Nina mashaka na upeo wako katika mambo.
Mimi nimesema sio rais?
Nimesema asisikilizwe?
Nilichofanya, nimei rate hotuba yake na tangazo tu la sensa.
Hotuba hubeba content nzito yenye hisia mchanganyiko kwa audience na hata mtoa hotuba.
Samia kikatiba ni rais kamili lakini hana presidential materials.
1. Hana ufahamu wa mambo mengi
2. Hana ushawishi kama mkuu wa nchi
3. Poor leadership strategic
4. Hana sauti ya kiuongozi
5. Anapelekeshwa na kikundi cha watu wachache.
6. Jinsia yake inamfanya akose kujiamini anaongoza nchi kama kiongozi wa UWT
NOTE ukichukizwa na mawazo yangu saga chupa shushia na soda nitalipa mimi..
dudus