Una matatizo ndugu,kwa hiyo barabara zilikuwa nzuri Sana awamu ya 5 sio?Yaani shida za wananchi zimerundika barabara mbaya Zahanati ziko hoi.
Shule nyingi za vijijini hazikuambulia hata kujengewa choo. Hatuelewi analoongelea au ndio anawaPush kuzikamua.!!
Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
Alitumia mshahara wake au ni hizihizi kodi wanazotukata? Anayepaswa kumpa hongera ni mkewe kama alikuwa anamnyoosha vizuri kitandaniBasi mpe hongera kwa kujenga flyover ubungo na stand nchi nzima.
Miradi ya maji sio ya maelekezo kama madarasa,haihitaji dharura..Angetakiwa kuwapa maelekezo namna ya kuzitumia hizo pesa, hivi anavyotoa kauli za jumla wajanja watajiongeza.
fala tenaHuyu ndo Rais,sio Yule Fala wa Chattle
Lack of manners!!.Alitumia mshahara wake au ni hizihizi kodi wanazotukata? Anayepaswa kumpa hongera ni mkewe kama alikuwa anamnyoosha vizuri kitandani
Tulia wewe kwani historia ya nchi inaanzia awamu ya tano?Una matatizo ndugu,kwa hiyo barabara zilikuwa nzuri Sana awamu ya 5 sio?
Matatizo ya Afya yaliisha awamu ya 5 sio? Hospital na vilijengwa kote sasa vimeharibiwa au sio? 🤣🤣🤣🤣
Aisee ukiwa na chuki unakuwa na shida sana.
Sisi tunaonyeshae mambo yaliyofanyika na yatakayofanyika awamu yetu ya 6 kama hivi 👇Tulia wewe kwani historia ya nchi inaanzia awamu ya tano?
Inaonekana alikubutua hadi akakuchia kilema huko kunako?Ni kichaa pekee atakayemwonea wivu marehemu. Mimi pia nasubiria zamu yangu, Ila siwezi kumwonea wivu dikteta, jambazi na jizi kama lile
Atakuzindua wewe siku ukifika aherambona hajaizindua mwenyewe. Yeye si kiongozi wa malaika?
Kwani wewe umeacha ushoga?Inaonekana alikubutua hadi akakuchia kilema huko kunako?
Kama alivyokuzindua wewe hapa duniani?Atakuzindua wewe siku ukifika ahera
Mbona mnafiaga watu ambao hawasitahili mnawaacha wanaostahili.Hiyo barabara imetesa watu Sana hiyo aiseh!!big up jpm!!
Kwa kiswahili umemaanisha nini?Lack of manners!!.
Acha kutukuza madikiteta katika nchi ya wastaarabu.Hongera sana JPM.
We definitely miss you.