Rais Samia ahutubia taifa leo Agosti 22, 2022. Ametoa wito na kuwasihi Watanzania wote kujitokeza kuhesabiwa

Rais Samia ahutubia taifa leo Agosti 22, 2022. Ametoa wito na kuwasihi Watanzania wote kujitokeza kuhesabiwa

We dogo acha ujinga. Usidhani humu kila mtu mtoto mwenzako.

Mode fungieni hawa watoto. Huyu tangu asubuhi anatuma vitu vya ajabu tu
Moderators siyo madikteta! Katoa maoni kutokana na anachokipitia, hayo ni maoni yake.

Ingekuwa vyema kumuuliza kwa nini kasema hivyo, huo ndio uwe msingi.

#Nasubiria kumsikiliza Mhe. Rais#
 
Kwa mara ya kwanza nitamsikiliza leo. Nimpime intelligence yake kwa uhakiki.
Mh
Kwa mara ya kwanza nitamsikiliza leo. Nimpime intelligence yake kwa uhakiki.
Rais wetu Ni akili kubwa Ndio maana unaona Mambo makubwa yakifanyika katika uongozi wake, hata usipomsikiliza wewe bado mamilioni ya watanzania ndani na nje ya nchi tutamsikiliza mh Rais wetu,

Ni akili kubwa mh Rais wetu Ndio maana unaona watanzania tukiendelea kuona namna anavyogusa maisha yetu watanzania, Ndio maana unaona katika uongozi wake wawekezaji na uwekezaji ukiongezeka hapa nchini siku Hadi siku

Diplomasia yetu inazidi kuimalika ndio maana unaona watalii wakimiminika baada ya mh Rais wetu kukutana na kufanya mazungumzo na makampuni mbalimbali ya utalii

Akili yako usiilinganishe na ya mh Rais wetu, uwezo huo huna na hutakaa uwe nayo
 
Sensa.

Ila umeme hakuna. February did it again.
 
Mapya Ni mengi Sana kwa kuwa Mambo anayoyafanya Ni mengi Sana, mikakati ya mh Rais wetu katika kuinua uchumi wa nchi yetu Ni mingi Sana, mahusiano mazuri anayoendelea kuyajenga na nchi mbalimbali yanazidi kuleta matunda kwa kufungua fursa mbalimbali za kibiashara na kiuwekezaji,

Jiandae kuhesabiwa kesho ili kumsaidia mh Rais wetu katika kupanga mipango na mikakati ya maendeleo ya nchi yetu
Sidhani kama atakuwa na jipya lolote.
 
Atakuwa anazungumzia zoezi la sensa
Naamini atazungumza mengi Sana zaidi ya Hilo kwa kuwa mh Rais wetu kafanya mengi Sana ambayo angependa tuyaelewe sisi wananchi wake ambayo Ni familia yake kwa Sasa, kwa kuwa amejitolea maisha yake na muda wake kututumikia
 
Mapya Ni mengi Sana kwa kuwa Mambo anayoyafanya Ni mengi Sana, mikakati ya mh Rais wetu katika kuinua uchumi wa nchi yetu Ni mingi Sana, mahusiano mazuri anayoendelea kuyajenga na nchi mbalimbali yanazidi kuleta matunda kwa kufungua fursa mbalimbali za kibiashara na kiuwekezaji,

Jiandae kuhesabiwa kesho ili kumsaidia mh Rais wetu katika kupanga mipango na mikakati ya maendeleo ya nchi yetu

Ogopa matapeli.
 
Hana hotuba zenye mvuto
Kwako ndio unaona hivyo maana umepofushwa uelewa na umezoea na unapenda kudanganywa, mh Rais wetu anaongea ukweli na uhalisia wa Mambo, anaongea toka ndani ya moyo wake, anaeleza mpaka mwananchi wa kawaida anamuelewa, ndio maana anaendelea kukubalika na kupendwa na watanzania wote, mikakati yake Ni Ile inayotoa kipaombele Cha kuinua maisha ya mtanzania mnyonge asiye na sauti,

Jiandae kuhesabiwa hapo kesho kumsaidia mh Rais wetu kupanga mipango ya maendeleo
 
Mh

Rais wetu Ni akili kubwa Ndio maana unaona Mambo makubwa yakifanyika katika uongozi wake, hata usipomsikiliza wewe bado mamilioni ya watanzania ndani na nje ya nchi tutamsikiliza mh Rais wetu,

Ni akili kubwa mh Rais wetu Ndio maana unaona watanzania tukiendelea kuona namna anavyogusa maisha yetu watanzania, Ndio maana unaona katika uongozi wake wawekezaji na uwekezaji ukiongezeka hapa nchini siku Hadi siku

Diplomasia yetu inazidi kuimalika ndio maana unaona watalii wakimiminika baada ya mh Rais wetu kukutana na kufanya mazungumzo na makampuni mbalimbali ya utalii

Akili yako usiilinganishe na ya mh Rais wetu, uwezo huo huna na hutakaa uwe nayo

Kweli anagusa maisha ya watz kwa kuintroduce double taxation….Kwa taarifa yako anaenda kuua uchumi
 
Naamini atazungumza mengi Sana zaidi ya Hilo kwa kuwa mh Rais wetu kafanya mengi Sana ambayo angependa tuyaelewe sisi wananchi wake ambayo Ni familia yake kwa Sasa, kwa kuwa amejitolea maisha yake na muda wake kututumikia

Mtu anayelipwa mshahara anajitolea nini, akae pembeni kama amejitolea akae atakayelipwa mshahara.
 
Kama hata muondoa Mwigulu na Nape haina maana kulihutubia Taifa. Aendelee na mipango yake ya kutuumiza.
Mwigulu ame tufanya Watanzania ni shamba lake la tozo.
Nape badala ya kutetea wananchi gharama za vifurushi zishuke, amebaki juwatetea wenye mitandao.
 
Back
Top Bottom