Pre GE2025 Rais Samia aibua shangwe na Nderemo kwa mashabiki wa Simba baada ya kupiga Simu moja kwa moja uwanja Wa Taifa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Fanya kazi uondoe umaskini wako. Hakuna atakaye kuja kukuondolea umaskini wako ikiwa wewe umekaa na kubweteka tu kama jiwe .Chakarika
Nimeajiri chawa kama wewe 16....plus 500 acres soya keenu mbozi....wewe sifia wanaume kujidhalilisha.....wakuhemee.....ukijitambua utakybali kula josho.lako
 
Nimeajiri chawa kama wewe 16....plus 500 acres soya keenu mbozi....wewe sifia wanaume kujidhalilisha.....wakuhemee.....ukijitambua utakybali kula josho.lako
Nenda kajifunze kwanza kuandika ndio uje hapa tena .maana inaonyesha bado una umbumbumbu kichwani.
 
Nani kama Mama mitano tena
 
Mwaka huu utakufa kwa wivu wako.maana Mama anaendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania.Si umeona namna uwanja ulivyoripuka kwa shangwe na Nderemo baada ya kusikia sauti ya Mama?

Hata nzi huwa wanashangilia kimba likishushwa kichakani...
 
Una akili mbovu sana. Uchawa wako ni wa kutia aibu.
 
Wewe nawe zwazwa tu na u CCM wako..Eeh.nini faida ya hilo kwa maisha magumu ya wananchi waliyo nayo mpaka utuletee hapa?Halafu unaanza na eti ..Ndugu zangu..!!!??@#%Γ·
πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nilichogundua: Simba na Yanga ni project za "watu fulani" msitegemee "mabadiliko" kama mtaendelea kupumbazwa namna hiyo na hivyo vilabu.
 
Katiba mpya ndilo jukumu alilopewa!hizo mbwembwe hazimsaidii mhusika kupata upili!!
 
Nilichogundua: Simba na Yanga ni project za "watu fulani" msitegemee "mabadiliko" kama mtaendelea kupumbazwa namna hiyo na hivyo vilabu.
Endelea kulia lia wakati Mama akichanja mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…