Rais Samia aitaja JamiiForums, asema utoaji wa Habari umehamia mtandaoni kama ilivyo JamiiForums

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Rais Samia akishiriki Kongamano la Maendeleo ya Sekta ya Habari, Juni 18, 2024 amesema zama zimebadilika na utoaji Taarifa umehamia zaidi Mitandaoni kama inavyofanyika kupitia JamiiForums.
JF ipo juu Wakuu, tuendelee kupiga spana maana wanatudhihirishia huwa wanapita na kuchukua maoni yetu.

Mama kaitaja na Tanzania Leaks, kumbe huwa anapita kote huko kupokea spana zake... sasa kwanini habadiliki? Kwanini ujifanye chura kama anasikia yote haya?

Your browser is not able to display this video.

Pia soma:

- Rais Samia: Huwa napitia JamiiForums naangalia maoni yenu

- Rais Samia akishiriki Kongamano la Maendeleo ya Sekta ya Habari Juni 18, 2024
 
MJING8 KABISA WEWE HUNA HAYA KWANINI NUDANGANYE
 
Mungu ibariki JF
 
Kazi iendelee machozi yawabubujika wana jf baada ya kusikia wanatambulika na watu wanachungulia kwa kunyata!
 
Nimefarijika sana Rais Samia alipomtaja Maxence Mello kwa kumuita “Mwanangu Max wa Jamii Forums”
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…