Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Mama yetu mh Rais Ni kiongozi mwenye huruma na upendo mkubwa Sana kwetu watanzania, ndio maana unaona akihangaika huku na kule kutatua kero za wananchi, ndio maana unaona akifanya juhudi za kusogezwa huduma muhimu karibu na wananchi, ndio maana unaona akifikia hatua ya kutoa Ruzuku ili kumsaidia mwananchi asielemewe na mzigo kichwaniHuyu mama ni mkatili sana,Itakuwa anmsokiliza yule makamu wake anayeongea Kama ameweka mkaa wa moto mdomoni.
Ndio maana kila sent inayopatikana anaipeleka kupunguza au kumaliza kero kwa wananchi, ndio maana unaona akifuta ada na kuweka Elimu bure Hadi kidato Cha sita ili hata watoto wa wananchi wanyonge wapate Elimu sawa na wale watokao katika familia zenye kipato kikubwa
Ndio maana unaona akiendelea kuboresha huduma mbalimbali zinazogusa maisha ya mwananchi, ndio maana unaona akiwasihi wasaidizi wake kuwa wanyenyekevu na wenye upendo kwa wananchi hasa wanyonge
Ndio maana unaona Hataki mtu yoyote Yule aonewe au kudhulumiwa haki yake, ndio maana unaona akifuta kesi za kisiasa ili watu walejee kwenye familia zao Hataki kuongoza nchi ambayo Kuna familia zinakesha usiku kucha zikilia machozi kwa kuwa Kuna mpendwa wao kafungwa kwa kuonewa