Rais Samia afanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Afrika Mashariki

Rais Samia afanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Afrika Mashariki

Kwa akili yako hata wakiluwekea clip wewe utabisha kwa vile tayari umekuwa mtumwa wa shetani
Hahahahahahahahaaaaaaahaaaaa!

Kuna mada ilianzishwa juzi, ikimuombea kifo Mama yetu.....? Mungu ni mwema wataendelea kungoja na kusubiri kwa wakati mmoja Huku wakiteseka vibaya maana wataendelea kukuona akishughulika na shughuli zake kama kawa
 
Chawa Kwa lugha rahisi ni kumpa sifa kiongozi ambazo hastahili kupewa kwasababu zinakuwa ni sifa zilizozidi uwezo wake kwa kiingereza wanasema ‘exaggerated’ na lengo la uchawa ni kupata fursa au manufaa pasipo mastahili.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Bi. Veronika Mueni Nduva, alipofika Ikulu, Jijini Dar es Salaam leo tarehe 11 Novemba, 2024 ikiwa ni mara ya kwanza kukutana nae tangu Katibu Mkuu huyo aliposhika nafasi hiyo mwezi Juni, 2024.

My take

Raisi si boda boda au machinga muda wote awepo mtaani.
Alikuwa mapumziko madogo na yupo imara na kajiandaa na uchaguzi 2025


Ya kitambo sana hii
 
b80fdd88cd9c4ff4a2e7b1472a40a747.jpg

3dcd69a0040244a183a35db86df4f301.jpg

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Veronika Mueni Nduva, alipofika Ikulu, Jijini Dar es Salaam leo November 11, 2024 ikiwa ni mara ya kwanza kukutana nae tangu Katibu Mkuu huyo aliposhika nafasi hiyo mwezi Juni, 2024.

Katika hatua nyingine Rais Samia amekutana na kufanya mazungumzo na Dkt. Tewodros Beleke Mkurugenzi wa Programu za Dunia na Mwakilishi wa Susan Buffet Foundation leo November 11, 2024 Ikulu Jijini Dar es Salaam.

My Take
Kwa leo sina cha kusema
 
Back
Top Bottom