Dr wa Manesi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2024
- 997
- 1,220
Amina! Amiiina! Aamiiiina!!!!🤲🤲🤲🤲🤲Na wataanza wao kufa na huyo wanayemtakia mabaya Mungu ataendelea kumpa afya na nguvu ili atekeleze majukumu ya Taifa hili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amina! Amiiina! Aamiiiina!!!!🤲🤲🤲🤲🤲Na wataanza wao kufa na huyo wanayemtakia mabaya Mungu ataendelea kumpa afya na nguvu ili atekeleze majukumu ya Taifa hili
Kwangu mimi Maria Sarungi is a nobody. Anachofanya ni kuwapa prior information halafu anajiita anajua.View attachment 3149619Post Maria kabla hata haujapata taarifa kuwa amesharudi.
Kwangu mimi Maria Sarungi is a nobody. Anachofanya ni kuwapa prior information halafu anajiita anajua.View attachment 3149619Post Maria kabla hata haujapata taarifa kuwa amesharudi.
Maelezo Yako yote yanaonyesha Rais bado yupo hai wenzio walisema ameshakufa au na wewe unaona huu ni mzimu?
Mkuu![emoji15][emoji15][emoji40][emoji40]
Ukiamua sema imetengenezwa, huu ndio uhuru CHADEMA mnaoutaka. Ruksa kuropoka, au vipi?hiyo picture sio ya kitambo kweli??
Mbona kama umepaniki. Pole bibie🤣🤣🤣Kwangu mimi Maria Sarungi is a nobody. Anachofanya ni kuwapa prior information halafu anajiita anajua.
Mwalimu wangu wa Hisabati miaka ya mwanzo ya tisini alikuwa ni Swedish Volunteer kutoka Swedish Volunteer Services (SVS). Kila alipokuwa anatoka kwenye vikao vya staff tulikuwa tunamfuata atwambie wameongelea nini. Angelisema, "Mmh! So and so will be suspended for three weeks. So and so will be given punishment at school. The rest is our staff secret. You're not supposed to know"! Mwisho wa kunukuu.
Walimu wenzake Wabongo walikuw wanakasirika sana eti anatoka siri za staff. Yeye alikuwa anawajibu hatoi siri bali anaongea mapema kitu kitakachokuja kutokea baadae. Siri HAWEZI kuitoa!
Kwahiyo, kwangu mimi Maria Sarungi anadeal na wajinga kama wewe!
Ukifanya hivyo kwa Mbowe hawa makamanda uchwara huwa wanakasirika kweli kweli.😁Ukiamua sema imetengenezwa, huu ndio uhuru CHADEMA mnaoutaka. Ruksa kuropoka, au vipi?
Kama Mimi ni bibie kwanini usimtume wifi aje kunitembelea? Ahahahahaha!!!Mbona kama umepaniki. Pole bibie🤣🤣🤣
Ni kama umeanza kuchanganyikiwa siku hiziHata Dkt Magufuli ilianza hivi hivi mpaka akina akina Zitto wakawa wanafanya sherehe hahaha mpaka yeye mwenyewe Dkt Samia akawa anashangilia maana nakumbuka tukio la Mtwara basi Zitto ashadadia kweli kusema eti Dkt Magufuli kafa basi akawa anampongeza Dkt Samia na badala ya Dkt Samia kumkemea Zitto akakaa kimya na Zitto agenda yake ilikuwa nafasi aliamini akija Rais Muislamu basi atafurahi hahaha ila nimemsikia yupo kigoma anatishia uchawi hahaha
Mbona kama wewe ni mjinga zaidi!Kwangu mimi Maria Sarungi is a nobody. Anachofanya ni kuwapa prior information halafu anajiita anajua.
Mwalimu wangu wa Hisabati miaka ya mwanzo ya tisini alikuwa ni Swedish Volunteer kutoka Swedish Volunteer Services (SVS). Kila alipokuwa anatoka kwenye vikao vya staff tulikuwa tunamfuata atwambie wameongelea nini. Angelisema, "Mmh! So and so will be suspended for three weeks. So and so will be given punishment at school. The rest is our staff secret. You're not supposed to know"! Mwisho wa kunukuu.
Walimu wenzake Wabongo walikuw wanakasirika sana eti anatoka siri za staff. Yeye alikuwa anawajibu hatoi siri bali anaongea mapema kitu kitakachokuja kutokea baadae. Siri HAWEZI kuitoa!
Kwahiyo, kwangu mimi Maria Sarungi anadeal na wajinga kama wewe!
Nimeitumia mwezi uliopita ni nzuri sana.SGR inahujumiwa Rais Samia toa kauli
Na wewe akili zako zikoje kwa kujibu hoja ya mjinga zaidi? Ahahahahaha!!!Mbona kama wewe ni mjinga zaidi!
Mjinga anajibika vizuri tu.Na wewe akili zako zikoje kwa kujibu hoja ya mjinga zaidi? Ahahahahaha!!!
Chadema mnakwama wapi? Mnajidhalilisha sanakuna neno la Mashangazi wa kiswahili linaitwa "SHU" naona linatrend kwa kasi
Karibu kwenye kundi la wajinga.Mjinga anajibika vizuri tu.