Rais Samia afanya uteuzi. Katibu Mkuu Kiongozi ahamisha Vigogo 5 TANESCO

Mkuu naomba nikumbushe huyu jamaa amewahi kuwa nani huko nyuma Hilo jina sio geni kwenye medani ya uongozi...
Ndio alikuwa MD wa TANESCO kabla ya Mwinuka huyu aliyeondolewa leo.
 

Hongera Mama Samia kwa kufuata ushauri muhimu
 
Nikweli watu hawaelewi.
Mfano kipindi akiwa Dr Idrisa Rashid MD wa TANESCO alifanya vizuri sana wakati yeye sio mtaalam wa Umeme. Kumbuka huyu alikuwa Governor wa BOT.
 
Sio roho mbaya mkuu Ila haya Mambo yanatakiwa yasijitokeze Sana yanaweza kutuletea shida baadae.
 
Waziri Makamba anahitaji TANESCO wajiendeshe kibiashara zaidi. Ngoja tuwape muda yawezekana wakafanya vizuri
 
Ni zaidi ya ovyo, majibu yake tutayapata soon, hao wote walioteuliwa hakuna mwenye dalili ya kudeliver zaidi ya kutetea maslahi yao, January Makamba ni janga jingine nadhani huyu mama haielewi vizuri hii nchi,she will pay the price.Atafanya vibaya zaidi ya sana
 
Nakubaliana na watu wanaosema January kaomba team yake ili abadilishe mambo.

People are gonna get hurt na TANESCO inaenda haribika like never before, this was always the danger with him ataleta ubunifu ambao hana.

The nonsense tu ya kusema wauze 20% ya hisa ili kulipa madeni. Wakati TANESCO inadaiwa sh/trillioni 5 na wanahisa ambazo wametenga for whatever nonsense reasons ambazo roughly ni million moja.

Sasa kuuza 20% ya hizo hisa ili upate sh trillioni 5 ata hisa moja ukiuza kwa million 1 upati hiyo income (jiulize watanzania wangapi kununua hisa laki mbili kwa millioni bei ya 1m kwa hisa). Besides ata ukilipa madeni yote kwa miujiza TANESCO CoS bado kubwa upati ata gross profit hasara ipo pale pale.

So hata ukinunua hisa usitegemee gawio mpaka management ijifunze kubalance operation cost maana hilo ndio tatizo la msingi.

Sasa jiulize boss wa mass media na energy ‘management ‘wapi na wapi’ safari hii hakuna copy and paste.

I am telling you hali inaenda kuwa mbaya zaidi TANESCO.

Binafsi nilitaka kuona January anapewa wizara ngumu tupime uwezo wake; ni wajinga wajinga tu wanaosifiana ujinga kule twitter.
 
Udini Ni kitu mbaya Sana mkuu ndo maana inabidi itumike busara kubwa Sana hata kwenye promotion ya nafasi mbalimbali watu wasinuse hata harufu ya Jambo ilo watanzania tumejengwa kwa misingi ya umoja na mshikamo bila kujali itikadi zetu.
 
Mimi heri Samia mara elfu kuliko magufuli bana tulikuwa tunaishi kwa hofu mda wote full mauonevu aaargh, Bora maustaadhi huwa hawaonei mtu vibaya atleast huwa wako fair, hawapendi kusifiwa wala kuabudiwa aisee
 
Wakifanya hivyo bei zitakuwa hazishikiki. Waache tu kufanya siasa zao ndani ya shirika hilo na wawaachie management wafanye maamuzi bila kuingiliwa na maccm na watendaji wa Serikali pale madini na Ikulu.
That's practically impossible. Wateuzi na wanasiasa, CCM hao hao particularly kwa maana ndio wana dola. Watake wasitake lazima waangaliwe. Shirika haliwezi kiwa na ufanisi kwani hata akiingia mkurugenzi mpya na bodi mpya hawana time frame ya maono na utekelezaji, na hata akija raisi na waziri mwingine kesho na yeye anafumua tu kutokana na utashi wake.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Reactions: BAK
Sio roho mbaya mkuu Ila haya Mambo yanatakiwa yasijitokeze Sana yanaweza kutuletea shida baadae.

Hakuna la kulaumu hapo
Kuna wakati wanachaguliwa Watu 10 kwa mfano na wanne wakawa na majina ya kiislam utaona comment zingine zinaanza kusema ooh waislamu wamekuwa wengi wakati ratio inaonekana kabisa wapi wengi

Hakuna udini bali utendaji wa kazi na hao pia walioteuliwa wameteuliwa na elimu zao na fani zao

Hebu nikuulize kwa matamko ya huyo ni ya uungwana au ni kutafuta maneno?

Anyway tuyaache maana huwa hatulalamiki hata wateuliwe nani
Mbona walipangwa safu nzima ya wasukuma na mkakaa kimya na kufungwa midomo na matusi juu

Tena wengine walitukanwa wakiwa mawaziri na kudhalilishwa na kuambiwa eti wakubwa kwangu ila nawaambia ni wapumbavu

Au umesahau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…