Utasikia"the guy is very smart"
Kichwa yule
Aise atafaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Mwenye CV ya Mr Maharage Chande Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO tafadhali.Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Maharage Chande kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO, alichukua nafasi ya Dkt. Tito Mwinuka
Kabla ya uteuzi huo, Chande alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Multichoice Afrika Kanda ya Afrika Mashariki na Magharibi
Vilevile, Rais Samia amemteua Omari Issa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya TANESCO
====
Rais Samia amemteua Hassan Seif Said kuwa Mkurugenzi Mkuu Wakala wa Nishati Vijijini (REA). Kabla ya uteuzi, alikuwa Meneja wa Kanda Mwandamizi wa Kanda ya Mashariki TANESCO
Aidha, Michael Minja ameteuliwa kuwa Kamishna wa Petrol na Gesi, Wizara ya Nishati. Kabla ya kuteuliwa, Minja alikuwa Mkurugenzi Mkuu TIPPER
Vilevile, Rais amemteua Felschemi Mramba kuwa Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu
=====
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Hussein Kattanga amewahamisha Watumishi Waandamizi watano kutoka TANESCO kwenda Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora ambapo watapangiwa majukumu mengine
Waliohamishwa ni Naibu Mkurugenzi Mtendaji Uwekezaji, Khalid James; Naibu Mkurugenzi Mtendaji Usambazaji na Masoko, Mhandisi Raymond Seya na Naibu Mkurugenzi Mtendaji Usafirishaji, Mhandisi Isaac Chanje
Wengine ni Nyelu Mwamaja (Mkuu wa Kitengo cha Ununuzi) na Amos Ndegi (Mwanasheria wa TANESCO)
View attachment 1952485
View attachment 1952487
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Ficha ujinga wako.M/kiti wa bodi Ya Tanesco Ni Muislam
DG Wa Tanesco pia ni Muislam
DG Wa Rea Ni Muislam Pia
Ts Islamic State
Bakwata Wanaupiga Mwingi Sana
Inauma eehhh.
Wacha udini.
Mtaumia sana. Hata bado.Hii ilionekana kabla.
Kwa TANESCO alieachwa ni huyo jamaa muislamu ambae amepewa cheo REA.
Huyu mama ni mdini sana.
Kuna ubaya gani Kama kazi wanafanya na hawatuteki?
Mbona Magu alijaza wasukuma wakawa wanatuteka na kutulazimisha tuwaabudu?
Mkristo akiwa na roho mbaya ana tofauti gani na Muslims mwenye roho mbaya?
Usisingizie ukaskazini magufuli alikuwa na favoratism sana na kubeba wakanda yake sasa wanawekwa wengine mnalia lia tu nakulalamika as usual, huyo Waziri alikuwa wa kanda gani, igp, mkuu wa majeshi, mkurugenzi wa TRC, wakurugenzi wa wilaya je?Nani alikua less qualifued wakati Magu alikua anateua maprofesa tu, ama na hao ni less qualifued?
Hii ya kusema Magufuli aliteua wote kanda ya ziwa ni uongo pia. Magufuli anawwza kusemwa kwa mambo mengine mabaya ila sio ya ukabila. Hii ni kampeni ilianzishwa na watu wa kaskazini hasa wachaga kumchafua Magufuli ila haikua kweli.
Ficha ujinga wako.Ofisi Nzima Pale Ikulu Wamejaa Waislamu Tu
Rais _ Muislam
CS - Muislam
Km Ofsi Ya Rais Ikulu ni Muslam
Chief of Protocol ni Muislam
Wasaidizi wa Rais 8 pale Ikulu 6 ni waislam na 2 ndio Wakristo
Jamaa ni kichwa sana.... changamoto ni siasa za serikalini, ataziweza?U yo jamaa alietoka Multichoice yuko vizur sana.
Tanesco wameula[emoji106]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Inauma eehhh.
Wacha udini.
Sukuma gang walikuwa hatari tulishuhudia viroba vya watu vikitupwa baharini hofu ilikuwa kila corner heri hata Hawa wavaa makobasi kama hawaonei watuKuna ubaya gani Kama kazi wanafanya na hawatuteki?
Mbona Magu alijaza wasukuma wakawa wanatuteka na kutulazimisha tuwaabudu?
Mkristo akiwa na roho mbaya ana tofauti gani na Muslims mwenye roho mbaya?
Mwenye CV ya Mr Maharage Chande Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO tafadhali.
M/kiti wa bodi Ya Tanesco Ni Muislam
DG Wa Tanesco pia ni Muislam
DG Wa Rea Ni Muislam Pia
Ts Islamic State
Bakwata Wanaupiga Mwingi Sana
Wewe peke yako ndio mjinga.Tanzania sio nchi ya kiislam. Halafu hawa viongozi wantufanya wananchi kama vile wajinga yani.
Samia ana mapungufu mengi ila ni bora kuliko yule aliyetaka tumwabuduSukuma gang walikuwa hatari tulishuhudia viroba vya watu vikitupwa baharini hofu ilikuwa kila corner heri hata Hawa wavaa makobasi kama hawaonei watu
Kudadeki...
Mbona Majina yamekee kama Dini Moja hivi? Au mawazo yangu tuu?
Hapo ni Makamba tu ameamua asafishe nyumba ajimwaemwae na mikataba.
Dada mwanvita kule South atashaini hatari
Kweli kazi iendeleeRais Samia Suluhu Hassan amemteua Maharage Chande kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO, akichukua nafasi ya Dkt. Tito Mwinuka
Kabla ya uteuzi huo, Chande alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Multichoice Afrika Kanda ya Afrika Mashariki na Magharibi
Vilevile, Rais Samia amemteua Omari Issa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya TANESCO
====
Rais Samia amemteua Hassan Seif Said kuwa Mkurugenzi Mkuu Wakala wa Nishati Vijijini (REA). Kabla ya uteuzi, alikuwa Meneja wa Kanda Mwandamizi wa Kanda ya Mashariki TANESCO
Aidha, Michael Minja ameteuliwa kuwa Kamishna wa Petrol na Gesi, Wizara ya Nishati. Kabla ya kuteuliwa, Minja alikuwa Mkurugenzi Mkuu TIPPER
Vilevile, Rais amemteua Felschemi Mramba kuwa Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu
=====
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Hussein Kattanga amewahamisha Watumishi Waandamizi watano kutoka TANESCO kwenda Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora ambapo watapangiwa majukumu mengine
Waliohamishwa ni Naibu Mkurugenzi Mtendaji Uwekezaji, Khalid James; Naibu Mkurugenzi Mtendaji Usambazaji na Masoko, Mhandisi Raymond Seya na Naibu Mkurugenzi Mtendaji Usafirishaji, Mhandisi Isaac Chanje
Wengine ni Nyelu Mwamaja (Mkuu wa Kitengo cha Ununuzi) na Amos Ndegi (Mwanasheria wa TANESCO)
View attachment 1952485
View attachment 1952487
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Hahaha bora mtu uwe neutral tuMalizia na wale wnaouliza dini ya alieteuliwa hapa nikuangalia tu unakaa kimya kipindi cha magu usingewaona wanauliza dini dunia ina mambo hii acha kabisa