digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Dodoma,soma vizuriAmos Makalla amerudishwa ulingoni,
Mtaka sijamuona.
Karibu Dar mh Makalla
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dodoma,soma vizuriAmos Makalla amerudishwa ulingoni,
Mtaka sijamuona.
Karibu Dar mh Makalla
Kazi iendelee!Salaam Wakuu, Huu ndo uteuzi rais kafanya.
Rais Samia afanya Uteuzi wa Wakuu wa Mikoa na Taasisi: Hamduni TAKUKURU, Amos Makala Dar, Kafulila Arusha, Chalamila Mwanza, Queen Sendig Iringa, Makongoro Manyara, Chalamila Mwanza, Kunenge Pwani, Kagaigai KIlimanjaro
View attachment 1785850
View attachment 1785846
View attachment 1785849
Maana ya neno purge ktk mfumo : "he purged all but 26 of the central committee members" or remove (a group of people considered undesirable) from an organization
Sawa bwashee. Wewe vipi unahisi kwenye uDC utakula shavu?Bado maDC!
Unapata taabu sana kutoka wapi mkuu!?Mama ilimradi tu afanye lolote aongolewe kwa miaka watu walikuwa wanalalama kubadilisha badilisha wakuu wa mikoa na wilaya kunaondoa consistencies ndio maana Magufuli aliwaacha.
Hao watu kwa muda waliokaa wanafahamu changamoto za maeneo yao, plan zilizokuwepo na changamoto za watendaji wao.
Kingine Magufuli for once alijitahidi kuweka wakuu wa mikoa kutokana na maeneo wanayoyafahamu au skills zao ili watatue changamoto kutokana priority wanazozifahamu wao.
Mtaka DodomaAmos Makalla amerudishwa ulingoni,
Mtaka sijamuona.
Karibu Dar mh Makalla
Nili kuwepo ila kama msomaji tuAlikuwa wapi mkuu
Nipate tabu ya nini, kubadilisha badilisha watu kunaondoa consistency.Unapata taabu sana kutoka wapi mkuu!?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dah . .. My best friend Rich Kas!Uteuzi hauna Mashaka bye bye..kasesera the like...
Mtaka jina lake la kwanza kabisa kwenye pg ya kwanza.RC DODOMAAmos Makalla amerudishwa ulingoni,
Mtaka sijamuona.
Karibu Dar mh Makalla
Duh noma. Pasco hajapata hata moja?