Mkuu, 'Erythro', hebu sema tena?Cheo chenyewe wala hakieleweki yaani
Wewe kumbe hujui huko ndiko tunakokwenda kupigiwa kisawasawa na hawa watu?
hUJAELEWA NCHI INAKWENDA WAPI?
hUKO SASA NDIKO KWENYE SHIMO LA TAKATAKA, KILA AINA YA UCHAFU UNAELEKEZWA HUKO.