Kwani Hapi Anna tatizo gani?Hakuna jipya kihivyo! Kama Happy bado yumo sioni jipya hapo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Hapi Anna tatizo gani?Hakuna jipya kihivyo! Kama Happy bado yumo sioni jipya hapo!
Ww umepata!?Duh noma. Pasco hajapata hata moja?
Queen sendiga kateuliwa yupo chama Cha ADCAlisema atateua mpaka Wapinzani, Kulikoni ¿
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Labda Queen Sendiga
Haya komredi... subira huvuta heri...Kwani amemaliza kuteua?!!
Kwani hawa hatowabadilisha mpaka mwisho wa utawala wake ?!!!
MAISHA NI SAFARI komredi.....
Mtaka mkuu wa mkoa wa DodomaAmos Makalla amerudishwa ulingoni,
Mtaka sijamuona.
Karibu Dar mh Makalla
Na Kuteseka kwako Kuendelee!Nipate tabu ya nini, kubadilisha badilisha watu kunaondoa consistency.
Chukulia mtu kama Jokate ana plan zake kibao Kisarawe kesho umtoe umpleke sijui Rukwa si anaenda kuanza upya tena, huyo atakaenda huko ataendeleza legacy zake?
Kubadilisha badilisha watu vituo vya kazi ni mambo ya kishamba tu.
Salaam Wakuu, Huu ndo uteuzi rais kafanya.
Rais Samia afanya Uteuzi wa Wakuu wa Mikoa na Taasisi: Bw. Mwakitalu kuwa Mkurugenzi wa Mashitaka(DPP), Hamduni Mkuu wa TAKUKURU, Amos Makala kawa mkuu wa Mkoa wa Dar, Kafulila kawa mkuu wa Mkoa Arusha, Chalamila kawa mkuu wa Mkoa Mwanza, Queen Sendiga kawa mkuu wa Mkoa Iringa(Queen alikuwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) Uchaguzi wa Oktoba 2020), Makongoro Nyerere kawa mkuu wa Mkoa Manyara.
Chalamila kawa mkuu wa Mkoa Mwanza, Kunenge kawa mkuu wa Mkoa wa Pwani, Kagaigai kawa mkuu wa Mkoa KIlimanjaro, Ali Hapi kawa mkuu wa Mkoa Tabora. Anna Mngwira amesitaafu. Mbungo wa TAKUKURU atapangiwa kazi nyingine.
View attachment 1785850
View attachment 1785846
View attachment 1785849
Cocastic unataka kufurahi tu kwa kila uteuzi na utenguzi 🤣🤣🤣Huyu mama kajua kuharibu Eid pili wallah, [emoji23][emoji23][emoji23] nacheka km mazuri vile.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
chadema wanahusikaje nateuzi za wakuu wa mikoaChadema wameangukia pua tena.
Chama hiki kina laana
Amos Makalla ni mtu mzuri aliondolea kwa misimamo yake tu history ya mtu inakufuata unakoenda alifanyiwa fitna nyingi lakini alikaa kimyaa tu.Jina #1 kabisa
Amewakomesha mataga..Chalamila yuko pale pale kama mkuu wa mkoa. Kelele za kina Maria Sarungi hazijasikilizwa.
Hamduni afanye kazi kitaalam, aachane na vitisho vya magwanda ya kijeshi kama ya aliemtangulia. Akumbuke PCCB ni law enforcement agency or investigative services hivyo afanye kazi kitaalam.
Swadakta comrade!!!Haya komredi... subira huvuta heri...
Mtaka ni kichwa sana pale Dodoma atafanya mengi mazuri.Yaani nimefurahi kumuona mtaka dodoma, big up sana mama
Taarifa ya CAG tangu isomwe na ndio kazi za TAKUKURU kuchukua hatua ye yupo tu.Naona Kafulila na Makongoro wamekumbukwa!
Ally Hapi bado anakumbukwa!
Kulikoni Bosi wa TAKUKURU kupangiwa kazi nyingine!
amestaafuAna mgwilla Ameachwa.
Mpaka hapo Bashite kashakula za uso?Labda kwenye Kilimanjaro bia.
Mwambieni huyo bwege wenu atafute shamba alime mkeka ulishachanika