Rais Samia afanya uteuzi. Katibu Mkuu Kiongozi ahamisha Vigogo 5 TANESCO

Mwenye CV ya Mr Maharage Chande Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO tafadhali.
 
Usisingizie ukaskazini magufuli alikuwa na favoratism sana na kubeba wakanda yake sasa wanawekwa wengine mnalia lia tu nakulalamika as usual, huyo Waziri alikuwa wa kanda gani, igp, mkuu wa majeshi, mkurugenzi wa TRC, wakurugenzi wa wilaya je?
 
Kuna ubaya gani Kama kazi wanafanya na hawatuteki?
Mbona Magu alijaza wasukuma wakawa wanatuteka na kutulazimisha tuwaabudu?

Mkristo akiwa na roho mbaya ana tofauti gani na Muslims mwenye roho mbaya?
Sukuma gang walikuwa hatari tulishuhudia viroba vya watu vikitupwa baharini hofu ilikuwa kila corner heri hata Hawa wavaa makobasi kama hawaonei watu
 
Mwenye CV ya Mr Maharage Chande Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO tafadhali.

Yaani nilikusahau hua anaanza wa kusifia ambae hata alieteuliwa hamjui utasikia jamaa ni kichwa sana, halafu wanafuata wanaoulizia dini ya alieteuliwa, halafu wanafuata wale wanaosema hapo hakuna kitu tumepigwa, halafu hua mnamalizia ninyi wa kuulizia CV huku ukiwa na degree ya ualimu unaulizia cv ya DG wa tanesco yaani wewe unaanza vetting baada ya uteuzi
 
Hawa watu Wengi Magufuli aliwapiga Haieleweki sababu ingawa pia wengine walionewa cha msingi tu wasituharibie Tukaanza Mgao.

Makamba ni balaa anakuchekea huku anakuuma.
 
Sukuma gang walikuwa hatari tulishuhudia viroba vya watu vikitupwa baharini hofu ilikuwa kila corner heri hata Hawa wavaa makobasi kama hawaonei watu
Samia ana mapungufu mengi ila ni bora kuliko yule aliyetaka tumwabudu
Yaan wengine walimwita yesu
Wengine wakamtaka Mungu amshukuru.
Hata kila idara akiwa Muslims ni sawa ili mradi wasituletee Mambo ya Magu.

Jirani msukuma anafanya kazi usalama basi na yeye mtaa ulilazimika kumuabudu
 
Kudadeki...
Mbona Majina yamekee kama Dini Moja hivi? Au mawazo yangu tuu?
Hapo ni Makamba tu ameamua asafishe nyumba ajimwaemwae na mikataba.
Dada mwanvita kule South atashaini hatari
 
Si ni juzi tu January aliwapiga mkwara TANESCO, imekuwaje tena anaibadilisha timu ile ile kabla hawajavurunda? Alikuwa hajui kuwa anaenda kuibadilisha? Na ule mkwara unawahusu hii timu mpya pia au?
 
Kweli kazi iendelee
 
Malizia na wale wnaouliza dini ya alieteuliwa hapa nikuangalia tu unakaa kimya kipindi cha magu usingewaona wanauliza dini dunia ina mambo hii acha kabisa
Hahaha bora mtu uwe neutral tu

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…