interest ndo ukaona madeni yamepungua....mnaanza kuweka vijiba.
Watanzania tuna roho za Kwa nini sana.
 
Hakika Nani Kama mama,hakika anaupiga mwingi! ,Pongezi kwako mama wetu mpedwa!! Mungu akupe na kukujalia kila lililo la kheri.!!

Ni hivi kwa wale watumishi wa umma,hebu chungulieni salary slip zenu hakika mtaona Kuna tofauti kubwa sana imefanywa na huyu rais wa watu ,yaani Kama una mkopo Bank Au Loan Board.

Chukua kiasi cha mkopo wa mwezi 12/2021 toa kiasi cha mkopo mwezi 1/2022. Utagundua kuwa umelipiwa Mara Mbili ya kiasi ambacho huwa unalipa kila Mwezi, hapa Ni kwamba Kama mkopo wako ulitarajia utaisha mwezi wa pili ,basi mwezi huu umeshalipiwa ,hivyo hudaiwi.

Sisi wafanyakazi wako tunaahidi kumuunga kwa kila unalolifanya ,Samia Safi!!!,Nani Kama mama????

# kazi iendelee!!
Never Going to Happen. Tatizo hamtumii Akili Timamu
 
Hakika Nani Kama mama,hakika anaupiga mwingi! ,Pongezi kwako mama wetu mpedwa!! Mungu akupe na kukujalia kila lililo la kheri.!!

Ni hivi kwa wale watumishi wa umma,hebu chungulieni salary slip zenu hakika mtaona Kuna tofauti kubwa sana imefanywa na huyu rais wa watu ,yaani Kama una mkopo Bank Au Loan Board.

Chukua kiasi cha mkopo wa mwezi 12/2021 toa kiasi cha mkopo mwezi 1/2022. Utagundua kuwa umelipiwa Mara Mbili ya kiasi ambacho huwa unalipa kila Mwezi, hapa Ni kwamba Kama mkopo wako ulitarajia utaisha mwezi wa pili ,basi mwezi huu umeshalipiwa ,hivyo hudaiwi.

Sisi wafanyakazi wako tunaahidi kumuunga kwa kila unalolifanya ,Samia Safi!!!,Nani Kama mama????

# kazi iendelee!!

44D25FF2-DD80-4203-9313-7A275AB70B50.jpeg
 
Acheni roho mbaya, tumemyimwa increment na madaraja Kwa miaka mitano, ukiiuliza tunajenga nchi...sasa mama kaondoa dhuluma ya retention fee, kayashawishi mabenki kupunguza interest ndo ukaona madeni yamepungua....mnaanza kuweka vijiba.
Watanzania tuna roho za Kwa nini sana.
Hebu fikiria kila kijiji, kila nyumba tanzania nzima ina umeme na maji safi, salama ya bomba yanatoka. Na mpaka vijiji vimeunganishwa kwa lami, wilaya kwa four lane high way. Mikoa imeunganishwa kwa double roads. Hivi......wanasiasa wetu kwenye kampeni wangeongelea nini???!!.
Yamkini huoni uhusiano wowote na hiyo mikopo mwalimu wangu. Lakini nina uhakika ungekulia katika future impossible tense niliyoongelea hapo juu. Ni aghalabu mtu wa kaliba yako leo hii kuwa mwalimu. Ama kama ni mwalimu, basi ungekuwa unakopesha watu badala ya wewe kukopa.
Lakini la msingi ambalo hukuelewa, hivi sasa tunaongelea mustakabali wa watoto wa wajukuu zetu.

Wakatabahu
Infopaedia.
 
Back
Top Bottom