Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Well and good.
Lakini kwa jinsi hawa wakandarasi wetu wa Kiswahili walivyo wababaishaji — Bila kuwakimbiza na kuwarusha kichura chura hatuwezi kufika popote!
Na sio tu kwa wakandarasi, lakini hata maofisini kwenye taasisi za umma, waswahili ni wababaishaji mno wanahitaji kupelekwa kwa kasi na kwa shinikizo.
Without some heavy reinforcement, you will achieve nothing.
Rais atakuwa kila akienda mahala anaunda tume za uchunguzi lakini matokeo ya chunguzi hizo hatuambiwi!!! BOT report yake lake ya uchunguzi wa CAG imetoka?
Ndio imekuwa staili ya mawaziri wake nao wanaiga; kama Ndumbalo nae aliunda tume kuchunguza ubadhilifu pale board ya Utalii ameishia kuwaambia aliowasimamisha kuwa waendelee na kazi kama kawaida mapendekezo ya tume aliyoiunda yatafuata baadae!!! Kwahiyo hizo tume za uchunguzi zimekuwa kama kiini macho ?
Hata ingetoka leo, hawezi kumwajibisha mtu huyu Bi Mkubwa
Hii nchi ilikuwa shamba la bibi.TUMEPIGIWA SANA.Mama kapokea nchi ikiwa vipande vipandeNi jambo jema mama amefanya tunataka Nchi isonge mbele, kwan tulicheleweshwa mno,au nasema uongo ndugu zangu
Yaani tangu utotoni mnalishwa vyakula visivyowajenga kiakili halafu msingizie kulaaniwaHizi nchi zilizolaaniwa zina vituko sana.
Kuanzia leo badili ID kutoka Kipangaspecial kuwa falaspecial.Itapendeza zaidi.Yaani tangu utotoni mnalishwa vyakula visivyowajenga kiakili halafu msingizie kulaaniwa
Hivyo vipande vinajizihirisha ata hum jukwaanHii nchi ilikuwa shamba la bibi.TUMEPIGIWA SANA.Mama kapokea nchi ikiwa vipande vipande
Naiandikia fine,imeziba njia,imesumbua watumiaji wengineT 675 BHB
Si wanasemaga gari ya Raisi ina nembo ya bibi na bwana. Kumbe sio lazima.
hajaenda lakini kinachofanyika mmekiona kupitia vyombo vya habari jana (hususani ITV)......wengine wametembelea lakini hawakuona. alisema tusione macho yake yamesinzia tukadhani hayaoni mbali. kama upo makini unaweza kuona shughuli zinavyoenda kimya kimya!!!Yeye haendi bandarini kama mwendazake?
aters bwana!!Raha ya ziara ya kushtukiza iondoke na mtu.
Kama mtu hajatumbuliwa basi kapoteza muda na fedha. Arudi ofisini.
Daaah [emoji23] [emoji23] [emoji23]Maskini kama wewe, kuanzia kula hadi kuishi ni kwa kubahatisha tu , yani maisha yenu hayaeleweki, mpo mpo tu
Mbowe atapinga
Wewe mama sio kila umuonae Ni BavichaKwako wewe maendeleo ni Samia kumwaga hela mtaani ili bavicha muwe mnaokota!
Nchi ina shida sana hii