Rais Samia ahutubia taifa leo Agosti 22, 2022. Ametoa wito na kuwasihi Watanzania wote kujitokeza kuhesabiwa

Rais Samia ahutubia taifa leo Agosti 22, 2022. Ametoa wito na kuwasihi Watanzania wote kujitokeza kuhesabiwa

Mh

Rais wetu Ni akili kubwa Ndio maana unaona Mambo makubwa yakifanyika katika uongozi wake, hata usipomsikiliza wewe bado mamilioni ya watanzania ndani na nje ya nchi tutamsikiliza mh Rais wetu,

Ni akili kubwa mh Rais wetu Ndio maana unaona watanzania tukiendelea kuona namna anavyogusa maisha yetu watanzania, Ndio maana unaona katika uongozi wake wawekezaji na uwekezaji ukiongezeka hapa nchini siku Hadi siku

Diplomasia yetu inazidi kuimalika ndio maana unaona watalii wakimiminika baada ya mh Rais wetu kukutana na kufanya mazungumzo na makampuni mbalimbali ya utalii

Akili yako usiilinganishe na ya mh Rais wetu, uwezo huo huna na hutakaa uwe nayo
Ni vyema kukausha Marijuana kabla ya kuvuta.
 
Kwahiyo saa 6 kuna mtu atakuja kubisha hodi kwangu eti anihesabie?
 
Kwako ndio labda Tangazo lakini mh Rais wetu ukisikika tu atazungumza au kuhutubia muda fulani au kuwa mahali fulani unakuta hata kazi zinasimama ili kuweza kupata na kutoa muda wa kumsikiliza mh Rais wetu, anakubalika Sana Rais wetu na anapendwaa Sana mh Rais, hii yote inatokana na namna anavyofanya kazi kwa juhudi na maarifa katik kuwatumikia watanzania
Nina mashaka na upeo wako katika mambo.
Mimi nimesema sio rais?
Nimesema asisikilizwe?

Nilichofanya, nimei rate hotuba yake na tangazo tu la sensa.
Hotuba hubeba content nzito yenye hisia mchanganyiko kwa audience na hata mtoa hotuba.

Samia kikatiba ni rais kamili lakini hana presidential materials.

1. Hana ufahamu wa mambo mengi
2. Hana ushawishi kama mkuu wa nchi
3. Poor leadership strategic
4. Hana sauti ya kiuongozi
5. Anapelekeshwa na kikundi cha watu wachache.
6. Jinsia yake inamfanya akose kujiamini anaongoza nchi kama kiongozi wa UWT

NOTE ukichukizwa na mawazo yangu saga chupa shushia na soda nitalipa mimi..
dudus
 
Nina mashaka na upeo wako katika mambo.
Mimi nimesema sio rais?
Nimesema asisikilizwe?

Nilichofanya, nimei rate hotuba yake na tangazo tu la sensa.
Hotuba hubeba content nzito yenye hisia mchanganyiko kwa audience na hata mtoa hotuba.

Samia kikatiba ni rais kamili lakini hana presidential materials.

1. Hana ufahamu wa mambo mengi
2. Hana ushawishi kama mkuu wa nchi
3. Poor leadership strategic
4. Hana sauti ya kiuongozi
5. Anapelekeshwa na kikundi cha watu wachache.
6. Jinsia yake inamfanya akose kujiamini anaongoza nchi kama kiongozi wa UWT

NOTE ukichukizwa na mawazo yangu saga chupa shushia na soda nitalipa mimi..
dudus
Naona unaandika tu mradi umeandika, yaani kwa upeo wako unazani Ni Jambo gani ambalo mh Rais Hana ufahamu nalo, kikundi gani kinacho mpelekesha mh Rais, naona hata kukujibu hustahili kujibiwa maana umeongea bila adabu na heshima kwa mh Rais, umeandika Kama mtu ambaye Hana malezi ya wazazi wake
 
Naona unaandika tu mradi umeandika, yaani kwa upeo wako unazani Ni Jambo gani ambalo mh Rais Hana ufahamu nalo, kikundi gani kinacho mpelekesha mh Rais, naona hata kukujibu hustahili kujibiwa maana umeongea bila adabu na heshima kwa mh Rais, umeandika Kama mtu ambaye Hana malezi ya wazazi wake
Tatizo lenu mmekaririshwa na kulelewa kipuuzi kwamba raisi yuko sahihi muda wote na hawezi kukosea au kuwakosea wengine ,rais hatakiwi kukosolewa , mnamuona rais kama mungu halafu mnasahau kuwa rais ni binadamu kwa asili ambaye anaweza kuwa na mapungungu mengi tu ya kiubinadamu.
 
