Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Magufuli alihangaika kuwamiminia risasi wakina Lissu wakti msaliti na mpinzani nguli alikuwa msadizi wake mkuu kikatibaMagufuli hakuwa na chuki na watu bali utendaji wabovu na wala rushwa
Huyu jamaa Mramba ni Inner cycle ya ule mfumo mbovu uliotumbuliwa,
so naona jitihada za kuendelea kurudisha kale ka 'system' kanaendelea
Serikali za waislamu koko ndio huwa zinaongoza kwa ufisadi nchini.Bora ateue waislamu wote, sisi wakristo ni majizi na roho mbaya.
Huo ni ukweli, wanachokosa ni ukatili na unyang'anyi tuSerikali za waislamu koko ndio huwa zinaongoza kwa ufisadi nchini.
Mbona amebalance mawazo yake, kwamba tuwe na uwiano wa 50/50 ili asiwepo wa kupenyeza udini na ukabila.Wakuu,
Nyinyi mmezoeleka. Taifa hili kiongozi wa sehemu flani akiwa tu muislam basi ni shida kwenu. Sijui hata waislam wamewakosea nini.
Sasa waislam wameshawajua nyinyi agenda zenu. Hawapati tabu kabisa wao wanaendelea kufanya kazi tu nyinyi pigeni kelele
Crdp syo mali ya serikali bali serikali ilikua na hisa ndogo, majority shares was puplic, na nyingine denish ambazo mwendazake alizipora kihuni.Kwa hiyo unataka kuniambia kule CRDB wenye vigezo vya kuajiriwa ni wachaga peke yako, maana huko ndio mmejazana utafikri ile ni benki ya wachaga.
Ule ulemavu wa mkono wa Dr Slaa aliupata wakati wa utawala wa Jakaya Kikwete,Huo ni ukweli, wanachokosa ni ukatili na unyang'anyi tu
Teuzi za sasa anafanya katibu mkuu kiongozi na mnikuluBakwata ndio wanaoteua?? Acha uchonganishi.
Maelezo yako ndio justification ya wachaga kujazana Crdb ?Crdp syo mali ya serikali bali serikali ilikua na hisa ndogo, majority shares was puplic, na nyingine denish ambazo mwendazake alizipora kihuni.
Ndyo maana hata uteuzi wa mtendaji mkuu haufanywi na serikali neither board ya wakurugenzi huwa uteuzi wake hufanywa na wenye hisa kwenye GENERAL MEETING.
wakati mwingine tumia ubongo ukuelekeze
Mkuu uko sawa, mfano wakurugenzi na madc aliteua zaidi ya 50% ngoshaz! Wengine dhaifu kabisa! Mm nina mifano halisi. Mm siyo muislam lakini acha mama ateue tu. Jiwe alipandikiza mbegu mbaya sana ya ukabila na chuki nyingi mno kwa watu waliotofautiana naye kimtazamo. Kwa kweli apumzike tu anapostahili. Mbaya zaidi katika maraisi wote walioongoza tz, yeye ndiye ameongoza muda mfupi(ukimtoa samia anayeendelea) lakn ndiye raisi aliyemtaja Mungu hadharani mara nyingi kuliko wote ila matendo yake sasa!Kateua wengi based kanda ya ziwa hata waliokuwa less qualified and no one questioned about it, so sioni shida kulaumu teuzi hizi mpya
Safi sana, aje ajibu haya maswaliKuna ubaya gani Kama kazi wanafanya na hawatuteki?
Mbona Magu alijaza wasukuma wakawa wanatuteka na kutulazimisha tuwaabudu?
Mkristo akiwa na roho mbaya ana tofauti gani na Muslims mwenye roho mbaya?
M/kiti wa bodi Ya Tanesco Ni Muislam
DG Wa Tanesco pia ni Muislam
DG Wa Rea Ni Muislam Pia
Ts Islamic State
Bakwata Wanaupiga Mwingi Sana
Kuizidi TPATANESCO, shirika pekee la umma lililobaki unaloweza kupiga pesa nyingi kwa mkupuo
Mkuu unakosea sana kuita watu makafiri kwa ajili ya mchangiaji mmoja au wawili! Mimi ni mKristo lakini yeyote anayechaguliwa hainisumbui tena to be precisely waislamu wamefanya vema kuliko wakristo.Shenzi sana hawa makafiri hawa
My thought exactlyJamani tulikuwa na Rais Mkristo.
Mambo magumu tuliyaona utafikiri ni mpagani.
Kama kampuni ni binafsi nani wa kuingilia mambo yao ya ndani?Maelezo yako ndio justification ya wachaga kujazana Crdb ?
Mfano?Huu uteuzi kaufanya Bw. Jan, hapo SSH jina lake limetumika tu. Wengi hapo ni marafiki wa Jan.
Zamu yetu .Islamic State
Mbona nyie mlijaza wakatoliki serikalini hii ni zamu yetu sasa mkae kwa kutulia.M/kiti wa bodi Ya Tanesco Ni Muislam
DG Wa Tanesco pia ni Muislam
DG Wa Rea Ni Muislam Pia
Ts Islamic State
Bakwata Wanaupiga Mwingi Sana
Hakunaga DG's kule Tanesco, Kuna MD's.M/kiti wa bodi Ya Tanesco Ni Muislam
DG Wa Tanesco pia ni Muislam
DG Wa Rea Ni Muislam Piah
Ts Islamic State
Bakwata Wanaupiga Mwingi