Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Labda anajiuzulu[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamia tu, sisi tunaendelea kumuunga mkono mh Rais wetu katika ujenzi wa nchi yetu, changia tozo kwa maendeleo ya nchi yetu, hata ulaya wamechangishana Sana kufika hapo walipo fika Leo hii, walijifunga mikanda na kujinyima kufika hapo walipo, nasi twapaswa kujibana kidogo kuijenga nchi yetu, hatuwezi kuijenga nchi yetu kwa kuitegemea mikopo tu kwa kila kituAsipoongelea wizi uliobatizwa tozo, nahamia Zambia!
Labda anajiuzulu[emoji23][emoji23]
Kazi anayoifanya mh Rais wetu Ni kubwa Sanaa, anafanya kazi usiku na mchana, anafanya kazi bila kupumzika, anafanya kazi ya kugusa maisha yetu bila kikomo, muda wote yeye Ni kazi tuMtu anayelipwa mshahara anajitolea nini, akae pembeni kama amejitolea akae atakayelipwa mshahara.
Kiongozi mzuri hatakiwi kukurupuka kama mtangulizi wake.Kipindi zinapita hizo tozo alikuwa wapi? Au unataka kuleta unafiq hapa mkuu
Nchi yetu itajengwa na sisi watanzania,Sasa wewe unataka Nani atujengee nchi yetu tusipokuwa tayari kuijenga wenyewe kwa mikono yetu wenyewe, au unataka Nani abebe mzigo na wajibu wetu wa kuijenga nchi yetuKweli anagusa maisha ya watz kwa kuintroduce double taxation….Kwa taarifa yako anaenda kuua uchumi
Sitegemei jipyaRais Samia wa JMT atalihutubia Taifa saa 3 00 usiku huu
Usikose
Chanzo: ITV
Updates;
[emoji1787] Unaweza kukuta ni mkubwa zaidi yakoWe dogo acha ujinga. Usidhani humu kila mtu mtoto mwenzako.
Mode fungieni hawa watoto. Huyu tangu asubuhi anatuma vitu vya ajabu tu
K
Kazi anayoifanya mh Rais wetu Ni kubwa Sanaa, anafanya kazi usiku na mchana, anafanya kazi bila kupumzika, anafanya kazi ya kugusa maisha yetu bila kikomo, muda wote yeye Ni kazi tu
Jiandae kuhesabiwa hapo kesho
hamna kitu hicho...... Usiri ni crucial informationsTozo
Mfumuko wa bei
Sensa
Vita ya urusi
Karina moja
Uchaguzi 2025
Hakuna jipya anaongelea Sensa tu.☹😟Kipindi zinapita hizo tozo alikuwa wapi? Au unataka kuleta unafiq hapa mkuu