Tatizo lenu mmekaririshwa na kulelewa kipuuzi kwamba raisi yuko sahihi muda wote na hawezi kukosea au kuwakosea wengine ,rais hatakiwi kukosolewa , mnamuona rais kama mungu halafu mnasahau kuwa rais ni binadamu kwa asili ambaye anaweza kuwa na mapungungu mengi tu ya kiubinadamu.
Unaweza ukajenga hoja nzuri na ukaeleweka, lakini siyo mtu unatumia maneno ya dharau na kejeli kwa mh Rais, hiyo haikubaliki popote, Tuwe na heshima na adabu kwa mh Rais wetu
 
Kwako ndio labda Tangazo lakini mh Rais wetu ukisikika tu atazungumza au kuhutubia muda fulani au kuwa mahali fulani unakuta hata kazi zinasimama ili kuweza kupata na kutoa muda wa kumsikiliza mh Rais wetu, anakubalika Sana Rais wetu na anapendwaa Sana mh Rais, hii yote inatokana na namna anavyofanya kazi kwa juhudi na maarifa katik kuwatumikia watanzania
Nina mashaka na upeo wako katika mambo.
Mimi nimesema sio rais?
Nimesema asisikilizwe?

Nilichofanya, nimei rate hotuba yake na tangazo tu la sensa.
Hotuba hubeba content nzito yenye hisia mchanganyiko kwa audience na hata mtoa hotuba.

Samia kikatiba ni rais kamili lakini hana presidential materials.

1. Hana ufahamu wa mambo mengi
2. Hana ushawishi kama mkuu wa nchi
3. Poor leadership strategic
4. Hana sauti ya kiuongozi
5. Anapelekeshwa na kikundi cha watu wachache.
6. Jinsia yake inamfanya akose kujiamini anaongoza nchi kama kiongozi wa UW
Naona unaandika tu mradi umeandika, yaani kwa upeo wako unazani Ni Jambo gani ambalo mh Rais Hana ufahamu nalo, kikundi gani kinacho mpelekesha mh Rais, naona hata kukujibu hustahili kujibiwa maana umeongea bila adabu na heshima kwa mh Rais, umeandika Kama mtu ambaye Hana malezi ya wazazi wake
Ndugu Mtanzania unayeishi #MAKONDOO COUNTRY#
Hakuna mahali nimejaribu hata kumvunjia heshima rais wangu mpendwa bali nimetea sifa alizo nazo.
Kuna vitu mtu hupewa na Mungu huwezi kuvitavuta kwa akili zako...mfano uongozi ni kipawa toka kwa Mungu, unaweza kufanya kazi ya kuongoza lakini usiwe kiongozi
 
Mh

Rais wetu Ni akili kubwa Ndio maana unaona Mambo makubwa yakifanyika katika uongozi wake, hata usipomsikiliza wewe bado mamilioni ya watanzania ndani na nje ya nchi tutamsikiliza mh Rais wetu,

Ni akili kubwa mh Rais wetu Ndio maana unaona watanzania tukiendelea kuona namna anavyogusa maisha yetu watanzania, Ndio maana unaona katika uongozi wake wawekezaji na uwekezaji ukiongezeka hapa nchini siku Hadi siku

Diplomasia yetu inazidi kuimalika ndio maana unaona watalii wakimiminika baada ya mh Rais wetu kukutana na kufanya mazungumzo na makampuni mbalimbali ya utalii

Akili yako usiilinganishe na ya mh Rais wetu, uwezo huo huna na hutakaa uwe nayo
Akili kashikiwa na mwigulu huyo

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Jamani niuweni Niueniiii......
Man U leo wamekaza kwenye mkesha wa sensaa...
 
Nchi yetu itajengwa na sisi watanzania,Sasa wewe unataka Nani atujengee nchi yetu tusipokuwa tayari kuijenga wenyewe kwa mikono yetu wenyewe, au unataka Nani abebe mzigo na wajibu wetu wa kuijenga nchi yetu

Pesa zinapigwa hovyo na watu wachache maisha yamekua magumu matozo kila kona maendeleo hayaonekani. Hii nchi anaijengea wapi?
 
Mh Rais yupo Sanaa tu Hadi 2030. Watanzania bado tunamhitaji Sanaa kuweza kututumikia maana ameonyesha uwezo mkubwa Sana ndani ya muda mfupi, tumeridhishwa na utendaji kazi wake ulio tukuka
Ndio ameonesha uwezo ila ni wa "chini" na ndio uwezo wake ulipoishia.

Kwanza alichaguliwa na nani huyu?

Viongozi walioingia madarakani bila kuchaguliwa wana tabia ya kutojali na viburi.
 
tumeanza kuhesabiwa leo trh 23 saa sita usiku......kazi inaendelea

Tuko tayari kusensabika.
sensa kwa maendeleo yetu na vizazi vyetu
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan amewasihi Watanzania kujitokeza kuhesabiwa na kutoa ushirikiano wa kutosha kwa zoezi la Sensa linalotarajiwa kufanyika tarehe 23 Agosti 2022 ikiwa ni sensa ya Sita kufanyika katika Tanzania huru huku akieleza kuwa matokeo ya awali yatatolewa mwezi Oktoba mwaka huu.

