Rais Samia afanya Uteuzi wa Wakuu wa Mikoa na Taasisi: Hamduni-TAKUKURU, Makala-Dar, Kafulila-Arusha, Chalamila-Mwanza, Sendiga-Iringa, Makongoro...

Rais Samia afanya Uteuzi wa Wakuu wa Mikoa na Taasisi: Hamduni-TAKUKURU, Makala-Dar, Kafulila-Arusha, Chalamila-Mwanza, Sendiga-Iringa, Makongoro...

Nipate tabu ya nini, kubadilisha badilisha watu kunaondoa consistency.

Chukulia mtu kama Jokate ana plan zake kibao Kisarawe kesho umtoe umpleke sijui Rukwa si anaenda kuanza upya tena, huyo atakaenda huko ataendeleza legacy zake?

Kubadilisha badilisha watu vituo vya kazi ni mambo ya kishamba tu.
Na Kuteseka kwako Kuendelee!
 
Amefanya vyema kutengua mkurugenzi wa UDART kampuni ambayo serikali kwa sasa ina hisa 85% .. lakini mkurugenzi mtendaji wa DART naye anatakiwa kuondolewa haraka iwezekanavyo.

Mkurugenzi mpya wa UDART tunaomba shirika hili liwe public kwa maana lipelekwe DSE wanachi tuqeke mitaji hapo.
Salaam Wakuu, Huu ndo uteuzi rais kafanya.

Rais Samia afanya Uteuzi wa Wakuu wa Mikoa na Taasisi: Bw. Mwakitalu kuwa Mkurugenzi wa Mashitaka(DPP), Hamduni Mkuu wa TAKUKURU, Amos Makala kawa mkuu wa Mkoa wa Dar, Kafulila kawa mkuu wa Mkoa Arusha, Chalamila kawa mkuu wa Mkoa Mwanza, Queen Sendiga kawa mkuu wa Mkoa Iringa(Queen alikuwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) Uchaguzi wa Oktoba 2020), Makongoro Nyerere kawa mkuu wa Mkoa Manyara.

Chalamila kawa mkuu wa Mkoa Mwanza, Kunenge kawa mkuu wa Mkoa wa Pwani, Kagaigai kawa mkuu wa Mkoa KIlimanjaro, Ali Hapi kawa mkuu wa Mkoa Tabora. Anna Mngwira amesitaafu. Mbungo wa TAKUKURU atapangiwa kazi nyingine.
View attachment 1785850
View attachment 1785846
View attachment 1785849
 
Huyu mama kajua kuharibu Eid pili wallah, [emoji23][emoji23][emoji23] nacheka km mazuri vile.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Cocastic unataka kufurahi tu kwa kila uteuzi na utenguzi 🤣🤣🤣

Jana ulicheka ,kufurahi Sana na kumsifu mh.Rais baada ya KUMSIMAMISHA comrade Sabaya 🤣🤣🤣

#NaEidPiliIendelee🤣
 
Chalamila yuko pale pale kama mkuu wa mkoa. Kelele za kina Maria Sarungi hazijasikilizwa.

Hamduni afanye kazi kitaalam, aachane na vitisho vya magwanda ya kijeshi kama ya aliemtangulia. Akumbuke PCCB ni law enforcement agency or investigative services hivyo afanye kazi kitaalam.
Amewakomesha mataga..
 
Naona Kafulila na Makongoro wamekumbukwa!

Ally Hapi bado anakumbukwa!

Kulikoni Bosi wa TAKUKURU kupangiwa kazi nyingine!
Taarifa ya CAG tangu isomwe na ndio kazi za TAKUKURU kuchukua hatua ye yupo tu.
 
Back
Top Bottom