Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thanks JesusRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Bi. Veronika Mueni Nduva, alipofika Ikulu, Jijini Dar es Salaam leo tarehe 11 Novemba, 2024 ikiwa ni mara ya kwanza kukutana nae tangu Katibu Mkuu huyo aliposhika nafasi hiyo mwezi Juni, 2024.
My take
Raisi si boda boda au machinga muda wote awepo mtaani.
Alikuwa mapumziko madogo na yupo imara na kajiandaa na uchaguzi 2025
Naona tayari shimo linakuwashaChagadomo wamjifungia ,habari mbaya hii kwa upande wao
Leta video bwege weweTomaso 🐼
Kuna wavimba macho, yaani akina Maria Sarungi huko X wanaloloma eti Mama yupo Cuba hoi!
sawa sheheAliyekuambia waislamu wanaogopa hiyo fardhi amekudanganya. Muislamu ikimkuta fardhi hiyo, hayatapita masaa 12, taarifa utazisikia na haitapita masaa 24 jambo litakuwa limeisha. Tafuta Kvant zako unywe mlichokiwaza wakati wake bado.
Leta videoNi jambo jema
Haya sawa🙂Pamoja na unyama wanaotutendea ccm sijawahi kuwaombea Wafe (unaweza kuweka ushahidi ili kunipinga kama unao) lakini kila siku namuomba Mungu awanyang'anye madaraka na kutupa sisi ili waone tutakavyoongoza nchi kistaarabu bila kuteka , kuua na kumwagia tindikali yeyote .
Halafu huwa hamuelewi tu, kifo si adhabu inayoumiza mhusika, maana huwa anakufa tu na kuzikwa, lakini mtu anapaswa kuondolewa madarakani na kuachwa akiwa hai ili aone ujinga aliokuwa anafanya. Hakuna kitu kinauma kama hii
Jambo pekee linaloweza kukusaidieni mkishaua mtu ni kuwatisha walio hai, tena wanaotishika ni wale Wajinga, hii ni kwa sababu hakuna muuaji aliyefanikiwa kuua watu wote
Kifupi ni kwamba Mh. Rais Samia yupo na ataendelea kuwepo hadi 2030 uchuro wenu umekwamaNinaona Madaktari wa Cuba wamejitahidi.
Huwa unapenda sana kunizushia, mimi siyo mjinga na sikuja jf kuomba watu wafe, Wajifie wenyewe kwa mambo yao, msinihusishe mimi.Haya sawa🙂
Ok.Huwa unapenda sana kunizushia, mimi siyo mjinga na sikuja jf kuomba watu wafe, Wajifie wenyewe kwa mambo yao, msinihusishe mimi.
Mimi nipo hapa kuandika habari za siasa, Jaribuni kuniheshimu hata kama si mwanaccm mwenzenu
Rais ni nzm lakini macho mekundu na yamevimba[emoji23][emoji23]Huwa unapenda sana kunizushia, mimi siyo mjinga na sikuja jf kuomba watu wafe, Wajifie wenyewe kwa mambo yao, msinihusishe mimi.
Mimi nipo hapa kuandika habari za siasa, Jaribuni kuniheshimu hata kama si mwanaccm mwenzenu
Mkuu!😳😳😷😷Mmeenda kumtoa icu huko mtu hajapona ili muwaprove watu wrong[emoji23][emoji23]
Huyu mama ni mgonjwa angalia hata picha jicho la kushoto jekundu hapo anajikaza tu kisabuni
Hata ndugai alivyokatwa vidole vya miguu mlisema hivyo hivyo mkamvalisha viatu ili kuprove watu wrong
Mwendazake mlisema hivyo mkaenda kumtoa icu kuja kumuapisha Bashiru[emoji23]
Muda utaongea tu!!!View attachment 3149649
Maelezo Yako yote yanaonyesha Rais bado yupo hai wenzio walisema ameshakufa au na wewe unaona huu ni mzimu?Mmeenda kumtoa icu huko mtu hajapona ili muwaprove watu wrong[emoji23][emoji23]
Huyu mama ni mgonjwa angalia hata picha jicho la kushoto jekundu hapo anajikaza tu kisabuni
Hata ndugai alivyokatwa vidole vya miguu mlisema hivyo hivyo mkamvalisha viatu ili kuprove watu wrong
Mwendazake mlisema hivyo mkaenda kumtoa icu kuja kumuapisha Bashiru[emoji23]
Muda utaongea tu!!!View attachment 3149649