Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 5,962
- 17,648
YeahVideo itaondoa utata Wote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YeahVideo itaondoa utata Wote
Leta videoNi jambo jema
Hahahahahahahahaaaaaaahaaaaa!Kwa akili yako hata wakiluwekea clip wewe utabisha kwa vile tayari umekuwa mtumwa wa shetani
Tabu ipo palepale hiyo picha kapost yeye?subhanallah, subhanallah, wachawi walitutia matumbo joto, wanga wamechoka kweli....!
Unataka kubishia na hilo?Kwani kuna mtu alisema hayupo imara?
Ya kitambo sana hiiRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Bi. Veronika Mueni Nduva, alipofika Ikulu, Jijini Dar es Salaam leo tarehe 11 Novemba, 2024 ikiwa ni mara ya kwanza kukutana nae tangu Katibu Mkuu huyo aliposhika nafasi hiyo mwezi Juni, 2024.
My take
Raisi si boda boda au machinga muda wote awepo mtaani.
Alikuwa mapumziko madogo na yupo imara na kajiandaa na uchaguzi 2025
Tulia we mjukuu wa Baltazari.Kwani alikuwa wapi? Huwa mnawasikiliza wanaotegemea uzushi Ili wapate views? Wacha ujinga
Haswa Erythrocyte😁Chagadomo wamjifungia ,habari mbaya hii kwa upande wao
😂😂😂Tulia we mjukuu wa Baltazari.
Huu ni muda wa kujipangusa machozi.
Bila ushahidi hainogi.Ya kitambo sana hii
Aliyekuambia waislamu wanaogopa hiyo fardhi amekudanganya. Muislamu ikimkuta fardhi hiyo, hayatapita masaa 12, taarifa utazisikia na haitapita masaa 24 jambo litakuwa limeisha. Tafuta Kvant zako unywe mlichokiwaza wakati wake bado.hiyo picture sio ya kitambo kweli??
Hata wewe mkongwe wa JF na akili zote hizo uliingia mtegoni? Tangu lini waislamu wakaficha ugonjwa au hata kifo?Ninaona Madaktari wa Cuba wamejitahidi.
Ya nini?Wekeni video
Tomaso 🐼Leta video
Wanja umemkataa