Anatutisha lakini Mkuu Pascal MayallaNimefarijika sana Rais Samia alipomtaja Maxence Mello kwa kumuita “Mwanangu Max wa Jamii Forums”
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anatutisha lakini Mkuu Pascal MayallaNimefarijika sana Rais Samia alipomtaja Maxence Mello kwa kumuita “Mwanangu Max wa Jamii Forums”
P
Yeah... wamepitia mapito mengiPongezi nyingi Kwa Maxence Melo na team nzima ya JF.
Naunga mkono hoja!, MC najitolea bure!.Maxence Melo siku ya ugawaji wa Tuzo za Shindano la Stories of Change, mwalike mama aje ajumuike. Itakuwa ni hatua nzuri sana
Just mpe mwaliko hata kama asipokuja yeye anaweza kutuma mwakilishi
Kwa umri wa Rais Samia, Maxi ni mtoto wa kumzaa!.Anatutisha lakini Mkuu Pascal Mayalla
Imetajwa mkuuInasikitisha mauaji ya mtoto Albino.
NB.
Video haizungumzii JF
Waheshimiwa wapo sana humu kwa ID kama zetu, ID zile halisi washaziweka pembeni kuhofia spana.Ila.mwigulu tulimtimua humu bila shaka anaingia humu kwa ID nyingine
hata Mh mkuu bila shaka yupoWaheshimiwa wapo sana humu kwa ID kama zetu, ID zile halisi washaziweka pembeni kuhofia spana.
Wanatamba tu X ambapo wanaweza kublock watu, ila hapa hawana huo ujanja hata kama waki ignore mada tutaiona tu
Mkuu, haukububujikwa na machozi ya furaha?!.Nimefarijika sana Rais Samia alipomtaja Maxence Mello kwa kumuita “Mwanangu Max wa Jamii Forums”
P
Nililia na kugalagala kwa furaha.Mkuu, haukububujikwa na machozi ya furaha?!.
Siyo Mara ya kwanzaNi kweli Mh Rais ameitaja JF