Rais Samia aingia amependeza Kikaoni kuwahi kutokea, wengi watamani Ushonaji wake wa Nguo uigwe kwenye vazi la Taifa

Kama wewe wa Mbozi maporini huko unamuita Samia mama, Abdul atamuitaje?
Anaitwa Mheshimiwa Rais Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Na siyo kama unavyosema mama.sijui huko shuleni ulifundishwa ujinga
 
Hivi huyu Lucas huwa mwana mume au ni mwanamke?
 
Wanavaa hivyo mabinti waja wa Zitto.
 
Huna akili
 


Yaani katika taifa hili hichi ndiyo cha maana kuongelea. Wanaenda kujifungia ndani kisirisiri na kuwaletea mafisadi halafi nyie wajinga jinga hamhoji kwanini hakuna chaguzi mnaongelea nguo ambazo hata rangi ni mbaya!!
 

Weehhh vipi, hilo kanzu ndilo liwe vazi la taifa[emoji56][emoji56][emoji56]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…