gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Poleni sanahiyo picture sio ya kitambo kweli??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poleni sanahiyo picture sio ya kitambo kweli??
Kwani alikuwa wapi? Huwa mnawasikiliza wanaotegemea uzushi Ili wapate views? Wacha ujingaAfadhali amerudi.
Vifaranga akina Lucas Mwashambwa na ChoiceVariable walishaanza kububujisha machozi kwa kuachwa na mama yao.
Wazushi wote wameumbuka 😁😁Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Bi. Veronika Mueni Nduva, alipofika Ikulu, Jijini Dar es Salaam leo tarehe 11 Novemba, 2024 ikiwa ni mara ya kwanza kukutana nae tangu Katibu Mkuu huyo aliposhika nafasi hiyo mwezi Juni, 2024.
My take
Raisi si boda boda au machinga muda wote awepo mtaani.
Alikuwa mapumziko madogo na yupo imara na kajiandaa na uchaguzi 2025
Au siyoKwani kuna mtu alisema hayupo imara?
Sio poa mzee..Una mwanasheria? Haha
Wanga mpo hoi bin taaban..!hiyo picture sio ya kitambo kweli??
Alikuwa 'mapumziko madogo' na yupo imara na kajiandaa na uchaguzi 2025Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Bi. Veronika Mueni Nduva, alipofika Ikulu, Jijini Dar es Salaam leo tarehe 11 Novemba, 2024 ikiwa ni mara ya kwanza kukutana nae tangu Katibu Mkuu huyo aliposhika nafasi hiyo mwezi Juni, 2024.
My take
Raisi si boda boda au machinga muda wote awepo mtaani.
Alikuwa mapumziko madogo na yupo imara na kajiandaa na uchaguzi 2025
Video itaondoa utata Wotehiyo picture sio ya kitambo kweli??
Ninaona Madaktari wa Cuba wamejitahidi.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Bi. Veronika Mueni Nduva, alipofika Ikulu, Jijini Dar es Salaam leo tarehe 11 Novemba, 2024 ikiwa ni mara ya kwanza kukutana nae tangu Katibu Mkuu huyo aliposhika nafasi hiyo mwezi Juni, 2024.
My take
Raisi si boda boda au machinga muda wote awepo mtaani.
Alikuwa mapumziko madogo na yupo imara na kajiandaa na uchaguzi 2025
Halafu kuna hili kundi la akina Mdude_Nyagali, Martin Maranja Masese, Hilda Newton, Sativa chini ya Maria Sarungi walikuwa wamezusha habari za uchuro huko Twitter (siku hizi X).Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Bi. Veronika Mueni Nduva, alipofika Ikulu, Jijini Dar es Salaam leo tarehe 11 Novemba, 2024 ikiwa ni mara ya kwanza kukutana nae tangu Katibu Mkuu huyo aliposhika nafasi hiyo mwezi Juni, 2024.
My take
Raisi si boda boda au machinga muda wote awepo mtaani.
Alikuwa mapumziko madogo na yupo imara na kajiandaa na uchaguzi 2025
Wanahusikaje?Chagadomo wamjifungia ,habari mbaya hii kwa upande wao
Kwa akili yako hata wakikuwekea clip wewe utabisha kwa vile tayari umekuwa mtumwa wa shetaniVideo itaondoa utata Wote
DuuuhSio poa mzee..
Mtumwa wa shetani namba moja hapa Tanzania ni member wa CCM !!Huyu ni agent wa shetani .Nina uhakika wewe ni mwiongoni mwa Damu ya Marehemu KIBAO inakuliliaKwa akili yako hata wakiluwekea clip wewe utabisha kwa vile tayari umekuwa mtumwa wa shetani
Huo uzi wangu ulikuwa na shida gani kwani?Halafu kuna hili kundi la akina Mdude_Nyagali, Martin Maranja Masese, Hilda Newton, Sativa chini ya Maria Sarungi walikuwa wamezusha habari za uchuro huko Twitter (siku hizi X).
Naye member tunayemuheshimu sana humu Mshana Jr akaingia mazima na kuandika thread yake kimafumbo. Huu hapa:
Tetesi huanza na minong'ono
Nimzima na mwenye afya hata mm niliongea naye leo 🤫 🙊 🤫 Sijataja mtu yeyote Mimi.. Hata hivyo hii nayo ni taarifa inayopaswa kuwekwa upenuniwww.jamiiforums.com
Wote tulizaliwa kwa wakati tofauti na wote tutakufa kila mtu kwa wakati wake. Kumchulia habari mbaya Rais wetu anayetenda mema kwa ajili yetu ni jambo la HOVYO sana
Wenzenu walitumia muda huo kujaza fomu kwa ufanisi kwa ajili ya uchaguzi wa S/ Mitaa wa Nov 27.