Pre GE2025 Rais Samia aibua shangwe na Nderemo kwa mashabiki wa Simba baada ya kupiga Simu moja kwa moja uwanja Wa Taifa

Pre GE2025 Rais Samia aibua shangwe na Nderemo kwa mashabiki wa Simba baada ya kupiga Simu moja kwa moja uwanja Wa Taifa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Fanya kazi uondoe umaskini wako. Hakuna atakaye kuja kukuondolea umaskini wako ikiwa wewe umekaa na kubweteka tu kama jiwe .Chakarika
Nimeajiri chawa kama wewe 16....plus 500 acres soya keenu mbozi....wewe sifia wanaume kujidhalilisha.....wakuhemee.....ukijitambua utakybali kula josho.lako
 
Nimeajiri chawa kama wewe 16....plus 500 acres soya keenu mbozi....wewe sifia wanaume kujidhalilisha.....wakuhemee.....ukijitambua utakybali kula josho.lako
Nenda kajifunze kwanza kuandika ndio uje hapa tena .maana inaonyesha bado una umbumbumbu kichwani.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Uwanja wa Benjamini Mkapa uliofurika na kumiminika wanachama na mashabiki wa Simba umejikuta ukiripuka kwa shangwe ,nderemo na vifijo baada ya kusikia Sauti ya Mama yetu Mpendwa kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,ambaye amepiga simu kwa katibu Mkuu wa wizara ya sanaa na utamaduni Mheshimiwa Msigwa.

Ikumbukwe Mheshimiwa Rais yupo ziarani mkoani Morogoro na kutumia muda huu wa mapumziko ya jioni kufuatilia Siku hii ya Wenye Nchi yaani Simba Day.

Kwa hakika Rais Samia anapendwa haijapata kutokea hapa nchini.hakuna kama Samia na hakuna mwenye kumfikia katika ushawishi na kupendwa na watanzania.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Nani kama Mama mitano tena
 
Mwaka huu utakufa kwa wivu wako.maana Mama anaendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania.Si umeona namna uwanja ulivyoripuka kwa shangwe na Nderemo baada ya kusikia sauti ya Mama?

Hata nzi huwa wanashangilia kimba likishushwa kichakani...
 
Una akili mbovu sana. Uchawa wako ni wa kutia aibu.
 
Nilichogundua: Simba na Yanga ni project za "watu fulani" msitegemee "mabadiliko" kama mtaendelea kupumbazwa namna hiyo na hivyo vilabu.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Uwanja wa Benjamini Mkapa uliofurika na kumiminika wanachama na mashabiki wa Simba umejikuta ukiripuka kwa shangwe ,nderemo na vifijo baada ya kusikia Sauti ya Mama yetu Mpendwa kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,ambaye amepiga simu kwa katibu Mkuu wa wizara ya sanaa na utamaduni Mheshimiwa Msigwa.

Ikumbukwe Mheshimiwa Rais yupo ziarani mkoani Morogoro na kutumia muda huu wa mapumziko ya jioni kufuatilia Siku hii ya Wenye Nchi yaani Simba Day.

Kwa hakika Rais Samia anapendwa haijapata kutokea hapa nchini.hakuna kama Samia na hakuna mwenye kumfikia katika ushawishi na kupendwa na watanzania.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

View attachment 3060866
Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Katiba mpya ndilo jukumu alilopewa!hizo mbwembwe hazimsaidii mhusika kupata upili!!
 
Nilichogundua: Simba na Yanga ni project za "watu fulani" msitegemee "mabadiliko" kama mtaendelea kupumbazwa namna hiyo na hivyo vilabu.
Endelea kulia lia wakati Mama akichanja mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania
 
Back
Top Bottom