Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Ridhiwani amekabidhiwa TISS.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na kwa hali ilivyo hutakiwi kufurahi kupita kiasi, maana unaweza usifikishe hata miaka miwili ukatenguliwaTanzania, unalala jioni ukihamuka asubuhi una cheo ama umebadilishwa ama umetenguliwa
Kuwa mwanaume, acha taarabu. Wewe kila kukicha umekalia Mgaufuli..Magufuli...Magufuli, hata kwenye mada ambazo hatakiwi kuwekwa ni lazima umtaje tu.
Hapa Magufuli kafata nini sasa?
Ikatae hii mentality ya kifukara na kichawi kwenye maisha yako.
Never!Ramadhani Kailima yuko rational sana!
Jina halisi ndo lipi?Mwana Fa
Na Dotto BitekoHatimaye Kanda ya ziwa, katubakishia ..Angelina mabula.
Tunajua ugonvi wake na Kanda ya ziwa.
Hiyo mikoa ya Tanga na Pwani yenye mawaziri wengi imewasaidia vipi Wanyonge wa mikoa hiyo kutatua shida zao za maji, elimu n.k?Mikoa ya Tanga na Pwani ina mawaziri na manaibu waziri kama wote. Sidhani mkoa wa mara ama Manyara ama Simiyu una waziri hata mmoja.
Ndio itasema sasaKwani katiba inasema waziri lazima atoke kila mkoa?
Ndumbaro alipaozesha, alikua na mentality kama za alokua amemteua.Naona utumishi palikuwa pameoza
Kama ni hivyo angeanza na Waziri MkuuSio Mahera tu, wenye tuhuma ni wengi sana ambao wanatakiwa waondoke kwenye ofisi za umma kupisha uchunguzi dhidi yao, mfano ni huyo Silinde, etc
Nausubiri wa maDED kwa hamu,kaimu mkurugenzi wangu hatoshi kwenye kiti,inshort amepwaya sana,hana maamuzi na ana uzawa sana.Kuna mkeka wa Wakurugenzi wa taasisi na halmashauri unakuja pia kuna mkeka wa makatibu tawala mikoa na wilaya huu ni soon utatolewa, source: trust me Bro
Wanaliwa timing tu hao,huoni walivyo kimya?wanajua kinachoendelea1. Biteko,
2. Bashungwa,
Wanatoka Pwani?
Acha kupanick dogo. Shetani anatajwa popote.
Yeah, asiwaache wajenge mazoea, kila baada ya miezi mitatu, rotate,, rinse and repeat,,, 😁,,Kuna gharama assocaited na huu uteuzi? Kama hakuna aendelee tu kuteua.
Pwani ni wa dini ile, sioni ajabuMawaziri karibu wote ni ukanda wa pwani tu?
Kanda ya ziwa alikua mashimba nae amefyekelewa mbali
Ila kwa nafasi ya kibubu hagusi pamoja na mafyekele yote yanayosemwaNaona mama panga pangua kila mwezi...
Tuvute subra mkuu🤷♂️Duuhh!!! Na Leo nimekosa tena!!!