Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana maana nasikia upandishwaji wake wa cheo cha Major General ulikuwa na ukakasi fulani hivi!!!!Halafu nimeona wameandika brig jen mbuge ..inamaana amevuliwa nyota moja au?
Hamdun ni mnyamwezi wa Taborahivi wakuu PCCB si sio taasisi ya MUUNGANO why mzanzibar aiongoze.kule znz wao wana ZAECA.Naona kwa mbali huyo DG mpya wa PCCB anakuja kumrithi IGP SIRO,mana kasharushwa cheo kutoka ACP TO CP.kuna cheo cha SACP kakiruka hapo.i think hyo ndo IGP mpya after SIRO
Hahaha Pasco ni mtu wa mwendazake.Awamu yao imepitaDuh noma. Pasco hajapata hata moja?
Pasco mbona naona ana bahati mbaya hivi, hatautezi huu hayumo?Hahaha Pasco ni mtu wa mwendazake.Awamu yao imepita
kwa Mbeya wamefurahi kwa sabb changamoto ya usafir (daladala) imekuwa kero (siku ya tano daladala hazipiti barabarani) wananchi wanahaikaTupo ulewehu wake auche hukohuko
Hakuna siku nimefurahi kama leo,balozi Sokoine da!Napongeza kuteuliwa kwa Joseph Sokoine kuwa katibu mkuu mambo ya nje ambaye aliwahi kuwan balozi wa Tanzania EU, Belgium na kutenguliwa na marehemu mwendazake aliyedhani ataishi milele kwa sababu alikwenda kumtembelea Lissu hospitalini Ubelgiji
NoAnakuja Dar
Wanadai eti kastaafu... Hivi umri wa kustaafu Ukuu wa Mkoa ni miaka mingapi!? Hivi Makongoro Atakuwa hajahit 60 years kweli....!!Ana mgwilla Ameachwa.
Kesi za uhujumu uchumi hizoNaona Kafulila na Makongoro wamekumbukwa!
Ally Hapi nae bado anakumbukwa!
Kulikoni Bosi wa TAKUKURU kupangiwa kazi nyingine!
Diplomats: Anataka kukuvua cheo ila hataki kuonekana mbaya. Anakupa kazi au sehemu usiyoiweza halafu poor performance inakutoa.Exactly Magufuli alikuwa anaweka watu kwa sababu wanayajua hayo maeneo au kwenda kutatua changamoto sugu kutokana na skills zao.
Umeshawahi kufika Tabora?Mkoa wa Iringa ni moja ya mikoa mikubwa katika kilimo wazalishaji wakubwa tu, Huyu kijana kuna kipindi kauli zake za kibabe kufokea watu wewe mtumishi wa watu tatua shida za watu mbona mama kimya kimya tu lakini shughuli yake unaiona.
Mtaka DodomaAnakuja Dar
Nilikosea majina bossCheck namba 1 juu kabisa ndipo anapokaa
SureSio kweli,
Mtaka ameenda Dodoma
Makalla ameletwa Dar
Elewa, hii ni Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.hivi wakuu PCCB si sio taasisi ya MUUNGANO why mzanzibar aiongoze.kule znz wao wana ZAECA.Naona kwa mbali huyo DG mpya wa PCCB anakuja kumrithi IGP SIRO,mana kasharushwa cheo kutoka ACP TO CP.kuna cheo cha SACP kakiruka hapo.i think hyo ndo IGP mpya after SIRO