Ridhiwani haitaji kupiga majungu ili awe waziri ridhiwani Sasa hivi anaandaliwa kupata uzoefu mama Sasa hivi kapelekwa ikulu soon ndio Rais wako ajaye huyo ukubali ukataeWewe ndo unajidanganya,kazi pale ardhi hazimaliziki. Yeye lengo lake lilikuwa na awe waziri kamili wizara hiyo.
Ile ndio Wizara ya TISS na TAKUKURU na taasisi mbili nyingine,I do not remember which.Unamaanisha nini ?
Hivi ridhiwani akihitaji sehemu yoyote inchi hii mpaka awe waziri.akitaka sehemu yoyote anaipata hata bila kuwa waziri[emoji1787] mtoto wa Rais si binadamu ?Nani asiyeitaka wizara ya ardhi ?Jamani hizi ni za ndani kabisa. Unavyobisha utafikiri kina Nape walikuwa hawamsengenyi Magufuli kisa ni chama kimoja.
Acha kumuonea Ridhiwani ni mtu mwenye haki na alieluwa anaemfanyia fitna Mabula ni yule kamishna wake wa ardhi anatapeli ardhi za watu Mabula akimkanya anaenda kusema uongoPale Ardhi alikuwa anamfanyia fitna Ms Mabula ,sema Mabula itakuwa ni mtu wa maombi sana.
Hilo linajulikana anaishi kwa mbeleko ila haliondoi ukwel wa uwezo wake mdogo kiutendaj,waache walambe asali ni haki yao ya kikatiba😅Huyo hawezi tolewa,hakuna wa kumgusa kabisa nchi hii,labda Magu angekua hai ndio angeweza
Hakuna mtendaji wa tume anayeweza kuwa kikwazo kwa Ccm wakitaka kucheza michezo yao.Nimefanya nae kazi ninamjua vyema...uchaguzi wa 2015 ilibidi CCM wapambane kwa wakurugenzi...mcha Mungu asiye na mawaa, uchaguzi ule angekua ni Mahera Lowassa asingepata hata kura laki 5.
Samia kuna maeneo amedhamiria kuleta haki....
Haha eti dini ya majahazi [emoji1]Nchi hii viongozi wanaotokana na imani au dini ya Kikristo ni makatili sana, angalia Kuanzia Nyerere, Mkapa hadi Magufuli. Sijui mapadre wao hawawafundishi upendo au ni roho zao mbaya tu .
Kwa upande wa hawa viongozi wanaofuata imani ya waarabu yaani uislamu wana upole sana na ni wazembe sana kushughulika na viongozi wa umma wanaokiuka miongozo na taratibu za utumishi wa umma, hawa viongozi kutoka dini ya majahazi wanaongoza kuwafumbia macho majitu yanayofanya ufisadi nchini, huko mbele tunahitaji Rais hasiye mkristu wala muislamu.
Hatimae wafugaji sasa tumewekwa chini ya wakulima wa nazi na maparachichi duh!!!
God have mercy on us.
Huyo aliyemweka ana lipi la ajabu?Alikuwa hafiti Ardhi,Ardhi unahitaji mtu very aggressive na anayejua masuala ya Ardhi in general,pale maza alikosea kumweka,kaona gap karekebiaha tatizo
Huyo aliyemweka ana lipi la ajabu?
Hivi kumbe mifugo na uvuvi haipo chini ya kilimo?Hatimae naibu wa mifugo kawa waziri,Karoga sana.Kweli uchawi upo. Pole waziri wa mifugo.
Kwani wewe ni Pascal Mayalla ?Duuhh!!! Na Leo nimekosa tena!!!
Nahisi kawekwa kimkakati, .. hapo UTAWALA BORA.. anakaa na nyoka wamapanga mipangoUtalinganisha na ulaji wa ardhi?
Unazijua wizara zenye pesa mkuu?
Kilimo kipo kwa Bashe huko.Hivi kumbe mifugo na uvuvi haipo chini ya kilimo?