Rais Samia afanya uteuzi, Kafulila awa Kamishna wa Ubia Kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP)

[emoji38][emoji38] huyu kujifanya anajua kila kitu ndio kunamponza , nyuzi zake lazima achanganye kiswahili na lugha ya kigeni ili kuwachanganya wajinga wajue ni msomi sana , kumbe kwao ni Buzuruga bondeni kwenye mawe .
MKUU buzuruga ni ni city center Tena mjini kabisa sizani kama paschal mayalla alishawahi kufika maana yeye kwao vijijini kabisaa kwenye fisi wengi pamoja na ndugu Yake jiwe (WASHAMBA)
 
Inaonekana kazi ya uteuzi imeshafanyika mama anaachia tu " press release "
 
Humu jukwaani walikua wanamponda kua akalime pilipili na nyanya, bora aende huko akakusanye mtaji. Nna uhakika sasa hv hatafanya makosa tena maana fedheha ya kupigwa chini ilikua kubwa
Alifanya makosa gani Simiyu?
 
Chawa wa Mama hao
Kama ulivyo wewe chawa wa mbowe, siku si nyingi unaweza kula shavu la kuwa unamsindikiza mbowe ikulu ambako utakuwa na kazi ya kumuandikia minutes za vikao vyake na Mama Samia
 
Kuna shida kubwa sana serikalini kuliko tunavyodhani.
Acheni kukuza mambo yasiyo na msingi...a simple mistake ya kiuandishi kama hiyo ndio ireflect the " so called shida kubwa serikalini"...stop this nonsense.
 
Kumbe Samia na Magufuli hawana tofauti sana, uchawa wa Kafulila imemrudisha kazini. Njia pekee ya kupata uteuzi ni kusifia mamlaka ya uteuzi hata inapoboronga
 
Kujikomba katika sioasa za Bongo kunalipa
Uchawa utaharibu taifa hili kwa miaka mingi sana. Ni zimwi litakalotutafuna kwa karne nyingi sana. Sijawahi kushuhudia uchawa wa kiwango hiki kuanzia awamu ya mkapa hadi kikwete, huu ni uchawa wa hali ya juu sana na inaelekea raisi anapenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…