Katika ujumbe wake kwa watanzania alioutoa kupitia vvyombo vya habari usiku wa leo Jumatatu tarehe 22 Agosti 2022 (Saa chache kabla ya zoezi la Sensa) Rais Samia amewakumbusha Watanzania umuhimu wa kutoa taarifa sahihi kwani taarifa hizo ni muhimu kwa mipango ya maendeleo ya taifa na amewatoa hofu watanzania akieleza kuwa kila taarifa inayokusanywa itatunzwa kwa mujibu wa sheria kwani ni kosa kisheria kwa karani wa Sensa kutoa taarifa yoyote aliyoikusanya.

Rais Samia ameeleza kuwa kutokana na ukubwa wa nchi yetu, makarani hawatoweza kuwafikia watu wote kwa siku moja hivyo amewasihi wale wote ambao hawatofikiwa siku ya kwanza ya Sensa (23 Agosti 2022) kutunza kumbukumbu za wale wote watakaolala katika kaya usiku wa kuamkia siku ya sensa ili kuwezesha taarifa hizo kutolewa kwa usahihi pale ambapo makarani watafika.

Kwa mara ya kwanza Sensa ya mwaka huu itajumuisha ukusanyaji wa takwimu za majengo yote nchi nzima hivyo kuwezesha upatikanaji wa taarifa sahihi juu ya ubora wa makazi ya wananchi. Kukamilika kwa zoez hili kutaifanya Tanzania kuwa nchi ya kwanza barani Afrika kuunganisha sensa ya watu na makazi.

Rais Samia pia amewasisitiza wananchi kutowaficha watu wenye ulemavu kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo mila potofu kwani kufanya hivyo kutaikwamisha Serikali kupanga kwa usahihi namna ya kuwahudumia watu hao.

Kwa kawaida sensa hufanyika kila baada ya miaka 10, ambapo kwa miaka ya nyuma imewahi kufanyika mwaka 1967, 1978, 1988, 2002, 2012 na kumbukumbu zaidi zinaonesha kuwa kabla ya uhuru, kwa upande wa Tanganyika Sensa ilifanyika mara 5 (Mwaka 1913, 1921, 1931, 1948 na 1957 huku Zanzibar wakifanya sensa mara moja tu mwaka 1958 ingawa sensa za kabla ya uhuru zilikosa vigezo vingi vya kisayansi.

View attachment 2331605
Ni kweli lengo la sensa ni kuiwezesha serikali kupanga mipango ya maendeleo iwe shule, miundombinu kama barabara na huduma zingine za jamii.

Lakini pia raisi amesema kuwa hii ni sensa ya sita kufanyika nchini baada ya Uhuru lakini pia ni baada ya miaka 61 ya uhuru wa nchi yetu.

Ieleweke pia kuwa sensa ya idadi ya watu na makazi haiitaji namba za simu kwani hiyo yaweza kuweka hisia kuwa serikali yaingiza mkono wake zaidi kutaka kuiweka jamii chini yake na kuibinya zaidi kwa kuifuatlilia khasa kwenye masuala kama tozo na mengine.

Taarifa za jina la mtu, na watu anoishi nao pamoja na taarifa za nyumba na jengo zatosha sana.

Jambo jingine ni kwamba ni muhimu ofisi ya takwimu ikaweza wazi taarifa za sensa katika tovuti yake ili kutoa elimu zaidi ya maana ya sensa na umuhimu wake.

Ni jambo la umakini kueleza jinsi sensa inavyotengenezwa, masuali yake yaandaliwa vipi, na matumizi ya taarifa zote za sensa na utunzaji wa kumbukumbu za sensa.

Ni dhahiri kwamba licha ya miongo sita ya ukusanyaji wa taarifa za sensa nchini bado serikali haijaweza kuiimarisha idara ya takwimu kwa kuiwezesha kwa nyenzo muhimu za kiteknolojia ili iweze kuitumia ipasavyo idara hiyo muhimu kwa maendeleo ya nchi.

Hii yaweza kuisaidia idara hii kuandaa zoezi la sensa kwa njia pia ya mtandao ambapo mtu aweza kujaza taarifa zake popote pale alipo bila kumsubiri karani wa sensa.

Njia ingine ni ile ya posta ambapo fomu za sensa zaweza kuwekwa tayari kwa wananchi kuzichukua katika ofisi za serikali za mitaa ni kisha baada ya kujaza mbele ya maofisa pale fomu hizio hutumwa na ofisi hiyo kama ambavyo zoezi la kuomba pasi ya kusafiria linavofanywa.

Taarifa za sensa zikiwa sahihi na zilizojidhihirisha, mikoa, wilaya na kata zaweza kabisa kutumia taarifa hizo kuhakikisha barabara na mitaa zajengwa, mataa ya barabararani na maji yapatikana katika kila kila nyumba, na hiyo ni mifano michache.

Ni jambo jema kwa kufanya sensa ya sita nchini na miaka 61 baada ya uhuru, lakini huu ni wakati wa kuhakikisha sensa ya safari hii inaleta tija inotarajiwa.
 
Back
Top Bottom