muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Kijana ana shida gani?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoto wa Tanga yule nyota yake lazima itakuwa imepigwa brushFA kapata mafanikio ya kisiasa ndani ya muda mfupi mno kongole kwake
Tuna set very low standards kwa calibre ya uongozi wa juu karne hii.
Hakupita Law School. Alifanya mtihani wa Bar. (Bar Exam) mtihani maalum wa zamani kwa ajili ya kupata uwakili.Acha chuki. Ridhiwani kasoma a-level Mkwawa sec kisha chuo UDSM... na akapita law school kabla ya kuwa advocate. Sasa huo u-kilaza uko wapi?
Acha uvivu wewe kama mchele gali nenda kalime au mnataka muambiwe makalimie meno??huyu mama ana upuuzi mwingi sana !😏
Nchi imemshinda kilo ya mchele imefika elfu 3 kazi kuteua na kutengua tu.
hapo pote anatatafuta timu ya kumsapoti 2025.
na mi nasema hiv: kabla ya 2025 Mwenyezi Mungu ataingilia kati inshaAllah 🙏
Ridhiwani ana uwezo wa kuweza kutawala Tanzania kama baba yake kwa hiyo msimwonee wivuHakupita Law School. Alifanya mtihani wa Bar. (Bar Exam) mtihani maalum wa zamani kwa ajili ya kupata uwakili.
Jiwe aliwajaza kiboyaboya wakaona kama nchi yao, mambo ya kulialia ooh sijui kabila letu hawateuliwi mara ooh sijui dini yetu hawateuliwi ni ishara za jamii za watu wavivu wanaotegemea ku-survive kupitia teuzi au kupitia ukaribu wao na wateuliwa. Kuna jamii hazililii teuzi likini life standards zao ziko juu na zina wasomi professionals kibao.Wachaga hawana habari za kusubiri teuzi,kusubiri teuzi ni uvivu huo
Watu wanapiga maisha kwenye angle zingine na wana make tu [emoji4][emoji3]
Wasukuma nao wamekua wahanga kama wachaga tu.huyu mama anawachomoa mmoja mmoja tu
Sawa,lakini baada ya SSH,,, Rais ajae ni central corridor,, Mwigulu lameck Nchemba,,Ridhiwani ana uwezo wa kuweza kutawala Tanzania kama baba yake kwa hiyo msimwonee wivu
Huyo Pinda ana lipi la maana? Mweupe tuPalipo nifurahisha ni pawili tu,
-Ardhi
-Uwekezaji kuisogeza ofisi ya rais.
HONGERA DR. SAMIA, KAZI SAFI NA NZURI MNO!
SIJUI KWA MR. PINDA ARDHI KAZI ZITAENDA KWA MWENDO WA HARAKA AU KOBE, LA....
Jambo dogo tu, utarushwa mawiki, miezi, miaka, mpaka viatu viishe!, wengine mpaka sasa tumezoeleka hapo ardhi!
Mbona magu alikua ana blast na mkamchagua kuwa rais?Shida sio elimu yake shida ni bangi anazovuta adharani
Hv nikikuita mata.ko nitakuwa nimekosea mbona unahemkwa. Wapi nimeona wivu zaidi ya kutoa ufafanuzi!!??Ridhiwani ana uwezo wa kuweza kutawala Tanzania kama baba yake kwa hiyo msimwonee wivu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hakunaga Hamis fala by Dr Kigwangalla
Anazungukia alikochezea chandimuYaani mawaziri ni Tanga, Pwani, Zanzibar. Mikoa mingine mmoja mmoja sana.
Mara haina waziri, Simiyu haina waziri. Shinyanga sijui kama yupo, Geita sijui kama yupo.
Mwana Fa anafaa sana ACHA wivu utakufa mapemaUteuzi wa mediocre personalities sasa umezidi!
Sina la kuongeza ila mama umeingia kwenye mtego wa maono wananchi tusiyoyajua.
Huo ni mtazamo wako binadamu hatufanani.Hamisi hata ukimsikiliza dakika 10 tu unaona ana mawazo madogo sana.
Sasa ndio hapo tunapoona Ustaarabu wako kwa matusi bila shauri tako langu au la mamaako koma kutukana mtu usiemjua tako weweHv nikikuita mata.ko nitakuwa nimekosea mbona unahemkwa. Wapi nimeona wivu zaidi ya kutoa ufafanuzi!!??
Hebu tusaidie ukiondoa umri, MwanaFA ana tofauti gani na Kassim Majaliwa?Uteuzi wa mediocre personalities sasa umezidi!
Sina la kuongeza ila mama umeingia kwenye mtego wa maono wananchi tusiyoyajua.
Makamba, pinda, Riziwan, Nchengerwa(japo yuko sawa) hao wote ni wakupewa hata wavurunde vp hawawezi kuondolewaKwa nini unasema anabebwa,Hana elimu au uwezo!?..thibitisha