nabiidaniel
JF-Expert Member
- Feb 25, 2014
- 1,937
- 2,678
Unataka kusema angekuwepo JPM mngemsingizia tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijala.Lucas Mwashambwa bwana umekula maharagwe ya wapi weeee
Hakuna chama chenye demokrasia pana kama CCMYaani katika taifa hili hichi ndiyo cha maana kuongelea. Wanaenda kujifungia ndani kisirisiri na kuwaletea mafisadi halafi nyie wajinga jinga hamhoji kwanini hakuna chaguzi mnaongelea nguo ambazo hata rangi ni mbaya!!
Unalifahamu kanzu?Weehhh vipi, hilo kanzu ndilo liwe vazi la taifa[emoji56][emoji56][emoji56]
Nimekusamehe bure kabisaHuna akili
Kumsingizia nini.Unataka kusema angekuwepo JPM mngemsingizia tena
Jibu nzuri hana akili huyo mwezi mchangaHuna akili
Kwani wewe hujazisikia ajenda za maendeleo? Au wewe ni kipofu wa macho na akili pamoja na ukiziwi wa masikio na akiliWatu wanataka kusikia agenda za maendeleo siyo mambo ya kupendeza aisee unafeli wapi wewe?
Elezea agenda za maendeleo anazotekeleza Rais mambo ya kupendeza atasifiwa na mumewe nyumbani kwake. Unakuwaje kilaza aiseeKwani wewe hujazisikia ajenda za maendeleo? Au wewe ni kipofu wa macho na akili pamoja na ukiziwi wa masikio na akili
Hilo ni lile Tenite la hospital bwana.😂Lina tofauti na Dela/Dera!
Hukumbuki kabendera kamsingizia nini marehemuKumsingizia nini.
Wewe mseme vibaya lakini mwenzio Lucas Mwashambwa yupo huko anabubujikwa na machozi ya furaha kwa Mama kupendeza Leo! Ahahahahaha!!Akili za ma CCM ndo zimefikia huku.
Acha tu tuendelee kuwa nchi maskini
Mwambie huyo ndugu yako kuwa Umasikini wake utaondoshwa na juhudi za mikono yake .kazi ya serikali ni kuweka mazingira wezeshi tu.ambapo mpaka sasa kila mmoja wetu ni shuhuda wa namna serikali ilivyoweka mazingira wezeshi kwa kila mwenye kufanya kazi kuweza kufaidika na jasho lake.Wewe mseme vibaya lakini mwenzio Lucas Mwashambwa yupo huko anabubujikwa na machozi ya furaha kwa Mama kupendeza Leo! Ahahahahaha!!
Wivu tu ndio unakusumbua hapo ulipo.Hilo ni lile Tenite la hospital bwana.😂
Yaan nimuonee wivu mtu anaevaa vya bure alafu hajapendeza,Wivu tu ndio unakusumbua hapo ulipo.
Lini ulitoa pesa kwa ajili ya Mavazi ya Rais wetu?Yaan nimuonee wivu mtu anaevaa vya bure alafu hajapendeza,
Kwa taarifa yako mavazi ya rais ni sisi watanzania tunagharamia Funza wewe.