Rais Samia afanya Uteuzi wa Wakuu wa Mikoa na Taasisi: Hamduni-TAKUKURU, Makala-Dar, Kafulila-Arusha, Chalamila-Mwanza, Sendiga-Iringa, Makongoro...

Popote alipo Ndugu ALBERT CHALAMILA naomba tafadhali aje hapa. Nimeandaa tafrija fupi ya kumpongeza kwa kuteuliwa kuwa RC wa Mwanza.
Walimponda sana huyu Ndugu. Ukiwauliza, kosa lake ni nini? hawana majibu. Hongera sana Ndugu ALBERT CHALAMILA.
I feel sorry for you nadhan kabla ujafanya judgement na kuwatuhumu waliokuwa wanakosoa utendaji wa chalamila ungepaswa kujua watu wa mahali alipokuwa i mean mkoa wa Mbeya wanasemaje. Nipo mbeya kaka and mambo yanayoendelea Mbeya ni aibu mpaka kufika leo ni siku ya tano tukielekea wiki kuna mgomo wa daladala mkoani mbeya na sio mara ya kwanza kwasababu kuna madai ya msingi ambayo wanayadai lakin hayatimizwi and imagine RC yupo kimya kabisa as if hajui yeye ni RC na inasemekana anawaruhusu bajaj even kuvunja sheria coz nasikia anamiliki bajaj nying mjini aibu ilioje nadhan ifike muda watu wanaokuwa kwenye hizi nafasi wawe wanaajiriwa kama watumishi wengine wa serikali na sio uteuzi coz wanabweteka na kusahau majukumu yao kwasababu mwenyekiti wa chama yupo nyuma yao!!!!
 
Hi huyu Maneno Mbegu mme wa Queen Sendiga ana Uhusiano gani na Sudani Kusini? Kwenye picha ya harusi yao alikuwa amevaa tai yenye bendera ya Sudan Kusini!
 
Makala karibu DSM.
Makongoro nae amekumbukwa
 
Pale ulipomla kichwa mtu afu leo anashikilia kesi yako.....kweli Dunia duara.
Your browser is not able to display this video.
 
Umeandika kama mtu chuki kwa maslahi binafsi au kikundi ! 😆
 
Tushawajua toka mrema alipogombea mwaka 1995, yaani wale wabaguzi sana, walimharibia hata mrema, hawatapa uongozi wa nchi .Sasa waliyemfukuza chadema kaja kama mkuu wa mkoa kwenye ngome yao.Hongera Kafulila piga kazi
 
Hicho chama cha queen sendiga ADC ni chama kidogo cha chama tawala,nakumbuka uchaguzi uliopita kampeni meneja wa ugombea udiwani kwa tiketi ya ccm naye pia aligombea udiwani ADC,yaani huku ni kampeni meneja na huku anagombea ADC
 
Mkeka unaosubiriwa usiku na mchana ni uteuzi wa wakuu wa wilaya na Makatibu tawala mikoa/ ma-DAS na wakurugenzi wa halmashauri na jiji Tanzania 🇹🇿
Shida ya mama ni kuwa anabadilisha tu haweki wapya
 
Paul Makonda naye anaweza kukumbukwa kwenye awamu ya saba au ya nane. Aendelee tu kuwa mwadilifu na mvumilivu kwenye chama chake cha ccm kama hao wenzake walivyofanya.
Paul Makonda angeteuliws Mwanzs ingekuwa poa sana
 
Kama Mh. Mtaka kumuondoa Simiyu haijakaa sawa kabisa. Najua amepewa Dodoma kwa sababu ya uchapakazi wake ila Simiyu alikuwa na mambo mazuri ya kujenga mkoa mpya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…