Rais Samia ahutubia taifa leo Agosti 22, 2022. Ametoa wito na kuwasihi Watanzania wote kujitokeza kuhesabiwa

Samia kawapa Wahadzabe kitoweo cha Nyumbu ishirini ili kesho wasiende kuwinda wahesabiwe

Raisi mkarimu sana tofauti kabisa na Jinamizi .

Kumbuka Wahadzabe ni Kabila linalotoweka katika Ardhi kama juhudi za Serikali hazitafanyika.
Hamna lolote kwani kawatoa buchani siporini hukohuko
 
Of what use kuhesabiwa? We have been "counted"/censored from time immemorial, without any tangible use of those demographic figures! Rubbish!
 
We dogo acha ujinga. Usidhani humu kila mtu mtoto mwenzako.

Mode fungieni hawa watoto. Huyu tangu asubuhi anatuma vitu vya ajabu tu
CCM NI [emoji117][emoji90]
 
Kweli ni akili kubwa. Tozo hizi na mpangilio wake zinahitaji akili kubwa
 
Kweli ni akili kubwa. Tozo hizi na mpangilio wake zinahitaji akili kubwa

Akili kisoda. Huwezi kutoza tozo pesa iliyokatwa kodi,. Huo ni wizi. Tozo Ni kwenye pesa ambayo haijafikiwa na Kodi. Ukatwe payee asilimia 30 halafu ukatwe tozo 120,000 kwenye pesa hiyo hiyo. Ujinga na dharau kwa watanzania.
 
Ta
Uwe na heshima kwa mh Rais wetu, huyo ndio Amiri Jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama, ndie pia mteuaji wa viongozi mbalimbali na hawezi kushikiwa akili na mtu,

Tangu lini mwizi akaheshimika?. Unaniibia pesa benki kwa jina la Tozo, halafu unataka nikuheshimu. Shame on you.
 
Sensa inaendelea.....zoezi linaendelea vizuri kwa amani na utulivu
 
Wewe hata kwa wazazi wako huma adamu unalazimisha watu wawe na adabu kwa huyu kilaza wa tozo? Peleka upiluuzi wako huko!
 
Jpm hakwenda hata njee siku Moja
JPM HAKUANZISHA HATA TOZO MOJA KWA WANANCHI WAKE
JPM hakuwai kukopa kama ambayo tunavyokopa sasa ivi ni mwaka mmoja tuu tunayo lkn

Tunamkumbuka Jpm baba wa watu.

Sisi watumishi wa sekta binafsi tunamkumbuka hakuwa mbaguzi alipunguza PAYE kwa wote alitugusa sisi.

Sensa nitashiriki maana mimi kama msomi

Nafahamu faida yake

Ila maisha ni magumu haswaa,

Nimeshuhudia Maraisi watatu sasa

Lkn hakujawai Kuwa ngumu kama kipindi cha huyu
 
Wewe hata kwa wazazi wako huma adamu unalazimisha watu wawe na adabu kwa huyu kilaza wa tozo? Peleka upiluuzi wako huko!
Mheshimu mh Rais wetu hata Kama Mimi utanitukana lakini Rais wa nchi mpe heshima yake, unaweza ukachangia mawazo yako bila kumtukana Wala kudhalilisha mtu na ujumbe wako ukafika, jifunze kuwa na heshima kwa watu, jifunze kuwa mstaarabu hata kwa watu unaotofautiana nao, jifunze kuwa mvumilivu hata kwa usiokubaliana nao kimtizamo, Jenga hoja bila matusi
 
Unataka tumweshimu zaidi ya bianadamu wengine? Kwenda zako chawa wewe!
 
Unataka tumweshimu zaidi ya bianadamu wengine? Kwenda zako chawa wewe!
Binadamu wote wanastahili heshima, hupaswi kumvunjia heshima mtu yoyote Yule hata Kama unatofautiana Naye, Jenga hoja utaeleweka tu, Mimi Nakuomba kwa Mwenyezi Mungu akupe hekima na busara katika maisha yako, akupe moyo wa Upendo na uvumilivu kwa watu wote,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…