Cha msingi Raisi azingatie kuteua viongozi kwa kusudi la utawala Bora, na si chuki na kukomoa mtu!Raisi Samia tuletee makonda hapa Kilimanjaro amnyooshe mnywa konyagi na genge lake.
MTAKA mkuu sio kwamba yupo makao makuuAmos Makalla amerudishwa ulingoni,
Mtaka sijamuona.
Karibu Dar mh Makalla
Kwani akiwa mkuu wa Mkoa haingii kwenye vikao vya CCM? Usichokijua ukiwa mkuu wa wilaya na mkoa unakuwa mjumbe wa kamati ya siasa na hapo ndio unaweza kuishi ki ccm vizur zaid.Makongoro kawekwa huko ili aomdoke CCM watu wapange yao ma si vinginevyo. Maana ni kati ya watu wenye misimamo.
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Mwambie ajie Dar Gymkhana club over 40 tunacheza kila Jumanne na Alhamisi.Tulikuwa na Striker hatari Mhe.Masauni siku hizi simuoni!Amos Makala mtu safi sana pia kujumuika na watu na anapenda kucheza mpira wa miguu
naona upo kwenye joto unahitaji mkuyenge wa mboweSafiii, mbona jina la Mbowe na zitto sijaona? Na makada wengine wa cdm? Huhuhu
Wapinzani ni takataka tuAlisema atateua mpaka Wapinzani, Kulikoni ¿
OutMgwira???
naona upo kwenye joto unahitaji mkuyenge wa mbowe
TupoMwanza mpo....???
Ndio utambue mama na JPM ni kitu kimoja....Mola akulinde mama...kazi iendeleeWatu wamebadilishwa tu
Mataga Si mnasemaga mama anafuata ya mitandaoni. Sasa maoni ya Maria hayajasikilizwa.Hapa napo vipi, bado msimamo wako ni uleule kuwa anafuata ya mitandaoni au umebadili gia angani?Wametumiwa ujumbe kuwa CCM ni CCM
Unateseka ukiwa wapi ndg yangu?Happy na Chalamila wanini tena jamani??
Kuzoea kituo Cha kazi mda mrefu pia ni shida ufisadi unaanzia hapoMama ilimradi tu afanye lolote aongolewe kwa miaka watu walikuwa wanalalama kubadilisha badilisha wakuu wa mikoa na wilaya kunaondoa consistencies ndio maana Magufuli aliwaacha.
Hao watu kwa muda waliokaa wanafahamu changamoto za maeneo yao, plan zilizokuwepo na changamoto za watendaji wao.
Kingine Magufuli for once alijitahidi kuweka wakuu wa mikoa kutokana na maeneo wanayoyafahamu au skills zao ili watatue changamoto kutokana priority wanazozifahamu wao.
Mgwira???
Kwahiyo kama mtu ana plan zake nzuri zenye manufaa na zishaanza kuzaa matunda kuna dhambi gani akipelekwa sehemu nyingine akawanufaishe huko?Nipate tabu ya nini, kubadilisha badilisha watu kunaondoa consistency.
Chukulia mtu kama Jokate ana plan zake kibao Kisarawe kesho umtoe umpleke sijui Rukwa si anaenda kuanza upya tena, huyo atakaenda huko ataendeleza legacy zake?
Kubadilisha badilisha watu vituo vya kazi ni mambo ya kishamba tu.