Rais Samia afanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Afrika Mashariki

Rais Samia afanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Afrika Mashariki

Kwanini ni muislamu safi lakini anaruhusu wizi wa kura? Pamoja na kufanya dhambi kwenye daftari la wapiga kura?
 
Ungekuja na hili Andiko lako Jana au juzi

Na watu Wana haki kumuulizia Rais wao,

Mbona hawajamuuliza Putin?

Acha uchawa
Walikuwa wanauliza? au walikuwa wanashangilia kutokana na walicho kuwa wanakiamini😆😆😆
 
Unasemaje?
images%20(22).jpg
 
View attachment 3149589
View attachment 3149590
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Veronika Mueni Nduva, alipofika Ikulu, Jijini Dar es Salaam leo November 11, 2024 ikiwa ni mara ya kwanza kukutana nae tangu Katibu Mkuu huyo aliposhika nafasi hiyo mwezi Juni, 2024.

Katika hatua nyingine Rais Samia amekutana na kufanya mazungumzo na Dkt. Tewodros Beleke Mkurugenzi wa Programu za Dunia na Mwakilishi wa Susan Buffet Foundation leo November 11, 2024 Ikulu Jijini Dar es Salaam.

My Take
Kwa leo sina cha kusema
Nchi ina wapuuzi wengi sana ndio maana ccm wanatugeuza wanavyotaka. Bora wewe umesema huna cha kusema. Kuna watu wasomi kabisa wengine wanajiita PhD wameingia kwenye mtego wa wapuuzi wachache wa Taifa. Haya, agenda ya Uchaguzi ishaisha sasa ni mama kuonekana Ikulu. Quber
 
Pamoja na unyama wanaotutendea ccm sijawahi kuwaombea Wafe (unaweza kuweka ushahidi ili kunipinga kama unao) lakini kila siku namuomba Mungu awanyang'anye madaraka na kutupa sisi ili waone tutakavyoongoza nchi kistaarabu bila kuteka , kuua na kumwagia tindikali yeyote .

Halafu huwa hamuelewi tu, kifo si adhabu inayoumiza mhusika, maana huwa anakufa tu na kuzikwa, lakini mtu anapaswa kuondolewa madarakani na kuachwa akiwa hai ili aone ujinga aliokuwa anafanya. Hakuna kitu kinauma kama hii

Jambo pekee linaloweza kukusaidieni mkishaua mtu ni kuwatisha walio hai, tena wanaotishika ni wale Wajinga, hii ni kwa sababu hakuna muuaji aliyefanikiwa kuua watu wote
 
Good! Kuna yule mwanaitelijensia uchwara wa jf alokuwa anazungumza mambo ya chatu kufa wanafuatana sijui yuko wapi sasa. Nakumbuka ndo alokuwa anakazia habari mbaya juu ya Makonda na akaja kuumbuka pia baater yule
 
Walikuwa wanauliza? au walikuwa wanashangilia kutokana na walicho kuwa wanakiamini😆😆😆

Hiyo ni Perception yako Tu
Ni Rais wao, so Wana haki zote za kujua Yuko wapi, anaumwa au mzima,

Ila sasa machawa mnataka kujimilikisha ili ionekane ni nyie Tu ndio mnahaki hiyo
 
Mtumwa wa shetani namba moja hapa Tanzania ni member wa CCM !!Huyu ni agent wa shetani .Nina uhakika wewe ni mwiongoni mwa Damu ya Marehemu KIBAO inakulilia
Kibao ndiyo nani?
 
Huo uzi wangu ulikuwa na shida gani kwani?
Je na huu mbona huuzungumzii?

Zote nyuzi zina msukumo wa kishetani ndani yake
 
Hahahahahahahahaaaaaaahaaaaa!

Kuna mada ilianzishwa juzi, ikimuombea kifo Mama yetu.....? Mungu ni mwema wataendelea kungoja na kusubiri kwa wakati mmoja Huku wakiteseka vibaya maana wataendelea kukuona akishughulika na shughuli zake kama kawa
Na wataanza wao kufa na huyo wanayemtakia mabaya Mungu ataendelea kumpa afya na nguvu ili atekeleze majukumu ya Taifa hili
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Bi. Veronika Mueni Nduva, alipofika Ikulu, Jijini Dar es Salaam leo tarehe 11 Novemba, 2024 ikiwa ni mara ya kwanza kukutana nae tangu Katibu Mkuu huyo aliposhika nafasi hiyo mwezi Juni, 2024.

My take

Raisi si boda boda au machinga muda wote awepo mtaani.
Alikuwa mapumziko madogo na yupo imara na kajiandaa na uchaguzi 2025


Waliokuwa wakimuulizia wameumbuka.
 
Back
Top Bottom